sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,083
- 7,455
Mwanga wake ni afifu sana labda kama unatafuta upofu kwa lazima, sasa kama familia sometime inakosa mafuta ya taa ya 500 au buku, hicho kidude kinauzwa 3000 mpaka 5000 na kinaweza kuharibika ndani ya mwezi mmoja au mvua ikinyesha mfululizo siku 2,3 kinakuwa hakifanyi kazi, je dogo atakaa asubiri hicho kitaa kwanini asiende barbarani akafanya kazi zake.Aisee ?!!!!!
Hivi vidude vinauzwa kiasi gani, je ni gharama kuliko hio camera jamaa aliyotumia