Vyama vya upinzani Tanzania hasa Zanzibar vimekuwa vikishinda chaguzi mbalimbali lkn vimekuwa vikiporwa ushindi kwa sababu havina nguvu yeyote zaidi ya kutegemea sanduku la kura. Sanduku la kura peke yake haliwezi kuwapeleka ikulu.
Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.
Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.Trump sent 80 US troops to Gabon over possible violence in DR Congo
Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.
CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.
Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.
Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.
Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.
Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.
Politics is beyond ballot box.
By, Mwana JF mzoefu Quinine.
Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.
Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.Trump sent 80 US troops to Gabon over possible violence in DR Congo
Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.
CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.
Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.
Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.
Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.
Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.
Politics is beyond ballot box.
By, Mwana JF mzoefu Quinine.