Bila upinzani kutegemea nguvu kutoka nje ya siasa hawatashinda. Case Study: DRC.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,272
47,268
Vyama vya upinzani Tanzania hasa Zanzibar vimekuwa vikishinda chaguzi mbalimbali lkn vimekuwa vikiporwa ushindi kwa sababu havina nguvu yeyote zaidi ya kutegemea sanduku la kura. Sanduku la kura peke yake haliwezi kuwapeleka ikulu.

Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.

Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.Trump sent 80 US troops to Gabon over possible violence in DR Congo

Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.

CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.

Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.

Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.

Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.

Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.

Politics is beyond ballot box.

By, Mwana JF mzoefu Quinine.
 
ungejua kuitofautisha CCM na vyama vingine vinavyoweka wafalme madarakani , usingesema haya. kwa yaliyotokea Kongo , huwezi kufananisha na Tanzania na kwa Tanzania CCM tutaongoza sana mpaka tuseme basi kwa sababu :nia, uwezo na sababu tunazo.

Tofauti ya CCM na hivyo vyama vingine ni kwamba CCM inabadalisha kiongozi , hivyo ni vigumu kwa kiongozi kuchokwa na tunachagua viongozi waliobeba matarajio ya wananchi (mfano ni Rais Magufuli).

wananchi hawabadilishi chama kwa sababu wana mapenzi nacho, wananchi wanachagua chama kilichobeba matarajio yao kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii na kwa CCM ina hazina ya viongozi wenye mtazamo wa kubadilisha nchi na wananchi wake hivyo si rahisi CCM kuchokwa na kupelekea kuchagua upinzani wq matukio
 
Bongo bado sana maana wapinzani wamezidi kubanwa kama ruanda
hakuna upinzani kubanwa wala kubaniwa, ila ni matokeo ya kujitengeneza kuwa vyama vya kifalme( kiongozi/ mwenyekiti wa chama hana mwisho wa kumaliza ) na watanzania hawawezi kukubali ufalme na uchifu urudi Tanzania kwa mfumo wa kisiasa. chama cha siasa tanzania kipo kimoja tu nacho ni CCM
 
Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.

Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.


Unakumbushia watu Machungu bwana!
 
ungejua kuitofautisha CCM na vyama vingine vinavyoweka wafalme madarakani , usingesema haya. kwa yaliyotokea Kongo , huwezi kufananisha na Tanzania na kwa Tanzania CCM tutaongoza sana mpaka tuseme basi kwa sababu :nia, uwezo na sababu tunazo.

Tofauti ya CCM na hivyo vyama vingine ni kwamba CCM inabadalisha kiongozi , hivyo ni vigumu kwa kiongozi kuchokwa na tunachagua viongozi waliobeba matarajio ya wananchi (mfano ni Rais Magufuli).

wananchi hawabadilishi chama kwa sababu wana mapenzi nacho, wananchi wanachagua chama kilichobeba matarajio yao kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii na kwa CCM ina hazina ya viongozi wenye mtazamo wa kubadilisha nchi na wananchi wake hivyo si rahisi CCM kuchokwa na kupelekea kuchagua upinzani wq matukio

kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii kama vipi vile? Nchi kama Congo ambayo maisha yake yote ni vita wameweza kujitambua na ndo nchi yenye utajiri mkubwa Africa, halafu unasema Tanzania ki diplomasia kwa wakati huu? Ungesema kwenye past tense ningekuelewa. Kijamii?? Wewe unaishi mjini hujaja kwenye vijiji vyetu uone tunavyosota. Maendeleo gani zaidi ya yale ambayo yamekuwepo na mengi yalianzishwa na wakoloni. At least Mwalimu alitufikisha mahali tukaanza kutembea vifua mbele. Sasa kipo wapi? Chama si maendeleo bali ni utashi na uelewa wa wananchi. Vile vile uhuru na uwazi wa watawala bila vitisho ndo utatupeleka mbele.
 
ungejua kuitofautisha CCM na vyama vingine vinavyoweka wafalme madarakani , usingesema haya. kwa yaliyotokea Kongo , huwezi kufananisha na Tanzania na kwa Tanzania CCM tutaongoza sana mpaka tuseme basi kwa sababu :nia, uwezo na sababu tunazo.

Tofauti ya CCM na hivyo vyama vingine ni kwamba CCM inabadalisha kiongozi , hivyo ni vigumu kwa kiongozi kuchokwa na tunachagua viongozi waliobeba matarajio ya wananchi (mfano ni Rais Magufuli).

wananchi hawabadilishi chama kwa sababu wana mapenzi nacho, wananchi wanachagua chama kilichobeba matarajio yao kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii na kwa CCM ina hazina ya viongozi wenye mtazamo wa kubadilisha nchi na wananchi wake hivyo si rahisi CCM kuchokwa na kupelekea kuchagua upinzani wq matukio
Wananchi wameichoka CCM!
 
hakuna upinzani kubanwa wala kubaniwa, ila ni matokeo ya kujitengeneza kuwa vyama vya kifalme( kiongozi/ mwenyekiti wa chama hana mwisho wa kumaliza ) na watanzania hawawezi kukubali ufalme na uchifu urudi Tanzania kwa mfumo wa kisiasa. chama cha siasa tanzania kipo kimoja tu nacho ni CCM
Mlishindwa Zanzibar mkatumia mabavu kitengua matokeo ya urais!
 
ungejua kuitofautisha CCM na vyama vingine vinavyoweka wafalme madarakani , usingesema haya. kwa yaliyotokea Kongo , huwezi kufananisha na Tanzania na kwa Tanzania CCM tutaongoza sana mpaka tuseme basi kwa sababu :nia, uwezo na sababu tunazo.

Tofauti ya CCM na hivyo vyama vingine ni kwamba CCM inabadalisha kiongozi , hivyo ni vigumu kwa kiongozi kuchokwa na tunachagua viongozi waliobeba matarajio ya wananchi (mfano ni Rais Magufuli).

wananchi hawabadilishi chama kwa sababu wana mapenzi nacho, wananchi wanachagua chama kilichobeba matarajio yao kiuchumi, kidiplomasia, kimaendeleo na kijamii na kwa CCM ina hazina ya viongozi wenye mtazamo wa kubadilisha nchi na wananchi wake hivyo si rahisi CCM kuchokwa na kupelekea kuchagua upinzani wq matukio
Umeelewa nilichoandika.
 
Vyama vya upinzani Tanzania hasa Zanzibar vimekuwa vikishinda chaguzi mbalimbali lkn vimekuwa vikiporwa ushindi kwa sababu havina nguvu yeyote zaidi ya kutegemea sanduku la kura. Sanduku la kura peke yake haliwezi kuwapeleka ikulu.

Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.

Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.

Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.

CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.

Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.

Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.

Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.

Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.

Politics is beyond ballot box.

By, Mwana JF mzoefu Quinine.


HAKUNAA UPINZANI KUNA MATAPELII MKUU

JIULIZEE KWA NN WAKIKARIBIA UCHAHUZI WANAUNGANA WAKIMALIZA.UCHAGUZI MUUNGANO UNAVUNJWA WANASUBIRIA TENA KARIBU NA UCHAGUZI

WAKOPALE KWA AJILI YA RUZUKU TU MSAHAU TANZANIA YAAN HAYAO MAJIMBO WALIOKAMATA AWATAKUWA NAYO TENA 2020 MTANIAMBIA
 
Vyama vya upinzani Tanzania hasa Zanzibar vimekuwa vikishinda chaguzi mbalimbali lkn vimekuwa vikiporwa ushindi kwa sababu havina nguvu yeyote zaidi ya kutegemea sanduku la kura. Sanduku la kura peke yake haliwezi kuwapeleka ikulu.

Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.

Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.

Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.

CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.

Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.

Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.

Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.

Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.

Politics is beyond ballot box.

By, Mwana JF mzoefu Quinine.

Kwa akili yako unaamini kabisa mataifa ya nje yanataka wananchi wa DRC wawe na Rais wanayemtaka? Hivi hujiulizi ni kwanini DRC wanapigana miaka yote na wanapata wapi silaha? Waafrika tutaamka lini?
 
Vyama vya upinzani Tanzania hasa Zanzibar vimekuwa vikishinda chaguzi mbalimbali lkn vimekuwa vikiporwa ushindi kwa sababu havina nguvu yeyote zaidi ya kutegemea sanduku la kura. Sanduku la kura peke yake haliwezi kuwapeleka ikulu.

Ushindi wa uchaguzi hasa kiti cha urais ni zaidi ya siasa, chama cha Mapinduzi hakitegemei siasa kushinda uchaguzi, kina tegemea nguvu ya ziada nje ya siasa, siasa inatumika kama ngazi tu ya kuhalalisha ushindi.

Leo Kongo upinzani umetangazwa washindi sio kwa nguvu zao, Tume ya uchaguzi CENI ilikuwa na uwezo kabisa wa kugeuza matokeo lkn haikuthubutu kutokana na nguvu ya nje hasa Kanisa Katoliki na shinikizo la nchi za Ulaya na Marekani ambayo tayari ilianza kusogeza manowari zake kwenye pwani ya Congo.

Ushindi wa uchaguzi unategemea nguvu ya uchumi, unategemea jumuiya za kijamii, unategemea nchi marafiki, unategemea ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa, bila kuwa supported na makundi haya huwezi kuingia ikulu hata kama utashinda kwa 100%.

CCM ina rafiki zake China, FRELIMO, ANC, Swapo, MPLA haiogopi hata kuwakaribisha kwenye kampeni zake, na ndio wanaosaidiana hata mbinu za kuiba matokeo, upinzani unaogopa kuwatambua marafiki zake eti wataambiwa wanashirikiana na mabeberu. Acheni uoga.

Shirikianeni na viongozi wa dini, Makanisa na Misikiti waziwazi msiogope kuambiwa mnaingiza dini kwenye siasa, mbona wao kila sehemu wanaongozana nao. Shirikianeni na vyama vya kijamii kama LHRC, TUKTA, CWT, TLC, NGOs, hamna sababu ya kujifichaficha.

Tafuteni mashirika ya ndani na nje yenye influence na politics za maziwa makuu, tell them what you think Tanzania is ought to be, hakuna sababu ya kujifungia Ufipa na Mtendeni kama watoto yatima, tell the world know what is happening in Tanzania.

Tafuteni mapema misaada kwa vyama na nchi marafiki ili kujiandaa na uchaguzi wa 2020 acheni kutegemea ruzuku, nani akupe ruzuku ili umshinde, mlishaambiwa mapema kuwa serikali haiwezi kuondoka kwa kipande cha karatasi ya kura.

Uoga wenu ndio kushindwa kwenu.

Politics is beyond ballot box.

By, Mwana JF mzoefu Quinine.
Acha kukurupuka, upinzani halisi umepinga matokeo. Kabila kafanya yake na Chisekedi ni mshirika wa kabila
 
Kwa akili yako unaamini kabisa mataifa ya nje yanataka wananchi wa DRC wawe na Rais wanayemtaka? Hivi hujiulizi ni kwanini DRC wanapigana miaka yote na wanapata wapi silaha? Waafrika tutaamka lini?
Ukisoma katikati ya mistari utaelewa nilichomaanisha.
 
Katika mbinu ambayo CCM imeitumia kuendelea kuwa madarakani ni kubadili wagombea na mwenyekiti. Hii inasababisha hichi chama kiwe kama ni muunganiko wa vyama vingi ndani ya chama kimoja. Siasa zao zinabadilika badilika sana. Embu angalia CCM ya magufuli Ilivyo tofauti na CCM ya kikwete. Utasema ni vyama tofauti kabisa. Jaribu kuvuta picha CCM ya mtu mwingine wakati utakapofika labda ccm ya Membe au ccm ya makamba nayo itakuwa tofauti kabisa na ya Magufuli. Sasa ukichukua hili + sapoti ya Jeshi + usalama wa Taifa hivi upinzani unachomoaje?
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom