Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kumbe wamekwapua toka katika budget ya ujenzi kwenye fungu la billioni 300 la miradi maarum.
Lissu akauliza mnachukuaje ela toka kwa bajeti ambayo ishapitishwa?
Speaker anasema kanuni ya 102 na baadae wataiclear kwa kutumia appropriation bill
Magamba makanyanga kweli kwa nini wasichote toka bajeti ambazo hazijapitishwa.
Lissu akauliza mnachukuaje ela toka kwa bajeti ambayo ishapitishwa?
Speaker anasema kanuni ya 102 na baadae wataiclear kwa kutumia appropriation bill
Magamba makanyanga kweli kwa nini wasichote toka bajeti ambazo hazijapitishwa.