Bikra siyo chanjo ya kuchapiwa

Bikra siyo chanjo ya kuchapiwa

Brain Kingdom

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
7,004
Reaction score
14,551
Wasalaam JF,

Mtengeneza njia ni mmoja kwa matumizi ya walio wengi.

Mwanakulianza ni mwanamajumui wa kugawa upendo. Ulivyopewa wewe bila mbambamba hata bustani ya Eden nyoka aliwekwa kwa tafsiri yake.

Tuwasifie na wanaotupokea vijiti upele.

Wameupiga mwingi.

Wadiz
 
Duuuh hata sielewi umeandika nn sijui nna njaa khaaah.
Amemaanisha ukishagundua wamekuchapia mkeo wewe furahia tu mshukuru aliekuchapia mkeo maana bikra haina QR Code yaan haukumkuta na bikra wahuni walishaga mkwangua kitambo sana wewe umekuta kashabanduliwa enzi na enzi, au hapo pia bado haujaelewa?
 
Amemaanisha ukishagundua wamekuchapia mkeo wewe furahia tu mshukuru aliekuchapia mkeo maana bikra haina QR Code yaan haukumkuta na bikra wahuni walishaga mkwangua kitambo sana wewe umekuta kashabanduliwa enzi na enzi, au hapo pia bado haujaelewa?
Oooh hapo sawaa ndo nimeelewa sasa.
 
Bikra haihusiani kabisa na tabia njema ya Ke na haikaagii milele zote.

Yani bikra hufanana kwa 100% na ile kauli ya "Hata Wapumbavu pia huzeeka".
 
Wanawake akili yao wanaijua wenyewe.
#KATAA....malizieni wenyewe
 
Fumbo lipo kwenye "mfungua njia ni mmoja ila wapita hiyo njia ni wengi" hapo umepatia! Swala ni nani afungue njia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom