BIN ZUBERY sasa anavuka vipaka. Anapata kiburi wapi kusema haya.

kuna kitu kitaaluma kinaitwa "BLACKOUT PROJECT" hii inatumika kwenye sekta ya uandish kama njia ya kuwazuga watu kutoka kufikiria jambo fulan muhim na ku divert mind zao kwenye jambo lingine..sasa hawa kina BIN ZUBEIRY Ndo Agents wa hii project..wanakuwa paid monthly kwa kutoandka madudu na ufisadi ili wananch walale.wewe huwez kuwa mwanahabar wa michezo uliyetimia ukashindwa kuona uharamu wa timu kumshawish mchezaji aliye ndani ya mkataba na timu nyingine?let alone Yondan,kuna Ishu ya Kapombe,Ngassa,OKWi wote wamethbitisha kufuatwa na viongoz wa Yanga wakat wanamikataba halali na SIMBA,he still attack on Rage..leaving behind oll these fu***ckn tricks wanacheza viongoz wa Yanga.UKWELI NI HIVI BIN ZUBEIRY ANAJUA ANACHOFANYA SABABU YUPO KWA AJILI YA WATU FLANI FLANI AMBAO WANAMFANYA AVIMBE TUMBO KISHA AENDE CHOONI.

Na kwa uongozi wa yanga uliopo madarakani tutashuhudia mengi yakusikitisha!! Tufumbue macho tu!!
 
Kuna taarifa za Simba kumsajili mu ivory coast na mkenya pascal ochieng na imemuacha Danny mrwanda na Kanu Mbiyavanga leo.Je TFF ilisogeza mbele siku kwa ku favour Yanga peke yao?Simba waangalie vizur ndan ya club yao ndo kuna mchawi!mliambiwa Okwi amefuzu majaribio mtapata tsh 3 billion wakat hata uwanjan hakukanyaga.
 
mimi nilisema janahapa huyu jamaa anaandika kinazi sana, akatokea mtoto hapa anaitwa Anselm nae ana u majununi uleule akaanza kumtetea, lakini haina shida wanawatumkia mabwana zao waliowatuma

Mkuu "Matambo" niaje aisee?
Au hutaki na mimi niitumie haki yangu ya kikatiba?
 
Kuna taarifa za Simba kumsajili mu ivory coast na mkenya pascal ochieng na imemuacha Danny mrwanda na Kanu Mbiyavanga leo.Je TFF ilisogeza mbele siku kwa ku favour Yanga peke yao?Simba waangalie vizur ndan ya club yao ndo kuna mchawi!mliambiwa Okwi amefuzu majaribio mtapata tsh 3 billion wakat hata uwanjan hakukanyaga.
Kwanini tumemsajili Pascal Ochieng na Ivory Coast... ni kwasababu Twite mmetuhujumu na ili tuweze kuendelea kuwabana ni lazima tuache nafasi moja yaani tutapeleaka jina la Twite na Kelvin..wewe subiri hii ngoma bado sana acha unazi, halafu hatuku wahi kuambiwa tuta pata billion 3.
 
Kwanini tumemsajili Pascal Ochieng na Ivory Coast... ni kwasababu Twite mmetuhujumu na ili tuweze kuendelea kuwabana ni lazima tuache nafasi moja yaani tutapeleaka jina la Twite na Kelvin..wewe subiri hii ngoma bado sana acha unazi, halafu hatuku wahi kuambiwa tuta pata billion 3.

Get informed Bro kwa kumsajili Ochieng na Okuffor siju takataka gani tayari mmeshatimiza wachezaji wa'5 wa kigeni jumlishia na Felix Sunzu,Emanuel Okwi na Mussa Mudde sasa hilo jina la Twite mtapeleka la ngapi?,kwa taarifa yako unayekataa ni wewe "Kajamba nani" huku mtaani,viongozi wako wameshakubali kitambo ndo maana hata Mwenyekiti wenu alilia.
Najua mtapeleka jina la Yondani,potelea mbali Yanga sasa ina viongozi waelewa kila kitu kimefanywa kwa kufata utaratibu kwahiyo sheria itachukua mkondo wake lkn hata kama atawekewa zengwe Canavaro na Twite it's more solid than Canavaro na Yondani,poleni.
 
Kwanini tumemsajili Pascal Ochieng na Ivory Coast... ni kwasababu Twite mmetuhujumu na ili tuweze kuendelea kuwabana ni lazima tuache nafasi moja yaani tutapeleaka jina la Twite na Kelvin..wewe subiri hii ngoma bado sana acha unazi, halafu hatuku wahi kuambiwa tuta pata billion 3.

Kumbuka siku ya mkutano wenu mkuu mwenyekiti wenu alisemaje kuhusu wap itapatikana hela ya ujenzi wa uwanja?achen kupumbazwa na unaz mwenyekit wenu msanii kaka soma mwananchi la jana kurasa ya michezo kuhusu uwongo wa mapato ya simba
 
Kuna taarifa za Simba kumsajili mu ivory coast na mkenya pascal ochieng na imemuacha Danny mrwanda na Kanu Mbiyavanga leo.Je TFF ilisogeza mbele siku kwa ku favour Yanga peke yao?Simba waangalie vizur ndan ya club yao ndo kuna mchawi!mliambiwa Okwi amefuzu majaribio mtapata tsh 3 billion wakat hata uwanjan hakukanyaga.

So ulitaka tupeleke majina mangapi ya kigeni?? Sasa ndo mmeuwasha moto.. Sasa tunawapiga Week kabisa mkafanye uchaguzi mwingine. Labda mechi zenu zichezeshwe na Oden Mbaga pake yake.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mwenye CV yake kwanza. Kama kuna mtu ameshtukia kuna aina fulani ya majibizano Shaffih na Bin Zubery Na beef kubwa sana kati ya Maestro na Bin Zubery. Hii yote ni chuki kwa kuwa yeye tuko chini sana narudia tena sana ya watu haya. Nadhani elimu yake na kiwango chake ni cha kuripoti habari 2 uchambuzi awaachie wengine. Mfano Mzuri Shaffih aliripoti kocha wa Yanga kuomba kibarua Harambee Stars akaibuka yeye ni habari za uongo za 'vizabinazabina' wasiotaka maendeleo ya yanga inayoonekana kuimarika kila siku na kuleta vurugu. Mungu si athumani juzi juzi katibu wa Kff akataja jina la Tom ndani ya majina kumi ya makocha walioomba kandarasi pale. KIKO WAPI?? AIBUUUU KWA BIN ZUBERY. Juzi uliona pale taifa mashabiki wa Simba walivyokuzodoa ktk Simba Day. Na kujitia kimbelembele ukajifanya eti na wewe ukaenda Mwananyamala Hosp pamoja na Simba. JIANGALIE WEWE!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwanza naona kabisa hapa kuna mgogoro wa kimtazamo kuhusu hoja ya twite. Sababu ya mgongano huu ni namna ambayo Mwandishi ametaka ujumbe huu iuwafikie watu. Ameuleta ujumbe wake kishabiki sana. Nadhani yeye asingeandika mtazamo wake ila angeweka facts zilizopo kuhusiana na suala husika. Kama ni mfuatiliaji wa mambo yaliyotokea na yanayotokea angejifunza namna waandishi wa habari walivyochangia mauaji ya halaiki kule Rwanda mwanzoni mwa miaka ya 1990. Wa TZ inatubidi tujipange sana na ndo maana wenzetu wa nchi jirani wanatupiga chini mara nyingi katika soko la ajira kutokana na namna walivyo na uwezo wa kujenga hoja zao (ingawa mara nyingine huwa hawana uwezo wa kuzifanya kazi wanazopewa)
 
Badala kujadili hoja watu wanamjadili bin zuberi. Rage hana usafi wowote wa kumtosha kuwachafu wengine.ile kutiwa hatiani tu kwa kosa la wizi tayari imemtia doa hata kama alishinda rufaa.halafu kesi nyingine ya kutiwa hatiani kwa kupanda jukwaani na bastola kule igunga ambapo alitozwa faini tu ingawa kosa lenyewe adhabu yake ni faini na/au kifungo.ni mtu huyuhuyu aliwahi kufunguliwa kesi na jamhuri baada ya kukamatwa na kadi feki za simba yeye na jumanne hassan masimenti na kesi hiyo iliisha kimyakimya.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom