Bikra is Overrated

Bikra is Overrated

Status
Not open for further replies.
Watu kama wewe sio wa kuwaacha wapotoshe jamii ukiacha matusi huna la maana tu unatukama mpaka kiungo chako
Yes nakutukana ku.ma wewe, utanifanya nini kwani?ku.ma again!

Eti napotosha jamii yet unashindwa kurefute topic yangu...

Wewe ndio huna la maana, worthless, pointless, empty/stupid!
 
Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...

Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..

Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!

Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..

Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...

Wasalaam

Anita

Mimi huyoooooooo byeee
Mimi asilimia 80% ya wanawake zangu niliodate nao mpaka mke wangu niliyemuoa alikua bikra alafu mzigo ni yule asiyekuwa na bikra maana ndio anageuzwa geuzwa na wanaume hovyo kama samaki wa sokoni.

Nilivyomkuta wife bikra siku ya ndoa nilimzawadia dhahabu.
 
Huwezi nielewa wewe interpretation Yako haiwezi kutafsri yaliyokuzid zaidi ya kubanduliwa na boda kwa viepe
Nikuelewe wewe mtoa kinyeo ili iweje, wewe uliyeshindwa hata kutoa point yoyote ukajulikana...stupid
 
Bikra nimekutana nayo mwaka jana, kwa mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili. Nimeikataa tukiwa chumbani kabisa tupo uchi sababu sikuwa committed nae. Sijui kama anayo bado au hana.

Girlfriend wangu wa sasa nilimkuta nayo. Previously nilikuwa na girlfriend mwingine (R.I.P) nilimkuta nayo.

Ambalo hamjui ni kuwa bikra zipo mjini zaidi kuliko vijijini. Bikra ziko private schools zaidi ya shule za kutwa. Bikra zipo kwa matajiri na middle income earners kuliko kwa makapuku. Na sijawahi kutana na bikra alafu akaniambia anayo, huwa nakutana nayo kama surprise. Ambao hawana ndio huwa wanasema "mimi sijawahi" alafu wanajifanya kuumia.
Yani mkuu mimi nashangaaga wanaosema bikra hazipo labda wanafuata wanawake waliokata kamba kama huyu mtoa mada
 
Yani mkuu mimi nashangaaga wanaosema bikra hazipo labda wanafuata wanawake waliokata kamba kama huyu mtoa mada
Hata unishambulie vipi..nakuona jinga jinga lingine lililo empty kwenye skull kilichobakia ni ku attack kwa sababu mko empty
 
aina ya wanawake unao wafuata labda
Kama nakuelewa pride,

Ila pride yenyewe unaitafuta wapi? Ipo wapi?

Na je pride uko tayari kuja na consequences zake?? Pride ni mbadala wa mengine?

Nafurahi umesema maybe utakuwa wa mwisho wake, keyword maybe...

Umesema technical problems unashauriana na wanaume wenzako, sawa, je kama couple hamna mengine ya kudiscuss apart from 'technical ' problems?!
Hakuna cha kudiscuss na malaya
 
Kwa watu ambao naongea nao mtaani sijawahi kusikia wakiwa desperate kupata bikra kama watu wa humu,i mean humu ndio kila ukiamka bikra this bikra that..

Kwa sababu watumiaji wa humu 90% ni nerds, nafikiri kwamba ni aina ya wanaume ambao wakati wa kukua kwao hawakua around girls,kama huja bang hizo bikras ukiwa shule,sahau ukiwa 30s,unless utafute minors ufungwe..

If you know women and how to deal with them(and to play their games),hawasumbui na hawajahi kusumbua,,ilitakiwa wanawake ndio wajaze threads za kulia lia...But humu ndio mahala pekee wanaume wanahangaishwa na wanawake kutwa nzima,why??..in a serious note,mwanamke 25 anakuaje na bikra mji huu??lol

some of y'all doesn’t have that kind of pull..
Hatukulazimishi wewe lofa.

Mimi wife alikua 24 yrs mji huu huu unaokuzuzua na alikua bikra na nimezigonga nyingi tu za watoto wa kishua al muntazir, loyola na shaaban robert.

Wewe kama umezoea makombo endelea tu mkuu
 
Unaona hata wewe unawafanyia wanawake wenzako ukatili kwa Kuwaiti mangurumbembe kwa kukosa Bikira. Unathibitisha kuwa thamani ya bikira kwa namna nyingine.

Ninachoweza kuungana na wewe ni kuwa.
Mwanamke anaweza kuwa bikira lakini asiwe bora.
Ni kama simu mpya ya Tekno au infinix haiwezi kufanana ubora na simu used ya IPhone 14 au 17
Leo umefeli big time bikra haiwezi kuwa techno au infinix
 
Wanaume wengi wanajali zaidi kwa mwanamke mutual connection, shared interest na physical attraction na sio bikira; sisemi bikira haina thamani ila peke yake haitoshi. Na kama haitoshi haiwezi kuwa priority!

Wanaume wengi wana sex before marriage, hawasex na mizimu bali na wanawake, wengi wakikutana na bikira wanazing"oa hawasemi huyu ngoja nimuoe...huoni kama hapo Wanaume wamechukulia bikira of less value?..namaanisha ni Wanaume wameishusha thamani bikira cha kushangaa ni nyinyi nyinyi Wanaume mnataka kuipandisha tena thamani.....

Mwisho usiseme uwajibikaji umebadilika, hukuwepo zamani ukajua ulikuwaje?!!?
Hizo sifa nyengine zinafuata baada ya kuwa na bikra kama huna hata kama umetimiza zote hauna maana kwangu
 
Huna huna tu katafute boda mmalizie maisha wenye bikra zao hawana shombo kama zako mdomo unatema shombo kama samaki waliochina alafu unatwambia is overated. Matako yako
Nilichogundua huyu yupo frustrated sasa sijui ni huko kukosa bikra au maisha magumu sana yamemchanganya au kaachwa na mume yaani amezongwa kweli kweli!

Anamwaga mitusi mpaka nimehisi ni lishoga.
 
Nilichogundua huyu yupo frustrated sasa sijui ni huko kukosa bikra au maisha magumu sana yamemchanganya au kaachwa na mume yaani amezongwa kweli kweli!

Anamwaga mitusi mpaka nimehisi ni lishoga.
Stress zake apelekee kwa wajinga wenzake
 
Stress zake apelekee kwa wajinga wenzake
Au amekopwa?au labda order zimekataa toka asubuhi simu haijaita 😂😂😂!

Mtaani life gumu zimeingia namba mpya vitoto vya 2000s vinawaka malaya wazee lazima wachanganyikiwe.
 
Bikra imetolewa toka raisi mkapa anapata wapi soko mkuu lazima atapetape.

Afu mpuuzi kama huyu ndio umuoe eti kisa ana degree na kingereza chake cha kuungaunga atafundisha watoto umalaya tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom