Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Unapaswa kupewa risiti yako. Tusifanye mambo kimazoea, kisheria napaswa kupewa risiti. Tuweke tabia ya kudai risiti pale tu tunapofanya malipo yeyote, nchi za wenzetu, pipi tu unapewa risiti. Hii inasaidia taifa kukusanya kodi.

Risiti,risiti,risiti.

Tatizo si kukusanya kodi, tatizo ni pale mnapopata hiyo kodi mnaitumia kwa kufaidisha matumbo yenu na familia zenu, VX kubwa full tank popote kambi, ukimaliza unakwea pipa to Europe kwenda kuweka salio uswis baadae ukirudi unakuja kutuambia watanzania ni wapumbavu sana, hawafanyi kazi kabisa lkn huku umeacha huduma zote za jamii zimedorora hakuna kinachooneka kila siku afadhali ya jana.

Kwa mpango huo nitakuwa na moyo wa kulipa kodi kweli na nidai risiti, hayo mawazo nitayatolea wapi wakati hata hela ya mlo mmoja sijaona
 
usilolijua ni usiku wa giza,fuatilia historia ya nchi hii kabla ya uhuru na baada ya uhuru,ukishaifahamu utagundua hakuna takataka ya kumgusa mbowe nchi hii, jamaa ni miongoni mwa wenye nguvu nchi hii kabla na baada ya uhuru jiulize kwa nini then amka usingizini na uache kuota,jinga we

msioweza kumgusa ni nyinyi wafuasi wake. Iwapo anavunja taratibu ataguswa tuu
 
Mkuu mkonozi umenena vyema watu kama wanahitaji mabadiliko wasiogope majipu kutumbuliwa japo yanauma wavumilie tuu!

Hili swala la Clubs lazima liangaliwe na nilitegemea kuwa kumbi zote zina EFD maana niliona Club maisha mtwara wanatumia EFD kwakweli walinifurahisha sana tena sana!

Pia lazima swala la matamasha liangaliwe zaidi maana sidhani kama watu wanalipa kodi inayo stahili!

Dawa ni kumfurumsha tu nje ya bunge, wabunge kwa umoja wao akiingia tu waanze kuzomea "mkwepa kodi" "mkwepa kodi" hadi atoke na akikataa wamtoe kwa nguvu.
 
Last edited by a moderator:
tatizo si kukusanya kodi, tatizo ni pale mnapopata hiyo kodi mnaitumia kwa kufaidisha matumbo yenu na familia zenu, vx kubwa full tank popote kambi, ukimaliza unakwea pipa to europe kwenda kuweka salio uswis baadae ukirudi unakuja kutuambia watanzania ni wapumbavu sana, hawafanyi kazi kabisa lkn huku umeacha huduma zote za jamii zimedorora hakuna kinachooneka kila siku afadhali ya jana.

Kwa mpango huo nitakuwa na moyo wa kulipa kodi kweli na nidai risiti, hayo mawazo nitayatolea wapi wakati hata hela ya mlo mmoja sijaona

mkuu mpe nafasi jpm, mpe nafasi tafadhari

dai risiti yako popote ufanyapo malipo, huo ndo uzalendo wa kweli.

Kila jambo lina mwanzo wake, kuwa mfano, dai risiti, pigania risiti yako
 
Tatizo si kukusanya kodi, tatizo ni pale mnapopata hiyo kodi mnaitumia kwa kufaidisha matumbo yenu na familia zenu, VX kubwa full tank popote kambi, ukimaliza unakwea pipa to Europe kwenda kuweka salio uswis baadae ukirudi unakuja kutuambia watanzania ni wapumbavu sana, hawafanyi kazi kabisa lkn huku umeacha huduma zote za jamii zimedorora hakuna kinachooneka kila siku afadhali ya jana.

Kwa mpango huo nitakuwa na moyo wa kulipa kodi kweli na nidai risiti, hayo mawazo nitayatolea wapi wakati hata hela ya mlo mmoja sijaona

sasa huyu VX analo na kodi halipi na ulaya anenda tena akiwa na kimada.
 
Tatizo si kukusanya kodi, tatizo ni pale mnapopata hiyo kodi mnaitumia kwa kufaidisha matumbo yenu na familia zenu, VX kubwa full tank popote kambi, ukimaliza unakwea pipa to Europe kwenda kuweka salio uswis baadae ukirudi unakuja kutuambia watanzania ni wapumbavu sana, hawafanyi kazi kabisa lkn huku umeacha huduma zote za jamii zimedorora hakuna kinachooneka kila siku afadhali ya jana.

Kwa mpango huo nitakuwa na moyo wa kulipa kodi kweli na nidai risiti, hayo mawazo nitayatolea wapi wakati hata hela ya mlo mmoja sijaona

utakuwa na akili ndogo kama punje ya haradani inamaana huoni jitihada za kubana matumizi na matumizi bora ya kodi zetu?
 
tUMESHAANZA KUONA MATUMIZI MAZURI YA KODI ZETU

- TAYARI WANAVYUONI WAMEPEWA MIKOPO YAO
-UTARATIBU WA ELIMU BUREUKO TAYARI KABISA
-SEKTA YA AFYA INAANZA KUBORESHWA

NDUGU YANGO, NDIO KWANZA MWEZI TU. LAKINI TUNAONA KABISA KODI YETU INAENDA PANAPOSTAHILI

SELEMAA JPM. TUNAKUOMBEA KWA MUNGU UTUMBUE MAJIPU.TUKO NYUMA YAKO. SISI TUTAKAMUA USAA NA KUFUNGA BANDEJI. TUNAJUA MAJIPU YANAUMA. MTUVUMILIE HIVYO HIVYO WENYE MAJIPU

Bado sijaona kitu kabisaaaa, tena ukiniambia hivi vibaa vidogovidogo tena wafanyabiadhara wa ndani hujagusa kitu.

Nenda kwenye gas, madini, baharini, usafirishaji, maliasili na utalii sekta kibao nchi inapigwa hii.
Ile mikataba 17 ya kisirisiri jamaa ataigusa au mnabaki kukimbizana na wauza bia rejareja huku mitaani?
 
Huyo Makengeza afilisiwe mali zote za urithi...mshenzi mkubwa huyo...yani wananchi tunaangaika hatupati huduma kumbe halipi kodi ya biashara zake!?!😠
Wewe uliyejiumba na macho perfect hobgera sana kwa kulipa kodi zote na zaka unajilipa wewe uliyejiumba
 
sasa huyu VX analo na kodi halipi na ulaya anenda tena akiwa na kimada.

Kumbe tuko kwenye personal atrack zaidi, asante mwenye akili kubwa kuliko aliyekuumba.

Kuna mama ntilie pale msimbazi, stendi ya kimara hawalipi kodi nimekula hapo juzi nikadai risiti wakasema hawatoi
 
Sio kila risiti huonesha au ina maana ya kodi,mfano kwenye daladala unapewa risiti,je,hiyo ina maana ya kuonesha kodi?????????????Night clubs zina utaratibu wake na hulipiwa kwa utaratibu wake,sio kukusanya risiti vilaza wa lumumba!

Samaki samaki zote ukinunua kinywaji au chakula unapewa risiti za efd, kwa nini club usipewe risiti ukinunua kinywaji?
 
Ni wajibu wetu kuwaambia TRA pale tunaponyimwa risiti.

Tanzania KWANZA, vikojozi baadaye
tumekusikia mkuu mpiga filimbi , sasa lengo lako ni kuchunguza bilicanas tu au na ile DAR LIVE maana umetaja bills lakini kuna porojo nyingi sana ndani yake .
 
Mkuu, wewe ukienda kunywa bar au kula kwa mama lishe unadai risiti ya TRA?
Usiwe mjinga mama lishe hana VAT kutokana na mapato yake,ila Bilicanas kutokana na mapato yake yeye lazima awe amejisajiri VAT na ukijisajiri VAT unatakiwa uwe na kile kimashine cha kutolea risiti(EFD) na kila siku mapato yanatakiwa yaonekane TRA,klabu kama Bilicanas inatakiwa watoe risiti za TRA sio zile za kuandika na mkono,tuache ushabiki wa kijinga eti tu kwa kuwa ni Mbowe basi asilipe kodi,halafu nyie ndio wa kwanza kuloloma kuwa mnakosa huduma,Bilicanas inaingiza pesanyingi kuliko yale maduka ya wauza ulembo wakinga na wachaga pale Kariakoo ambao wao hulipa VAT.Kodi si ya watu wadogo tu hata hao wakubwa.
 
mkuu mpe nafasi jpm, mpe nafasi tafadhari

dai risiti yako popote ufanyapo malipo, huo ndo uzalendo wa kweli.

Kila jambo lina mwanzo wake, kuwa mfano, dai risiti, pigania risiti yako

Kwa sasa siko hivyo, uzalendo ulishanitoka longtime. HAPA KAZI TU
 
Ni ukumbi disko upi unatoa izo risiti? Ni baa ipi inatoa risiti ukinunua kinywaji?
Nadhani hapa kazi inabidi ifanyike nchi nzima. Hata mimi kwenye kibanda changu sina risiti na huwa nakwepa kulipa kodi maana TRA wananipandishia kodi kubwa kuliko uwezo wangu.
 
Usiwe mjinga mama lishe hana VAT kutokana na mapato yake,ila Bilicanas kutokana na mapato yake yeye lazima awe amejisajiri VAT na ukijisajiri VAT unatakiwa uwe na kile kimashine cha kutolea risiti(EFD) na kila siku mapato yanatakiwa yaonekane TRA,klabu kama Bilicanas inatakiwa watoe risiti za TRA sio zile za kuandika na mkono,tuache ushabiki wa kijinga eti tu kwa kuwa ni Mbowe basi asilipe kodi,halafu nyie ndio wa kwanza kuloloma kuwa mnakosa huduma,Bilicanas inaingiza pesanyingi kuliko yale maduka ya wauza ulembo wakinga na wachaga pale Kariakoo ambao wao hulipa VAT.Kodi si ya watu wadogo tu hata hao wakubwa.
Huu ni ukweli mchungu kabisa ...
 
utakuwa na akili ndogo kama punje ya haradani inamaana huoni jitihada za kubana matumizi na matumizi bora ya kodi zetu?

Hebu nipe mfano wa matumizi bora ya kodi ninayolipa coz hata hapa hii bundle ya 8mb nimeshalipa kodi, nipe matumizi yake kama siyo kukulipa wewe mshahara wako
 
Back
Top Bottom