Bila upinzani kutegemea nguvu kutoka nje ya siasa hawatashinda. Case Study: DRC.

Acha kukurupuka, upinzani halisi umepinga matokeo. Kabila kafanya yake na Chisekedi ni mshirika wa kabila
Hizo ni hisia.

Unafahamu historia ya Marehemu Kabila sr na Marehemu Tshisekedi sr kwenye siasa za Kongo.
 
Katika mbinu ambayo CCM imeitumia kuendelea kuwa madarakani ni kubadili wagombea na mwenyekiti. Hii inasababisha hichi chama kiwe kama ni muunganiko wa vyama vingi ndani ya chama kimoja. Siasa zao zinabadilika badilika sana. Embu angalia CCM ya magufuli Ilivyo tofauti na CCM ya kikwete. Utasema ni vyama tofauti kabisa. Jaribu kuvuta picha CCM ya mtu mwingine wakati utakapofika labda ccm ya Membe au ccm ya makamba nayo itakuwa tofauti kabisa na ya Magufuli. Sasa ukichukua hili + sapoti ya Jeshi + usalama wa Taifa hivi upinzani unachomoaje?
Angalau umeongea kitu, lkn CCM ni ile ile.
 
Katika mbinu ambayo CCM imeitumia kuendelea kuwa madarakani ni kubadili wagombea na mwenyekiti. Hii inasababisha hichi chama kiwe kama ni muunganiko wa vyama vingi ndani ya chama kimoja. Siasa zao zinabadilika badilika sana. Embu angalia CCM ya magufuli Ilivyo tofauti na CCM ya kikwete. Utasema ni vyama tofauti kabisa. Jaribu kuvuta picha CCM ya mtu mwingine wakati utakapofika labda ccm ya Membe au ccm ya makamba nayo itakuwa tofauti kabisa na ya Magufuli. Sasa ukichukua hili + sapoti ya Jeshi + usalama wa Taifa hivi upinzani unachomoaje?
huko kubadilika kwa uongozi ndio kuendana na mazingira ya sasa ya kisiasa , kijamii na kiuchumi. vyama vya kifalme( CHADEMA) huwa haviitaji kubadilika kwa sababu mfalme hana mwisho wa kutawala ila ana mwanzo tu ndio maana hawasumbuki na mabadiliko yeyote
 
Hizo ni hisia.

Unafahamu historia ya Marehemu Kabila sr na Marehemu Tshisekedi sr kwenye siasa za Kongo.
Hufahamu katika siasa rafiki wa leo ni adui wa kesho na adui wa leo ni rafiki wa kesho? Fuatilia international news ujionee
 
Hufahamu katika siasa rafiki wa leo ni adui wa kesho na adui wa leo ni rafiki wa kesho? Fuatilia international news ujionee
Mtawala hana rafiki once upinzani umeshika madaraka Kabila na chama chake hawana nguvu yeyote tena.
 
huko kubadilika kwa uongozi ndio kuendana na mazingira ya sasa ya kisiasa , kijamii na kiuchumi. vyama vya kifalme( CHADEMA) huwa haviitaji kubadilika kwa sababu mfalme hana mwisho wa kutawala ila ana mwanzo tu ndio maana hawasumbuki na mabadiliko yeyote
Nadhani Chadema angalau wanabadili wagombea. Mwenyekiti kutobadilika nadhani ni njia ya kuimarisha chama. Nyerere alikuwa mwenyekiti kwa mda pia kwa ajili ya kuimaisha ccm. Chadema kinahitaji kukua.
 
hakuna upinzani kubanwa wala kubaniwa, ila ni matokeo ya kujitengeneza kuwa vyama vya kifalme( kiongozi/ mwenyekiti wa chama hana mwisho wa kumaliza ) na watanzania hawawezi kukubali ufalme na uchifu urudi Tanzania kwa mfumo wa kisiasa. chama cha siasa tanzania kipo kimoja tu nacho ni CCM

Kilisajiliwa lini? Chama cha siasa hutumia vyombo vya dola kukaa madarakani?
 
Ndo maana sasa upinzani una mahusiano mazuri na EU pamoja na USA. Dhamira ni kuliangamiza hili joka linalotutafuna (Jiwe) ifikapo 2020.
Ukisikia akili finyu ndio hizi, wazungu hua wanaingia mkishalianzisha, Libya, Yemen, Egypt waliwaambia anzeni kupigana kwanza kisha tutawapa silaha lakini kwa makubaliano maalum (maliasili)

Sasa kwa akili yako ni mtanzania yupi wa kuingia barabarani? Hii nchi ipo imara zaidi ya unavyoelewa, mtatembezewa virungu mpaka yesu anashuka
 
You wait and see
Tunachosubiri ni kuapishwa kwa Felix Antoine Tshisekedi Tshilombo mengine ni historia huku chama tawala kikishika nafasi ya tatu.
==========​

With over 7 million votes representing 38.57% of total votes cast, Felix Tshisekedi has been declared president-elect in the Democratic Republic of Congo, DRC.

The son of a former opposition chief was followed by another opposition candidate, Martin Fauly, leader of the Lamuka coalition. Fayulu claimed 6.3 million votes (34.38%).

The ruling coalition’s candidate and former interior minister, Emmanuel Ramazani Shadary came in third with over 4.3 million votes representing 23.84% of votes cast.
 
ungejua kuitofautisha CCM na vyama vingine vinavyoweka wafalme madarakani , usingesema haya. kwa yaliyotokea Kongo , huwezi kufananisha na Tanzania na kwa Tanzania CCM tutaongoza sana mpaka tuseme basi kwa sababu :nia, uwezo na sababu tunazo.

Tofauti ya CCM na hivyo vyama vingine ni kwamba CCM inabadalisha kiongozi , hivyo ni vigumu kwa kiongozi kuchokwa na tunachagua viongozi waliobeba matarajio ya wananchi (mfano ni Rais Magufuli).

wananchi hawabadilishi chama kwa sababu wana mapenzi nacho, wananchi wanachagua chama kilichobeba matarajio yao kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii na kwa CCM ina hazina ya viongozi wenye mtazamo wa kubadilisha nchi na wananchi wake hivyo si rahisi CCM kuchokwa na kupelekea kuchagua upinzani wq matukio
Ni mwaka wa ngapi ccm IPO tangu tupate uhuru? Na niviongoz wangap wakiopita was ccm? Yaan unaongea hata reasons kama hizi huna?
 
Kwa akili yako unaamini kabisa mataifa ya nje yanataka wananchi wa DRC wawe na Rais wanayemtaka? Hivi hujiulizi ni kwanini DRC wanapigana miaka yote na wanapata wapi silaha? Waafrika tutaamka lini?

Hizi silaha tulizonazo zinatengenezwa hapa nchini?Acha ujinga ww. Lile jeshi lililoenda kutishia wananchi wa ZnZ ili mgombea wa ccm atangazwe, silaha walizobeba zilitengenezwa hapa nchini? Mataif ya nje hayataki DRC iwe na rais mzuri, je huyo kibaraka wa Kabila ndio rais mzuri?
 
Kongo siyo Tanzania, kwani unafikiri upinzani wa TZ hautaki msaada ktk nje? Wanautaka sana ila hawaipati. Tundu Lisu kila siku anashinda corridor za Muzungu hata kaenda kulazwa Brussels lkn hakuna kitu.
 
huko kubadilika kwa uongozi ndio kuendana na mazingira ya sasa ya kisiasa , kijamii na kiuchumi. vyama vya kifalme( CHADEMA) huwa haviitaji kubadilika kwa sababu mfalme hana mwisho wa kutawala ila ana mwanzo tu ndio maana hawasumbuki na mabadiliko yeyote
Mbona jiwe kakifuta kipengele cha kura za maoni na hataki kusikia hiyo nafasi ichukuliwe na mwingine!!! Hatimaye kumtolea macho membe baada ya kutangaza nia 2020 why?
Yaani hapo anashindwa kuipindua katiba ili aongoze kifalme.
 
Kongo siyo Tanzania, kwani unafikiri upinzani wa TZ hautaki msaada ktk nje? Wanautaka sana ila hawaipati. Tundu Lisu kila siku anashinda corridor za Muzungu hata kaenda kulazwa Brussels lkn hakuna kitu.
Nafikiri ndiyo wameanza kushituka walikuwa wanadhani sanduku la kura ndilo litawaingiza ikulu.

Angalau sasa tunaona movements za kushirikisha jumuia za kimataifa.

Sakata la Spika na CAG: Barua yangu kwa Katibu Mkuu Mabunge ya Jumuiya ya Madola na Maspika na ma CAG Afrika - JamiiForums
 
OP amekosea, anajenga hoja kwa papara, Kanisa Katoliki wala hali msupport msindi aliyetangazwa bw. Tishekedi, bali lina msupport bw FAYULU ambaye ametangazwa kushika nafasi ya pili...

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo obssesed na chama tawala! Hajui hata hapa Tanzania CCM Ikiona mambo mazito inatengeneza CCM B inaonekana mpinzani kumbe ni wale wale
 
Yupo obssesed na chama tawala! Hajui hata hapa Tanzania CCM Ikiona mambo mazito inatengeneza CCM B inaonekana mpinzani kumbe ni wale wale
Umejuaje, binafsi siko affiliated na chama chochote almradi chama cha upinzani kimeshinda na siyo chama tawala kwangu ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom