N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,869
- 9,692
Ipo haja kutekeleza kivitendo makatazo ya taasisi mbalimbali nchini Tanzania kutumia nishati ya mkaa na kuni kulisha watu wao
Taasisi kama vile
Vyuo Vikuu
Magereza
Mashule
Viwanda vya chai na tumbaku
Nakadhalika
Hawa wote wapigwe marufuku kutumia mkaa na usimamizi wa NEMC uwe wa kivitendo.
Tukileta utani tutageuka jangwa. Idadi yetu inaongezeka na matumizi ya mkaa yanapanda kila siku.
Viwanda vya chai na tumbaku vitumie nishati mbadala na sio kuni.
Taasisi kama vile
Vyuo Vikuu
Magereza
Mashule
Viwanda vya chai na tumbaku
Nakadhalika
Hawa wote wapigwe marufuku kutumia mkaa na usimamizi wa NEMC uwe wa kivitendo.
Tukileta utani tutageuka jangwa. Idadi yetu inaongezeka na matumizi ya mkaa yanapanda kila siku.
Viwanda vya chai na tumbaku vitumie nishati mbadala na sio kuni.