Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Kumbe huu ni umbea?unaongea umbea huku umepakatwa!
Kumbe huu ni umbea?unaongea umbea huku umepakatwa!
ushahidi ni kutopewa risiti. Unataka ushahidi gani mwingine..
Hebu nipe mfano wa matumizi bora ya kodi ninayolipa coz hata hapa hii bundle ya 8mb nimeshalipa kodi, nipe matumizi yake kama siyo kukulipa wewe mshahara wako
Huyo Makengeza afilisiwe mali zote za urithi...mshenzi mkubwa huyo...yani wananchi tunaangaika hatupati huduma kumbe halipi kodi ya biashara zake!?!😠
Mkuu kulipa kodi ni wajibu na ni moja kati ya sheria za kuendesha biashara kwa mpiga kelele kama mbowe alitakiwa alipe kodi kutimiza sheria haijalishi inatumikaje,ili mradi atimize wajibu wake,then yeye kama mbunge ahoji sasa matumizi ya kodi lkn baada ya kulipa siyo kuleta visingizio vya matumizi ya kodi kuikwepa,
Ijumaa tarehe 26.11.2015 rafiki yangu alifika Billcanas Club kwa ajiri ya kujifurahisha ambapo Club hiyo ilikuwa inazinduliwa upya baada ya kufunga mitambo mipya.
Alipofika mlangoni, alilipa kiingilio cha shs 10,000. Akaomba risiti ya malipo lakini hakupatiwa. Akasisitiza na kuambiwa hapa hakuna risiti.
Risiti ni haki ya mlipaji. Risiti uonesha serikali inapata kodi kiasi gani kutokana na tozo. Naomba ukumbi huu na kumbi zote zianze kutoa risiti mara moja la sivyo TRA iwafungie.
Ukumbi unaobeba watu 2000. wakilipa 10,000. ni sawa na 20000000.
Ni pesa nyingi zinapotea, hapo bado vinywaji ninauzwa bei ya juu sana ndani bila risiti yeyote.
TRA chunguzeni hizi sekta za burudani, taifa linapoteza mapato humo.
Mkonozi, mzee wa sina habari a.k.a selemaa
Tanzania kwanza, vikojozi baadaye
Ni wajibu wetu kuwaambia TRA pale tunaponyimwa risiti.
Tanzania KWANZA, vikojozi baadaye
Umenena vyema, sehem za starehe n chanzo kikubwa cha mapato, kuna majiji kama LA na MACAU wanasifika kwa kuendesha miji yao kutokana na mapato za kumbi za starehe! nadhan wakati umefika kwa TRA kuliangalia hili kwa umakini zaidimfano club moja tu, inakusanya milioni 20 mlangoni. Tufanye club 20 zenye ukubwa kama huo zinakwepa kodi weekend moja. Kwa mwezi weekend nne. Kwa mwaka.
Hapo bado upotevu wa kodi kubwa serikali inayokosa kutokana na vinywaji vinavyopandishwa bei mno. Mfano bia moja ni shs 4000. Wateja 2000 wanakunywa bia ngapi? Soda ngapi? Total lost revenue ni kubwa mno. Uko ulazima wa kuwa na efd mashine kwenye kumbi zote, kwenye mikusanyiko yote inayotoza viingilio na kadhalika. Hii inahusu pia fiesta za clouds, uko dar live na maeneo chungu mzima. Upumbavu wa tra, wanadhani weekend hamna mapato, wakati weekend ndo watanzania wanatumia mno pesa zao
Mkuu huu ni uzi una ihusu Bills ya Mbowe na ukwepaji kodi kwa kuto toa risiti...
Utaanza kufilisiwa ww
Hapa kinacho ongelewa ni ukwepaji kodi sasa kuimiza watu kulipa kodi ni mipasho?Wako wapi GT wa JF? siku hizi kuna mipasho tu,nilifikiri itaisha baada ya Oct 25.
Huyo Makengeza afilisiwe mali zote za urithi...mshenzi mkubwa huyo...yani wananchi tunaangaika hatupati huduma kumbe halipi kodi ya biashara zake!?!