Pole sanaSana tuu
Sababu yako ujuePole sana
Mi mwenyewe nalia sana kwa ajili yakoSababu yako ujue
Kama nkifanya nn unalia?!Mi mwenyewe nalia sana kwa ajili yako
Si mapenzi!?Kama nkifanya nn unalia?!
Mapenzi yamefanyaje?!Si mapenzi!?
YamenilizaMapenzi yamefanyaje?!
Umenifurahisha, akichelewa unalia...wivu au! Unahisi anakula mahali au!kawaida ,akichelewa kurudi tu nalia sembuse kutendwa...
[emoji22] [emoji18] [emoji24]Yameniliza
NakupendaYameniliza
Mimi zaidiNakupenda
Wewe huyo[emoji845] [emoji845]kawaida ,akichelewa kurudi tu nalia sembuse kutendwa...
Wengine tumejifunzia uchochoroni kupata leseni ni mtihani hapo.Mapenzi ni chombo cha moto, yanahitaji lesseni kama inavyotakiwa ukitaka kuendesha gari.
AsanteMimi zaidi
Mimi nimewahi kumlilia bwana Yesu kwa kujitolea kusulubiwa kwajili ya dhambi zangu sio mwanadamu mwenzangu,Kama kichwa cha habari kinavyosema. Bila kudanganya, ushawahi kulia kwa mapenzi?