Bila kudanganya, ulishawahi kulia sababu ya mapenzi?

Bila kudanganya, ulishawahi kulia sababu ya mapenzi?

Kwakweli mada imenigusa sana mimi mara ya kwanza nililia sana jamani yaani nililia mpaka nkajishangaa machozi yametoka wapi aisee maana nahisi nilijaza kisado alafu hapo ndio nlikuja kumjua rafiki wa kweli na kumbe nilikuwa mezungukwa na wanafiki kuzidi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] na nilipojua wamekuwa wakinichora muda nkalia tena Yaani nkafungulia na koki ya machozi nikikumbuka huwa nacheka sana hasira zilipoisha nikawa vizuri tu mpaka leo huezi nikuta nalialia kisa mapenzi
 
Kuna kulia kwasababu ya mapenzi na kulia kwasababu ya mpenzi, kuna kulilia mapenzi na kulilia mpenzi, kuna kulizwa na mapenzi na kuna kulizwa na mpenzi.

Sio kila kilio ni mateso au maumivu, kuna vilio vya raha, kuna vilio vya upendo, mtu unalizwa alafu ukimaliza kulia unamwambia aliekuliza aksante, mtu unatamani kulia, unaomba please make me cry, una enjoy kulia mpaka unamisi kulia, unampigia mtu simu unamuuliza, babie nahitaji kama jana.
 
If you are having girl problems I feel bad for you son I got 99 problems and a bit**h ain’t one
 
Niliwahi kulia, ila yeye alikuja kulia zaidi.
 
Teh me naomba tu niendelee kulia. Machozi yananisaidia sana, kama nina hasira au maumivu yanaondoka fasta tu nikilia na hata moyo wa kusamehe unakuwepo. Bila hivyo mambo hayaendi kabisaaa
 
Aiseee mapenzi yameshaniliza sanaaaaa lkn kwa sasa nmekuwa sugu yani najiifariji kwa neno la kwann nililie dhambi sababu mahusiano bila ndoa ni dhambi tuu
 
Sana tu, halaf ujue kulia ni moja kati ya silaha nzito ya kujilia mambo kiulainiiiii!
 
Back
Top Bottom