Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

Umetia chumvi nyingi sana Mimi nimeenda bush ndani ndani huko hakuna umeme Ila wakiuza mazao yao wananunua Solar sio wajinga kiasi hicho, na Solar wanazotumia zina Mwanga tu km huu wa TANESCO

Unaamini kila kaya ni wakulima? Uliwahi kufika vijiji kama Njelenje huko mbeya ukaona kama kaya zote zina sola?
 
Unaamini kila kaya ni wakulima? Uliwahi kufika vijiji kama Njelenje huko mbeya ukaona kama kaya zote zina sola?
Hao elimu ya Solar itakua haijawafikia au wanaongozwa na Viongozi mizigo wasiojua kutatua changamoto za wananchi wao,
 
Afadhali huyo enzi hizo watu walisomea mbalamwezi, Yani mbalamwezi ikitoka ndo msuli isipotoka ujue umekwisha, usiulize kipindi cha giza watu walisoma vipi.
 
Back
Top Bottom