abdulrahim
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 408
- 286
duuuh kama nakuona hvMie naona nishalia sanaaaaaaaaa lakini sasa BASI imetosha nimekua na moyo mgumu sikuizi mpaka najiuliza ivi nimimi kweli yule aliekua analia anaesema usijali tutatengeneza kila kitu kitakua sawa,leo hii hata nikikumbuka nacheka,na wale walioniliza
wanalia wao tena bila aibu...
waooooooh nimeipendaAiseee mapenzi yameshaniliza sanaaaaa lkn kwa sasa nmekuwa sugu yani najiifariji kwa neno la kwann nililie dhambi sababu mahusiano bila ndoa ni dhambi tuu
Sasa dadaa utaendelea hivi mpaka lini mwishoe utapata pressure mapemaa....Teh me naomba tu niendelee kulia. Machozi yananisaidia sana, kama nina hasira au maumivu yanaondoka fasta tu nikilia na hata moyo wa kusamehe unakuwepo. Bila hivyo mambo hayaendi kabisaaa
Yani nisipolia ndo naweza kudondoka kwa pressure. Ila naliaga tu dk 2, Nikimaliza hapo mwepesi, nasmile tuSasa dadaa utaendelea hivi mpaka lini mwishoe utapata pressure mapemaa....
Love is sweet and you still cry? Real?If I truly love or loved the person... Yes I honestly do cry after that life must go on.. Thanks..
then mambo yanakuwa moto moto kama mwanzoo ....daaa kuna watu wanabahati zao banaYani nisipolia ndo naweza kudondoka kwa pressure. Ila naliaga tu dk 2, Nikimaliza hapo mwepesi, nasmile tu
Hii siyo thread ya mtongozo,give us break please!!Mimi zaidi
Hahaha ndo hivyo. ... stress for what?then mambo yanakuwa moto moto kama mwanzoo ....daaa kuna watu wanabahati zao bana
Mmmmh acha hizo AggyjayNdio.mara nyingi tu na nimeyakinai hayo mapenzi! staki tena..
Ahhhaaa....not anymore dear , I just walk away quietly... Hahaaahha... Thanks..Love is sweet and you still cry? Real?
Haaahaaa,.. Pole sana dear.. Eti alikuwa na roho mbaya sana, aaahhhhaaa... Thanks...Mimi nimelia sana tu.
Ila yule dada alikuwa na roho mbaya!
We lia tu mama, mie natafuta eksipozhaaa!Yani nisipolia ndo naweza kudondoka kwa pressure. Ila naliaga tu dk 2, Nikimaliza hapo mwepesi, nasmile tu
Hahaha ekisipozha ya kulia au?We lia tu mama, mie natafuta eksipozhaaa!