Mbona umejaa upepo?Ngoja nikupe darsa kidogo,tuliza mihemko!Mtu yeyote anayepambana na serikali kwa kuikosoa ipasavyo lazima kitu cha kwanza ajihakikishe kuwa yuko clean!Hebu angalia watu wanaoendelea kuumbuliwa,wote ni wale waliokuwa maswahiba na rafiki wa awamu ya 4!Mfano mwingine ni Mengi,hebu fikiri kama angekuwa anafanya biashara kimagumashi lazima angeshamulikwa zamani!
Mfano halisia ni wewe hapo pia,ona uliposikia Mbowe anakwepa kodi ulivyokuja kwa mihemko umejaa povu mdomoni ukisema afilisiwe,wakati huo huo hatujakuona ukienda kwa style hii kwenye nyuzi humu jf zinazozungumzia ukwepaji wa kodi unaofanywa na waswahiba wa mr msoga!Huu ni ushahidi tosha kuwa ukiwa upande fulani lazima uwe so clean that no one can ever touch u!Wapiga deal wote wako karibu na ccm na serikali yake,not the other way around!Tuliona Gwajima alivyotikisa kiberiti kidogo tu alivyofuatiliwa!
Huu uzi nafanisha na mtu anayetaka pa kupumulia baana ya kuona kabanwa,kubalance hali ya hewa JF!
Acheni ujinga vilaza wa lumumba,buku 7 zimekata fanyeni kazi