JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Haya Toyota Echo hii tena hii ni petrol.... Imegonga 1m mpaka odo haiwezi kuendelea kucount.
Audi A4 hii nayo ina 1m km....
Haya hii subaru forester nayo imegonga kilimetre milioni moja.
Haya ni Skoda, Ndugu yake wa Audi na VW ni 1.9L TDI na ina 940,000Km.
I told you mambo mnayoongea yapo too theoretical.
Kipi kinafanya ife kama inatunzwa vizuri?Naona mfa maji bado unatapa tapa ok je zikitunzwa zote unataka sema hio ya 2l itaishi sawa na 4l?
Hakuna audi rq7 au rq8.Rq7 rq8
Aisee hizi ndio experience na reasoning ulikuwa unanitell!!!?Kipi kinafanya ife kama inatunzwa vizuri?
Labda body ichoke mapema kuliko engine.
So far sioni sababu ya engine inayotunzwa ife.
Aisee hizo ni kama vile umefaulu mtihani bila kusoma.. Huwa inatokea..!
Ndio maana inakuwa documented.. Ni kitu cha kushangaza..
Ila haibadilishi design ya engine ndogo parts zake sio span sawa na engine kubwa..!
Hahaha sasa hizo engines kubwa huwa hawadocument sababu ni jambo la kawaida..
Nitasearch na mimi.. Nikipata nitashare..!
Gari inakoroma tu…Hiyo V8 imekutana na Toyota mwenzake ndio maana inamnyanyasa.
Body chasis zenyewe pia ni mizigo ....hio passo hafa ikiwa empty dereva asiwepo iendeshwe na remote bado haiwezi fata lc yenye watu sita lazima irushe majiWe unajuaje kama gari inateseka?
Me najua gari yoyote itateseka kama umeioverload kinyume cha hapo hamna gari inateseka.
😁😁 Vitz enyewe ina kuja na kwanzia 1L hadi 1.8L sasa sijui anamaanisha hesabu gani yeye za kuchagua engine wakati body lile lileAhhh ok good good.. Ila kuna vitu vingi sana unamiss..
Toyota Landcruiser 100 series.. Kuna 1hz..kuna 1hdfte.. Kuna 1fz..kuna 2uz.. Kila moja ina power figures zake tofauti tofauti.. Sasa hiyo calculation unayosema waliifanya kutumia engine ipi kwenye same car..!!!!?
Options nyingi za engines unapewa ili wewe uamue kutokana na matumizi yako ipi itakufaa.. Hii point iweke kichwani usiisahau..!
Sedan engine ndogo hata internal parts zake zinakuwa designed kwa umbali kadhaa tofauti na engine kubwa..!
Nje ya mada kidogo.. Ukiwa unafanya design ya barabara.. Unaangalia barabara ni kubwa au ndogo... Kwahiyo life span unaweka kulingana na matumizi yake makubwa au madogo..!
Hilo dude hapo mbele lime relax huku nyuma jamaa karibia ana hit redline🤔
Kilichotengenezwa na binadamu kina mwsho wake nthng lasts foreverKipi kinafanya ife kama inatunzwa vizuri?
Labda body ichoke mapema kuliko engine.
So far sioni sababu ya engine inayotunzwa ife.