Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,465
Club BILLICANAS ina wafanyakazi wengi tuu na haya ndiyo malalamiko yao:-
1. Wamefanya kazi muda mrefu lakini hawana mikataba inayoeleweka
2. Hawahaunganishwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
3. Hawajaunganishwa na Bima za Afya nk
Hilo nalo liangaliwe.
Queen Esther
1. Wamefanya kazi muda mrefu lakini hawana mikataba inayoeleweka
2. Hawahaunganishwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
3. Hawajaunganishwa na Bima za Afya nk
Hilo nalo liangaliwe.
Queen Esther
Ngonjera iko wapi? Nimekueleza kwamba hawatoi risiti. Na risiti ni haki yetu walipaji wa tozo yeyote ile.
Nimeomba pia kumbi zote zichunguzwe, sio Billcanas tu.
Sasa unataka niwaambie nini TRA
Tanzania KWANZA, vikojozi baadaye