Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Wanawake ni wengi vile ukienda clinic na mimba ni lazima upimwe na nyie wanaume kwenda hospital ni binde ipitishwe Sheria kupima iwe lazima
Wee kupimwa lazima!?ha aha ha hapana
 
Bila kuvunja ukimya na sasa watu wenye maambukizi kutambulika na kuweka sera madhubuti basi Taifa lita angamia lote.

Jamani ipo shida kubwa sana sana. Watu wanasambaza huu ugonjwa na wengine wana pesa. Wanasambaza kwa vijana na vijana wanasambaziana.

Siri ni kubwa sana na Taifa lina angamia. Vijana wana angamia na wazee pia nani atapona nani atakuwa na uchungu kwa Taifa?
Bila kufanya ABC kusalimika ni ngumu kama hamtoacha zinaa kumantain ni kazi kama hauna stamina.

-Back stage hakuna ulinzi wanapita tu kama counter.
-Ukisikia sound nzuri basi ujue ni mgeni sio wahapahapa.
-Bora ya maboya yataelea kwenye maji ila kwa hizi mtapiga deki nyumbani kwa watangazaji.
-Mademu mnawapitia makwao hamuwangojei ,cd za show mnakuja kuwauliza ma DJ.


=Maisha ya sasa ukiendekeza ngono lazima uukwae=
 
Acha Tufe... We utapata hasara gani Mkuu, yaan Mataga hua mnapenda Kujipendekeza sana, saizi uchaguzi umeisha mmeanza kujipendekeza kwa Ukimwi.. Acha Vijana waponde Raha
 
Serikali iitishe maombi ya siku tatu, ukimwi utaondoka wenyewe
 
Yes, iwe lazima wanaume wanakimbia unafikiria huo ukimwi umetoka wapi?
Hapana,mwaka Jana nikimzaa binti yangu tulienda Pima, aisee siji sahau ile Siku
Na nyie mnatunyima ngono waume zenu thus why tunaangaika.....nipe mapenzi nitulie sio kunibania
 
Hapana,mwaka Jana nikimzaa binti yangu tulienda Pima, aisee siji sahau ile Siku
Na nyie mnatunyima ngono waume zenu thus why tunaangaika.....nipe mapenzi nitulie sio kunibania
Ni vizuri ka unachepuka inaniambia tuachane ili ukazurule vizuri huko nje kwa Uhuru kuliko kuniletea maradhi. Maana Hali ya Sasa ni tete
 
Ni vizuri ka unachepuka inaniambia tuachane ili ukazurule vizuri huko nje kwa Uhuru kuliko kuniletea maradhi. Maana Hali ya Sasa ni tete
Dada Hamna mwanaume mwenye MTU mmoja tu..in nadra sana
 
Ni vizuri ka unachepuka inaniambia tuachane ili ukazurule vizuri huko nje kwa Uhuru kuliko kuniletea maradhi. Maana Hali ya Sasa ni tete
Hivi Dada inakuaje hadi umbanie mme/mpenzi wako mzigo? we MPE tu amwage hata kama haujiskii. Baadhi ya Wanawake waliolewa wangekua hawatoi masharti kwa waume zao kwenye kutoa mzigo, naamini maambukizi yangepungua pia.
 
Hivi Dada inakuaje hadi umbanie mme/mpenzi wako mzigo? we MPE tu amwage hata kama haujiskii. Baadhi ya Wanawake waliolewa wangekua hawatoi masharti kwa waume zao kwenye kutoa mzigo, naamini maambukizi yangepungua pia.
Nyie hamridhiki Bora tuwabanie mkapate ngoma huko, sasa mkeo amekuchoka Hana hamu na wewe ajidaganye kukupa hell no, Bora mkazurule huko tu mnakojua wenyewe, tena mie nikashazaa watoto wangu sihangaiki na wewe kabisa loh
 
Nyie hamridhiki Bora tuwabanie mkapate ngoma huko, sasa mkeo amekuchoka Hana hamu na wewe ajidaganye kukupa hell no, Bora mkazurule huko tu mnakojua wenyewe, tena mie nikashazaa watoto wangu sihangaiki na wewe kabisa loh
Sasa hapo mnapokaza kwa mume/mpenzi ambaye hana hatia ndio tatizo lilipo. Kuna muda tu utafika jamaa atatafuta tulizo LA haja zake.
 
Back
Top Bottom