Asante kwa kuliona hilo ila huku kwetu hadi watu maarufu wwnawalinzi
Asee nisamehe bure, hapa hakika nimekukosea vikali,Hapa nilipo nashindwa nikujibu nini kukutukana naona tabu make si kawaida yangu mwanaume mzima kunambia ntaolewa da poa bana ubalikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende wapiAkifia tz,jiandaeni kuhama
thA God thA bubbs!!
WaTz wamejazana kwa page yake, Mungu anusuru wasijeanza kutukanana tu kule taifa likapata aibu.Naskia kafungua a/c ya instagram leo kwa mara ya kwanza akiwa Tanga..... Ina follow bilion moja sasa hivi
HaaaaaaahhhKuna jamaa alikula ubwabwa kambale na maji ya kandoro akawa anaharisha tu majukwaani
RubiiKimimi
Hayo ni makamasi yanaongea sio ww. Huna akili na busara ata kidogo we kiumbeKuna jamaa alikula ubwabwa kambale na maji ya kandoro akawa anaharisha tu majukwaani
RubiiKimimi
Karibu makamasi mwenzangu tuzungumzeHayo ni makamasi yanaongea sio ww. Huna akili na busara ata kidogo we kiumbe
Alikunywaga maji yatokanayo na mavi atashindwaje huo wali safi?Haya sasa yeye kala wali maharage wewe uku huna ata hela kula chips na mayai mara kuku wakati mfukoni huna kitu
NB:billgates akila wali maharage na wanafunzi wa kicheba primary school uko muheza
Mungu Ni Mwema
Usijali nimesha kusamehe ndugu yanguAsee nisamehe bure, hapa hakika nimekukosea vikali,
Nakiri kuomba msamaha ndugu yangu.
Avatar zetu hiki ni fake
thA God thA bubbs!!
Hivi USA hakuna mchele na maharage?
Mkuu acha habari za kusikia, hadi sasa ina followers 49.1kNaskia kafungua a/c ya instagram leo kwa mara ya kwanza akiwa Tanga..... Ina follow bilion moja sasa hivi
Kama mimi!Vizuri sana. He is very rich yet very simple man. Hana ubishoo.