Bikra is Overrated

Bikra is Overrated

Status
Not open for further replies.
Hauwezi kuwa na chemistry na mwanamke ambaye sio bikira (malaya)

Sababu ni hizi:

  • Hana sexual discipline ndio maana haukumkuta bikira, alijirahisisha wakamtomba au kumfira na kumtoa bikira zote mbili

Unapoamua kuoa mwanamke asiye bikira ujue unajiweka kwenye position ya kucompete na wanaume tofauti:

  • Kuna yule aliyemtoa bikira

  • Exes wake waliompea good sex

  • Na wale waliomtomba one night stands

Siku moja lazima akucheat na mmoja kati ya hao na kukufanya ulee bao la mwanaume mwingine

Hiyo chemistry unaitolea wapi kmmmk?

Ikiwa kuoa bikira does not guarantee she'll make her a good wife 100%

Kwa hiyo asiye bikira ndio unampa asilimia ngapi she'll be a good wife?

Mahari ni kwa ajili ya mwanamke aliyetunza bikira na sio malaya mwenye degree

Ilipohusu mwanae azaliwe na nani Mungu alimchagua bikira Mariamu amzae Yesu hakumchagua malaya asiye na bikira

Kama sio bikira ni malaya mkuu, atuonyeshe malaya mwenye bikira

Mwanaume ataamua mwenyewe aoe bikira au malaya
Mchina baaaaasi... basi mchinaaa..
Basi baba..😓😓😓😓😓😓
 
Hii mada imenikumbusha juzi kati kuna binti alikuwa na 21 years alikuwa bikra alilipiwa n'gombe 30,na mwingine asiye na bikra alitokewa n'gombe 15 na moja alipata bahati kuolewa ilihali tayari alikuwa na mtoto alitolewa n'gombe 5.
Hii ilikuwa mwaka huu huko kwa Wasukuma.
 
Bikira zipo, wapo wanawake wamejifunza vizuri tu na wamesoma binafsi mke wangu nimemkuta na bikira na ni digrii holder so bikira zipo, kama hauna sawa ila sababu za chemistry siziwepo
Mkeo kati ya wangapi ambao hawana?
 
Hii mada imenikumbusha juzi kati kuna binti alikuwa na 21 years alikuwa bikra alilipiwa n'gombe 30,na mwingine asiye na bikra alitokewa n'gombe 15 na moja alipata bahati kuolewa ilihali tayari alikuwa na mtoto alitolewa n'gombe 5.
Hii ilikuwa mwaka huu huko kwa Wasukuma.
Udhalilishaji tu..
 
Kwanza tambua asilimia kubwa ya mabinti wanao tokea familia bora hadi wanafika vyuo vikuu wengi ni mabikira.Huko uswahilini ndio kupata bikra sio kazi maana wazazi hawana vipato inabidi mabinti wajiongeze.

Pia hata mwanamke awe ana PhD,hakuna mwanaume aliyekamilika nafanya discussion na mwanamke.Mwanamke ni kupewa maelekezo na kuyafanyia kazi-uanze ku discussion naye kuhusu nini???
Hakuna discussion kati ya mke na mume sio?

Sio bure ni malezi yenu..

Hujamuona baba yako akimfanya rafiki mama yako..

I don't expect different kama na wewe mkeo sehemu yake ni jikoni tu..

By the way watoto wa matajiri kwa vile wanabanwq sana... wakipata upenyo wana sex...usijidanganye!
 
Nature always win.

Kwa nini hata mtoto wa kike wa kahaba huzaliwa akiwa na bikra? Kwa nini huwa inakuwa pale.?
 
Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...

Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..

Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!

Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..

Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...

Wasalaam

Anita

Mimi huyoooooooo byeee
Hii nakubaliana nayo....kwa 💯

nimeoa bikra mwaka huu....nimeipasua mwenyewe!

Lakini cha ajabu...ugumu ulikuja kwenye kutoboa shimo tu...baada ya kumbikiri...maumbile yake ni ya kawaida kabisa na makubwa kama baamedi tu!

Na ni binti wa 2004 tu!

Simdhihaki...naongea fact...kuoa bikra sio kupata mwanamke mwenye maumbile madogo...!

Note🙁 (mimi sikumuoa kutafuta bikra!, nilikutana nayo accidentally tu!)

Nina side chick mtaani kwangu na ana "Nzao 2 "watoto wawili lakini ana maumbile yanabana mnoo!

Bikra isikudanganye... kuna mengine makorongo! Kwenye njia ya alipo huyo bikira mwenyewe!
 
Usikute naongea na kitoto cha miaka 15!

Wewe tangia ujue wanawake umekutana nayo?!

Ongea fact sio mazingaombwe..

Usiniambie vitabu vya dini, sababu kuna walevi,mashoga, wazinzi wabakaji etc japo kuna dini, kwanza wengi hawaamini hizo dini so kigezo chako cha dini hakina hoja!

Mwisho nimeongea vitu vinne pale juu refute ama baking kimya!
Vitoe vitabu vya dini halafu rudi kwenye tamaduni zako za asili utajikuta unarudi palepale,kwamba bikra ni kitu cha thamani kwa mwanaume wa jamii yoyote. Duniani kuna watu wa tamaduni na asili tofauti,hawajawahi kukutana kusema waliweka kikao cha kukubaliana kuhusu thamani ya mwanake mwenye bikra, ila still jamii zote duniani bikra wanaipa thamani.

Bikra ni kielelezo cha uwajibikaji wa mwanamke katika kujitunza na kwa mwanaume kwake ni kitu cha thamani mno haijalishi kama anaamini kwenye dini au laah. Halafu kama hujui hamna dhambi mbaya kama kutokuwajibika, ukishindwa kuwajibika kuna vitu vibaya utaviona vya kawaida sana, mfano kubadilisha mabwana, kutoa mimba nk hivi vishakuwa vya kawaida. Bikra ni mali yako na ipo chini ya maamuzi yako, husiipoteze kwa tamaa zako, itunze kwa ajili ya mme wako wa ndoa.

Ila tukubali kiujumla jamii nzima tumefeli kwenye swala uwajibikaji na malezi,ndio maana siku hizi umalaya kawaida, kubadilisha mabwana kawaida, kutoa mimba kawaida, single parenting kawaida, kubambikizana watoto kawaida, watoto wa mitaani kawaida na tunapo elekea hata upunga utakuwa kawaida nk ukitizama kwa jicho la hekima utajua tu hayo yote ni matunda ya zinaa,yatokanayo na kutokuwajibika.Kutokuwajibika kwenye kitu fulani, kusifanye hiko kitu kuwa halali.

Ila yote kwa yote kila mtu ana preferences zake,wanawake kwenu mbele ya macho yenu mwanaume mwenye fedha ni wathamani, nyie tabia kwenu sio kipaumbele. Ila kwa wanaume bikra/purity ni ya thamani ipo hivyo na itabaki kuwa hivyo,so kila mtu ashike lake.
 
Just imagine siku ya harusi. Maex wa mkeo, waliomla kimasiahara na aliopiga nao one night stand wapo ukumbini halafu bwana harusi ndio upo pale mbele na suti yako unacheka cheka tu kama fala. Si uxenge huu.
Siku hizi wanajiamini binti anaolewa, anawatafuta maex wake wamchangie na kwenye group anakuadd na anakukumbushia kabisa mchango,ndio maana wengine wanagongwa wiki ile ya kufungia ndoa eti wanaagana.Yaani mpaka hapo unaona hiyo ndoa haitokuwa na afya.
 
Anae ziondoa hizo bikra ni mwanamme, anae zitafuta tena hizo bikra ni mwanamme na anae lalamika tena hizo bikra kutokuwepo ni mwanamme. Kuna mahali wanamme tunakuwa wabinafsi.
Kwani walishikiwa bunduki wakati zikitolewa.Kitu kipo kwenye himiya yako, then unalalamika kwamba wamekushawishi ukawapa, sasa hiyo akili na utashi aliyopewa ya nini.
 
Huu mkangafuu chombo used bado unajitutumua, damaged hoe.. una machungu makali sana wenzako wanatembeza wanapelekwa vacation, gari, kulipiwa rent we una makasiriko ya kusambaza uroda Bure 🤣

Tatizo nyota au muonekano wako hau support, peleka ushauri wako batili kwa wadogo zako wakike au binti yako watembeze kama wee si tumeukataa, simple tu.
 
M/Mungu alipitaka amlete mwanae Jesus, alimtumia bikra, tufikirie wote kwanini? Hakumtumia mwanamke ambaye sio bikra au mwanamke aliyetolewa bikra Kisha akaolewa na mwanaume mwingine

Naomba nitoe sababu Moja na wewe utoe Moja alaf tuendelee na mada

Sababu yangu
1) alihofia kumpa sifa mbaya na kusababisha kutukanwa Kwa masihi atakapozaliwa , matusi ambayo yangemdogosha na kumpa wasi wasi Kwa unabii wake, matusi kama " umezaliwa na Malaya , analala na wanaume ovyo mwanamke ambaye akujitunza" Malaya
 
Kama mke wangu anayo ninaamini wapo wengine wanazo, kama wewe huna sema sina mambo ya chemistry weka pembeni
Bro, nimekuuliza mkeo kati ya wangapi? Husemi hili jibu ingawa unalijua badala yake una spin..kama hujui hili jibu weka poll hapa jf uone hao "wengine" walizo nazo! Afu acha kunichokoza kijanja, mambo ya chemistry yamewaingia eeh?;wacha dawa iwaingie shenzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom