Bila shaka mmeshawajua wenye chama chao sasa

Bila shaka mmeshawajua wenye chama chao sasa

Ngwathra

Platinum Member
Joined
Jul 11, 2007
Posts
7,006
Reaction score
14,213
Kwa ujumla tumeona wanaoimiliki sisiemu na kwa nini abdueli alitumwa akamnunue Simba, walipoona hanunuliki wakahamia kwa team mwamba waliopokea wakapokea na yakatokea yaliyofuata hadi chama kilichokua kinamiliki sufuria za ubwabwa tu leo kina maviete ghafla

Wamemshindwa kumbeba na kummliki simba na sasa wanataka anyongwe aondoe "nuissance" kwa mabilionea walaji wa mama na deals zao! Kwa aliyejua sethi singa ni mhujumu mmepata ujumbe sasa, mlijidanganya sana. RIP jiwe nimeelewa sasa alivyosema vita ni kali mno mbaba wa watu, tukampuuza japo alikuwa dikteta uchwara

Anyway washereheshaji wa jf kina tilalila na mwashamba na wengine karibuni sana mje kupumua kwa nyuma mkishiba kande kule kwa bibi zenu wanaovuna mchicha, wakati wenye chama chao wanavuna mabi/trilioni!

Kuna kesi ingine imefunguliwa International Court of Arbitration ulaji unatengenezwa kama kawaida ulaji kwa mlango wa nyuma! Wakishapiga wataongeza fungu la ushindani wa mama na mwalimu, wakilindwa na wambura na mikwara yake na manguvu na vitisho!

Maskini mama tanzania😡
 
1755048725294.png

1755048743944.png

Baadhi ya wachangiaji wa harambee.
 
Kwa ujumla tumeona wanaoimiliki sisiemu na kwa nini abdueli alitumwa akamnunue Simba, walipoona hanunuliki wakahamia kwa team mwamba waliopokea wakapokea na yakatokea yaliyofuata hadi chama kilichokua kinamiliki sufuria za ubwabwa tu leo kina maviete ghafla

Wamemshindwa kumbeba na kummliki simba na sasa wanataka anyongwe aondoe "nuissance" kwa mabilionea walaji wa mama na deals zao! Kwa aliyejua sethi singa ni mhujumu mmepata ujumbe sasa, mlijidanganya sana. RIP jiwe nimeelewa sasa alivyosema vita ni kali mno mbaba wa watu, tukampuuza japo alikuwa dikteta uchwara

Anyway washereheshaji wa jf kina tilalila na mwashamba na wengine karibuni sana mje kupumua kwa nyuma mkishiba kande kule kwa bibi zenu wanaovuna mchicha, wakati wenye chama chao wanavuna mabi/trilioni!

Kuna kesi ingine imefunguliwa International Court of Arbitration ulaji unatengenezwa kama kawaida ulaji kwa mlango wa nyuma! Wakishapiga wataongeza fungu la ushindani wa mama na mwalimu, wakilindwa na wambura na mikwara yake na manguvu na vitisho!

Maskini mama tanzania😡
downloadfile-2.png
 
Kwa ujumla tumeona wanaoimiliki sisiemu na kwa nini abdueli alitumwa akamnunue Simba, walipoona hanunuliki wakahamia kwa team mwamba waliopokea wakapokea na yakatokea yaliyofuata hadi chama kilichokua kinamiliki sufuria za ubwabwa tu leo kina maviete ghafla

Wamemshindwa kumbeba na kummliki simba na sasa wanataka anyongwe aondoe "nuissance" kwa mabilionea walaji wa mama na deals zao! Kwa aliyejua sethi singa ni mhujumu mmepata ujumbe sasa, mlijidanganya sana. RIP jiwe nimeelewa sasa alivyosema vita ni kali mno mbaba wa watu, tukampuuza japo alikuwa dikteta uchwara

Anyway washereheshaji wa jf kina tilalila na mwashamba na wengine karibuni sana mje kupumua kwa nyuma mkishiba kande kule kwa bibi zenu wanaovuna mchicha, wakati wenye chama chao wanavuna mabi/trilioni!

Kuna kesi ingine imefunguliwa International Court of Arbitration ulaji unatengenezwa kama kawaida ulaji kwa mlango wa nyuma! Wakishapiga wataongeza fungu la ushindani wa mama na mwalimu, wakilindwa na wambura na mikwara yake na manguvu na vitisho!

Maskini mama tanzania😡
Porojo za kimaskini tu
 
Ili tuende sawa wanajamii inatakiwa tusidili ya mboga mboga tudeal na hawa matajiri hawa matajiri wakiwa upande wetu tunaanua ngoma mapema sana na ili wawe upande wetu ni kuwanyima raha cause hawa matajiri hawamiliki majeshi zaidi ya walinzi so endapo matajiri watakosa raha na mali zao kupitia siye wanainchi hii nchi tutaibadili

Leo hii matajiri wanatetemekea mbogamboga kwa sababu inawanyima raha endapo wakizingua so ni muda wa sisi wanajamii kuwanyima raha ili wawe upande wetu
 
Polisi wakiona michango kama hii lazima watuvunje viuno mbwa hawa, halafu wanaishia kupewa laki moja moja
 
Ili tuende sawa wanajamii inatakiwa tusidili ya mboga mboga tudeal na hawa matajiri hawa matajiri wakiwa upande wetu tunaanua ngoma mapema sana na ili wawe upande wetu ni kuwanyima raha cause hawa matajiri hawamiliki majeshi zaidi ya walinzi so endapo matajiri watakosa raha na mali zao kupitia siye wanainchi hii nchi tutaibadili

Leo hii matajiri wanatetemekea mbogamboga kwa sababu inawanyima raha endapo wakizingua so ni muda wa sisi wanajamii kuwanyima raha ili wawe upande wetu
Thubutu ukipewa laki moja unaingiza mkia matakoni
Nyumbu nyie
Tafuta chimbo ulambe asali tuu
 
Ili tuende sawa wanajamii inatakiwa tusidili ya mboga mboga tudeal na hawa matajiri hawa matajiri wakiwa upande wetu tunaanua ngoma mapema sana na ili wawe upande wetu ni kuwanyima raha cause hawa matajiri hawamiliki majeshi zaidi ya walinzi so endapo matajiri watakosa raha na mali zao kupitia siye wanainchi hii nchi tutaibadili

Leo hii matajiri wanatetemekea mbogamboga kwa sababu inawanyima raha endapo wakizingua so ni muda wa sisi wanajamii kuwanyima raha ili wawe upande wetu

Hawa ndio mboga zenyewe, ukimuona mama juu ya mtu ujue kapandishwa! Ndo fact yani...
 
Back
Top Bottom