gossiper Master
Member
- Sep 10, 2016
- 12
- 9
Thank mwaka mmoja na miezi Saba ndo yai linatotoa wazungu wenye umri zaidi ya miaka 30???nmedanganyika hapohalfu mbona yai linataga wazungu tu?
Thank mwaka mmoja na miezi Saba ndo yai linatotoa wazungu wenye umri zaidi ya miaka 30???nmedanganyika hapohalfu mbona yai linataga wazungu tu?
Elimu Elimu ElimuKatika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].
Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.
Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.
HII NDO JUPITER
View attachment 401458
Ndio yaani tayari kwa matumizi...Mbona wanatotolewa wanawake tupu kwnye hayo mayai?
Halafu wanazaliwa wameshatoka na vichuchu
Ulichokiandika chote kilifaa kiandikwe na na marehemu kinyambemkuu vichekesho gani sasa?
Unamzungumzia nani au Kiranga ?ha ha ha ha ha huu uzi yule jamaa yako mbishi hawezi kuja hapa