Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Young girls wanamiaka mingapi?
Sheria za bongo binti wa miaka 16 anaruhusiwa kuolewa. Kwa utaratibu maalumu.
Na uhakika ni kuwa wapo maelfu kwa maelfu wa mabinti wa umri huo wana bikira.
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..
Aliyekuambia binti kuwa bikra kunampunguzia elimu au akili ni nani?
Wapo watoto kibao wanamaliza kidato cha sita wanabikira.
Mimi mke wangu wa kwanza, nimemkuta bikira akiingia mwaka wa kwanza pale Muhimbili.
Wapili, akiwa kidato cha tano. Wote nimewaoa na wako smart, wasomi, na sasa kuhusu maendeleo kwao sio tatizo.
Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Kwamba wanawake wa mjini hawazaliwi na bikira mpaka useme wanawake wa vijijini. Umalaya ni tabia ya mtu. Haihusiani na mjini au kijijini. Wapo wadada kibao wa mjini wanazo hizo bikira.
Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..
Ishu ya kuzaa ni ishu nyingine. Mwanamke uliyemuoa akiwa bikira kwa sisi wanaume tunaelewa vile tunavyomchukulia, thamani yake, na vile qmbavyo tuko proudly
Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...
Wasalaam
Anita
Mimi huyoooooooo byeee