Bila kudanganya, ulishawahi kulia sababu ya mapenzi?

Bila kudanganya, ulishawahi kulia sababu ya mapenzi?

Nimesha lia sana baada ya mpenzi wangu kuolewa eti kisa dini zetu tofauti
 
Me nilishapenda ila sikumbuki kama nilikuwa na me baada ya kuachana nilikuwa nalia sana na kuhisi kama nimempoteza MTU Wa muhimu sana maishani baada ya kugundua hitikadi haziendani nikachapa lapa nashukuru nilimsahau ila ilichukua muda
 
Ndio nimeshawahi kulia sababu ya mapenzi
 
ukiumizwa kulia ni ishara ya hisia tu sio udhaifu
 
Aliolewa na mtu mwenye HIV bila kupima ,amezaa na anaendelea kutumia ARVs

Roho inaniuma sana nikimkumbuka![emoji22] [emoji22]
Oh Lord... Hayo ndio malipo ya kukufanyia roho mbaya.. Pole sana.. Ame skip mkojo , and she stepped on kinyesi .. God help us .. I hope she found you and apologize to you.. Pole sana ... Thanks..
 
Back
Top Bottom