Njaa kali sana hao ndiyo maana wamegueka majambazi waliovaa sare za polisi.....Usijichanganye uingie kwenye 18 zao ni bora ukutane na majambazi wenyewe kuliko hao.Hao hao mkuu! Wana maisha mazuri tu usiwadharau kwa nje
450k kwa dar ni ndogo apo ni hela ya Kodi na msosi.Ni umasikini mkuu tu kweli wewe ulipwe 450k kwa maisha ya Dar es salaam una familia unapanga unaishi je, kama sio umasikini wengine tungekua na wazazi wenye uwezo bora urudishe majeshi kwa wazazi yuishi kama hao waarabu koko wa kariakoo baba mama shangazi watoto mke wote sehemu moja
Wanakumaliza na hela wanachukua wanasema ulikuwa jambaziNjaa kali sana hao ndiyo maana wamegueka majambazi waliovaa sare za polisi.....Usijichanganye uingie kwenye 18 zao ni bora ukutane na majambazi wenyewe kuliko hao.
Tatizo sasa hawa dhulma ni nyingi sana kwa jamii wanayoihudumia.Ukitaka ufurahie ajira ya serikali, uwe na hela ya ziada, mfano hela ya Chai, nyumba, nauli, extra duty, per dierm, nk taasisi hizi huwezi kusikia watu wanalia njaa, Tanesco,Gepsa , TRC, EWURA, TPDC, na zipo taasisi nyingi ambazo watumishi wake wanaishi maisha mazuri Balaa! Hata Askari siku hizi Wana maslahi mazuri sana! Mshahara Peke yake kwa kweli maisha ni magumu!
Hakika Mkuu.Thank you!!
Kabla ya kuacha lazima ujipange na uangalie trend ,unafanya huku umeajiriwa then ukiona kunaenda vizuri ila muda tu unabana hapo ndipo unapoacha na kudedicate muda wote kwako.
Namimi hapo kaniacha kwakweliSingle digit ndio umeniacha hapo
Less than (<) 1,000,000 per monthSingle digit ndio umeniacha hapo
Siyo rahisi kihivyo kwa muajiriwa kuanzisha biashara ikasimama kwa viwango hivyo,wakati muda mwingi unaitumikia serikali kuanzia sa 1 asbh mpaka sa 9 na nusu jionAnzisha Biashara ukiwa humo humo kwenye ajira hadi hiyo biashara ianze kukupa return mara 5 au zaidi ya unachopata kwenye ajira usithubutu kuacha kazi akakimbilia kujiajiri.
Kujiajiri hakutaki watu legelege utaishia kuongea mwenyewe barabarani.
Hata ukiona mtu anachoma mahindi barabarani ujue yupo smart masna siikila mtu anaweza kufanya hivyo
Mhhhh ko unataka kusema kinyeo kina leta utajiri???? ungekuta watu wote ni matajiri maana Kila mtu ana kinyeo, hakuna mtu anaupenda umaskini, kila mtu anapenda utajiriMtafute ANKO T utoboe fasta.
Watu wanatajirika kwa kuendeleza walipoacha wazazi wao, wewe umezaliwa Juzi tu unataka utoboe ndani ya miaka 3.
Baba na Babu yako hawajaacha kitu. Huna kipaji chochote wala bahati.
Jichunge utaanza kufirwa muda si mrefu.
VP kuajiriwa TRA nako hutoboi???Ili umiliki ukwasi wa maana ni lazima ujiajiri mwenyewe ,ukitegemea kuajiriwa hautoboi unless otherwise uwe mwizi ambapo lazima utastukiwa na kufukuzwa kazi.
Mwajiri hata akiiingiza Bilioni wewe atakupa Mshahra wako manara tu(Laki 7).
Kama ukiajiriwa jitahidi uwe na kipato kingine nje ya mshahara hapo kazi utaona nzuri lakini ukitegemea salary 100% utaumia.
Kabisa, muda ni changamoto kubwaSiyo rahisi kihivyo kwa muajiriwa kuanzisha biashara ikasimama kwa viwango hivyo,wakati muda mwingi unaitumikia serikali kuanzia sa 1 asbh mpaka sa 9 na nusu jion
Mhhhh mfadhili Tena!!!!?????, Hapo kwenye mfadhili awe makini asiombwe rinda, Dunia skuizi imevaa sketiFungua kiduka chako pembeni kidogo kidogo uwe unatibia watoto homa homa mdogo mdogo atatokea mfadhili mbele ya safari huko akakuamini mkafungua hospital kubwa
Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa
Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee haki iko wapi? Kusema ukweli huku kuajiriwa ni hatari sana sijasema kuajiriwa ni kubaya ila shida je unalipwa kiasi gani? Yaani kuna sehemu ukiajiriwa au kuna halmashauri ukiajiriwa unajichimbia kaburi tu kutoboa hapo sahau kabisa aisee bila maamuzi magumu kutoboa nitakusikia tu kwenye bomba yaani huku Afya mnafanya kazi kubwa ila Mshahara wenyewe kuduchuu yaani unakuta hamna semina, hamna extra duty wala pesa nje ya mshahara wewe ni kutegemea mshahara tu full stop hii haikubaliki kabisa
Acha kazi ujiajiri.Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa
Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee haki iko wapi? Kusema ukweli huku kuajiriwa ni hatari sana sijasema kuajiriwa ni kubaya ila shida je unalipwa kiasi gani? Yaani kuna sehemu ukiajiriwa au kuna halmashauri ukiajiriwa unajichimbia kaburi tu kutoboa hapo sahau kabisa aisee bila maamuzi magumu kutoboa nitakusikia tu kwenye bomba yaani huku Afya mnafanya kazi kubwa ila Mshahara wenyewe kuduchuu yaani unakuta hamna semina, hamna extra duty wala pesa nje ya mshahara wewe ni kutegemea mshahara tu full stop hii haikubaliki kabisa