Bimmer na Landcruiser V8

Umeona engine ndogo inavyohangaika kukeep-up na kubwa..!!?
It's all about horsepower.

Engine ndogo yenye 300hp na engine kubwa yenye 300hp, zote zitafanya kazi sawa assuming uzito wa gari unalingana. Ila gari moja ikiwa nzito zaidi basi itasumbuka ku-keep up.

2l turbo charged anaweza muwashia moto 3.5l natural aspirated mpaka akashindwa ku-keep up.
 
It's all about horsepower.

Engine ndogo yenye 300hp na engine kubwa yenye 300hp, zote zitafanya kazi sawa assuming uzito wa gari unalingana. Ila gari moja ikiwa nzito zaidi basi itasumbuka ku-keep up.

2l turbo charged anaweza muwashia moto 3.5l natural aspirated mpaka akashindwa ku-keep up.
Ahhh ok.. Turbo charging.. Hii ni forced induction ya hewa kwenye block.. Engine itakuwa stressed.. Hii ndio tunaongelea muda wote..
How can you squeeze same hp ya bigger block kwenye smaller block bila kuistress!!!? Itakuwa stressed tuu na forced induction-turbo..!
 
Ahhh ok.. Turbo charging.. Hii ni forced induction ya hewa kwenye block.. Engine itakuwa stressed.. Hii ndio tunaongelea muda wote..
How can you squeeze same hp ya bigger block kwenye smaller block bila kuistress!!!? Itakuwa stressed tuu na forced induction-turbo..!
Mkuu wazungu walio tulitea haya, unafikiri hawakuwa reason kama wewe na hadi wakaamua kuleta hivyo vyuma? Kama vingekuwa nashida wasingetoa maana mambo mazuri mazuri yote yanatoka kwa mzungu.. Nimeona wanatoa VW R 4 cyl.. HP 400++
 
Mkuu wazungu walio tulitea haya, unafikiri hawakuwa reason kama wewe na hadi wakaamua kuleta hivyo vyuma? Kama vingekuwa nashida wasingetoa maana mambo mazuri mazuri yote yanatoka kwa mzungu.. Nimeona wanatoa VW R 4 cyl.. HP 400++
Wamebanwa na emission standards..!!
Leo watu wanawaza umeme.. Kwenda green emission..
 
So tunawazidi kufikiri hao walio tuletea hayo magari? Maana haya yenyewe tunayojadili yametoka kwao kwenye notes zao hatuna mpyaa
Ahhh sio kwamba wao hawajui gari inakuwa stressed zaidi.. Wanajua ndio maana maintainance yake inakuwa delicate..!
Screenshot_20211206-191404~2.png
Screenshot_20211206-191416~2.png
 
It's all about horsepower.

Engine ndogo yenye 300hp na engine kubwa yenye 300hp, zote zitafanya kazi sawa assuming uzito wa gari unalingana. Ila gari moja ikiwa nzito zaidi basi itasumbuka ku-keep up.

2l turbo charged anaweza muwashia moto 3.5l natural aspirated mpaka akashindwa ku-keep up.
Ila fungeni safari mnaenda let say mwanza from dar afu utajua faida ya hizo displacement kuwa kubwa faida yake
 
It's all about horsepower.

Engine ndogo yenye 300hp na engine kubwa yenye 300hp, zote zitafanya kazi sawa assuming uzito wa gari unalingana. Ila gari moja ikiwa nzito zaidi basi itasumbuka ku-keep up.

2l turbo charged anaweza muwashia moto 3.5l natural aspirated mpaka akashindwa ku-keep up.
Jibu murua
 
Ahhh ok.. Turbo charging.. Hii ni forced induction ya hewa kwenye block.. Engine itakuwa stressed.. Hii ndio tunaongelea muda wote..
How can you squeeze same hp ya bigger block kwenye smaller block bila kuistress!!!? Itakuwa stressed tuu na forced induction-turbo..!
Kwa hiyo ikiwa stressed inakuwa na maisha mafupi? 🤣🤣🤣
 
Ahhh ok.. Turbo charging.. Hii ni forced induction ya hewa kwenye block.. Engine itakuwa stressed.. Hii ndio tunaongelea muda wote..
How can you squeeze same hp ya bigger block kwenye smaller block bila kuistress!!!? Itakuwa stressed tuu na forced induction-turbo..!

Kwahiyo wewe fundi wa mwembe chai unajua zaidi kuliko engineers waliotengeneza hizo gari?

Tuache hayo, hapo tumeongelea output ya engine na sio mechanism ya kuburn fuel and oxygen. Na mpaka nikakwambia 2l turbo charged inaitoa jasho engine kubwa.
 
Mkuu wazungu walio tulitea haya, unafikiri hawakuwa reason kama wewe na hadi wakaamua kuleta hivyo vyuma? Kama vingekuwa nashida wasingetoa maana mambo mazuri mazuri yote yanatoka kwa mzungu.. Nimeona wanatoa VW R 4 cyl.. HP 400++
Fundi alie nanjilinji anajua zaidi ya kampuni inayoajiri top engineers, inachoma billions of dollars kwenye RnD na ina 50 yrs of experience in a car industry.

I'm amazed.
 
Back
Top Bottom