Billioni 95 zilikotoka

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Kumbe wamekwapua toka katika budget ya ujenzi kwenye fungu la billioni 300 la miradi maarum.
Lissu akauliza mnachukuaje ela toka kwa bajeti ambayo ishapitishwa?
Speaker anasema kanuni ya 102 na baadae wataiclear kwa kutumia appropriation bill
Magamba makanyanga kweli kwa nini wasichote toka bajeti ambazo hazijapitishwa.
 
Kafulila anasema ni suala la kuchoka so ni mwendo wa tia maji tia maji.
 
Kumbe wamekwapua toka katika budget ya ujenzi kwenye fungu la billioni 300 la miradi maarum.
Lissu akauliza mnachukuaje ela toka kwa bajeti ambayo ishapitishwa?
Speaker anasema kanuni ya 102 na baadae wataiclear kwa kutumia appropriation bill
Magamba makanyanga kweli kwa nini wasichote toka bajeti ambazo hazijapitishwa.
hatuna serikali makini.nawaambia yote ni propaganda tusubiri tuone.
 
Kumbe wamekwapua toka katika budget ya ujenzi kwenye fungu la billioni 300 la miradi maarum.
.

Kwa nini wasichukue hela zote za Wizara ya Wassira na kuifuta maana haina tita kwa Taifa. Na hata Wizara ya Uwekezeji ingefutwa kabisa na kuokoa hela. Hizi Wizara mbili hazihitajiki hata kidogo.
 
changa la macho..hizo pesa zimewekwa kwenye maandishi tu labda waongee na shimbo au cheji za epa si tuliambiwa zimerudishwa..
 
Back
Top Bottom