Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,686
- 1,278
kuna kitu kitaaluma kinaitwa "BLACKOUT PROJECT" hii inatumika kwenye sekta ya uandish kama njia ya kuwazuga watu kutoka kufikiria jambo fulan muhim na ku divert mind zao kwenye jambo lingine..sasa hawa kina BIN ZUBEIRY Ndo Agents wa hii project..wanakuwa paid monthly kwa kutoandka madudu na ufisadi ili wananch walale.wewe huwez kuwa mwanahabar wa michezo uliyetimia ukashindwa kuona uharamu wa timu kumshawish mchezaji aliye ndani ya mkataba na timu nyingine?let alone Yondan,kuna Ishu ya Kapombe,Ngassa,OKWi wote wamethbitisha kufuatwa na viongoz wa Yanga wakat wanamikataba halali na SIMBA,he still attack on Rage..leaving behind oll these fu***ckn tricks wanacheza viongoz wa Yanga.UKWELI NI HIVI BIN ZUBEIRY ANAJUA ANACHOFANYA SABABU YUPO KWA AJILI YA WATU FLANI FLANI AMBAO WANAMFANYA AVIMBE TUMBO KISHA AENDE CHOONI.
Na kwa uongozi wa yanga uliopo madarakani tutashuhudia mengi yakusikitisha!! Tufumbue macho tu!!