joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,394
- 41,507
Kweli jamii ya zamani sikuwepo, ila kupitia masimulizi na output ya vizazi vilivyo lelewa na wao vilikuwa vinajua thamani ya bikra.joseph1989
Mwanaume akikosa bikira ataangalia body count, body count wangapi..wawili,watatu au wangapi?! Huoni hii iko subjective??? Hivyo hivyo preferences for virgins?!..manake umeiweka kama kila Mwanaume preference yake ni hio wakati kuna wanaume wengi tu virginity sio ishu kwao?! ..(research).
Jukumu la kulinda bikira ni la mwanamke I agree...but wanawake kama walivyo wanaume wana sex due to biological changes ama out of curiosity...if this is the case huoni kama It's natural hizo bikira at certain age kutolewa? Najua utasema kuna wanaocontrol the urge...ila wangapi?!.wanaume wengi ndio maana wanaoa wanawake wasio bikira sababu wanajua at certain age hizo bikira ziko bound kutolewa..seriously wewe mwanamke yuko above 25 una expect awe bikira if not kwa nini uipe thamani?!
Nimekuambia bikira ina thamani ila peke yake haitoshi..unless uko tayari ku trade mutual connection, shared interest na physical attraction over virginity...and if not bikira is overated...
Usiniambie mambo ya jamii ilikuwaje nimekuambia hukuwepo! Bikira zilikuwepo nyingi, umejuaje?! uling'oa ngapi?! Zilikuwa ngapi per population? Is this what you believe ama fact? Kama fact leta evidence..?!
Punguza hasira, kama uliuza kwa chips za buku mbili kwa bodaboda usilielie kwamba wengine hawana. Wewe kubali tu matokeo huna. Mwanaume hajaumbwa bikra.Endelea kusaka mwaya..
Kuna mtu hapo juu kasema bikira sawa na LC300, unayo?? Au na wewe ni kapuku??
Achana na issue hizi.Mimi sijawahi tafuta bikra, huwa nazikuta kwenye safari bila kuzitarajia. Kama hiyo ya mwaka jana jijini Dar, alienda chuo kutoka mkoani amekaa chuo 2 years mjini na hakai hostel ila bado anayo. Na niliamua kuiacha sababu alikuwa ananiganda mume mume wakati sina uhakika na hilo.
Kama kuna mtu kakukataa kwa sababu huna bikra! Kakukosea sana.Moderator nisaidie kufuta hii topic 😆 🤣 😂 ni uchokozi tuu..sitarudia 😆😆😆😆🤣🤣🤣😂 ngoja nirudi kny ID yangu ya kawaida..ili liparody nawaachia muhamgaike nalo 😆
Mpuuzi tu weyePunguza hasira, kama uliuza kwa chips za buku mbili kwa bodaboda usilielie kwamba wengine hawana. Wewe kubali tu matokeo huna. Mwanaume hajaumbwa bikra.
Wewe ushatolewa bikra na boda boda kwa chipsi kavu za buku jero kaa kimya.Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..
Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..
Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...
Wasalaam
Anita
Mimi huyoooooooo byeee
Halafu sijui kwanini hawasemi, unakutana nayo tu chumbani.Bikra nimekutana nayo mwaka jana, kwa mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili. Nimeikataa tukiwa chumbani kabisa tupo uchi sababu sikuwa committed nae. Sijui kama anayo bado au hana.
Girlfriend wangu wa sasa nilimkuta nayo. Previously nilikuwa na girlfriend mwingine (R.I.P) nilimkuta nayo.
Ambalo hamjui ni kuwa bikra zipo mjini zaidi kuliko vijijini. Bikra ziko private schools zaidi ya shule za kutwa. Bikra zipo kwa matajiri na middle income earners kuliko kwa makapuku. Na sijawahi kutana na bikra alafu akaniambia anayo, huwa nakutana nayo kama surprise. Ambao hawana ndio huwa wanasema "mimi sijawahi" alafu wanajifanya kuumia.
Wacha bangi zako, bikra Yako ibanduliwe na boda huko alafu uje kututengenezea uzi hapa eti bikra ni overrated?, Shenzi kabisa. Ni overrated kwako tuliowakuta nazo tunawaheshimu sana sio nie viruka na njia hata uwe mzuri vip na shape vipi kama boda alitoa kwa viepe vya buku tatu you're totally meaningless.Mpuuzi tu weye
Ubikira ni uchaguzi na hali ya mtu binafsi, lakini hauwezi kutumika kama kipimo pekee cha heshima, uaminifu au uwezo wa kuwa mwenza mwema. Heshima katika ndoa hujengwa na maadili, uaminifu, mawasiliano, upendo na kuwajibika kwa pande zote mbili.Wanaume wana mambo mengi kichwani,kuwaletea mada hii ni kuwachokoza mpenzi
Japo kuoa bikra ni muhimu sana,binti asipokengeuka na vijana wa mjini anakuwa hajui kitu kuhusu sex nje ya mumewe hivyo kumweshimu mume inakuwa ni 99%
Kwendaa mpuuzi wewe, mamako alitolewa na nani?Wewe ushatolewa bikra na boda boda kwa chipsi kavu za buku jero kaa kimya.
KwendaaaaWacha bangi zako, bikra Yako ibanduliwe na boda huko alafu uje kututengenezea uzi hapa eti bikra ni overrated?, Shenzi kabisa. Ni overrated kwako tuliowakuta nazo tunawaheshimu sana sio nie viruka na njia hata uwe mzuri vip na shape vipi kama boda alitoa kwa viepe vya buku tatu you're totally meaningless.
Mkuu vipi wapo huko lake zone mabikra?Hii mada imenikumbusha juzi kati kuna binti alikuwa na 21 years alikuwa bikra alilipiwa n'gombe 30,na mwingine asiye na bikra alitokewa n'gombe 15 na moja alipata bahati kuolewa ilihali tayari alikuwa na mtoto alitolewa n'gombe 5.
Hii ilikuwa mwaka huu huko kwa Wasukuma.
Uko sahihi huyo ni mwanaumeHuyu ni mwanaume tena shikaji linafosi kujibandika Maku
HeheheUko sahihi huyo ni mwanaume
Kamtafute bodaboda aliyekudungua akuoe. Wanaume wanaojielewa wamekubaliana kuwa hakuna kuoa makapi kama wewe.Kwendaaaa
Andika mashudu yako..ukimaliza kakojoe ukalale...kenge we!
Wewe ndio mshamba..Kamtafute bodaboda aliyekudungua akuoe. Wanaume wanaojielewa wamekubaliana kuwa hakuna kuoa makapi kama wewe.
We uliwapima ukajua hawana?. Wewe huna huna katafute boda aliyechukua mzigo akuoe usitupigie kelele. Siwezi zoea mtu ambaye bikra aliwapa bodaboda kwa viepe vya buku mbili, Ili unisaidie nini?Wewe ndio mshamba..
Kama unadhani wanaoolewa pale St Joseph na makanisa mengine wana bikira then you are stupid!
Kisha usinizoee kenge we!