- Thread starter
- #41
Muwe mnasoma mada kwa uangalifu, nani kasema kimeshinda chama kilichokuwa supported na kanisa katoliki.OP amekosea, anajenga hoja kwa papara, Kanisa Katoliki wala hali msupport msindi aliyetangazwa bw. Tishekedi, bali lina msupport bw FAYULU ambaye ametangazwa kushika nafasi ya pili...
Sent using Jamii Forums mobile app