hongera zao.....hivi hilo jina la simu 2000 limepatikanaje?
Jina simu 2000 lilitokana na eneo hilo lilikuwa mali ya Posta na Simu Baada ya kugawanywa Simu kuwa TTCL na Posta kubakia peke yake , Ndipo iliundwa Kampuni ya kusimamia na kuuza mali zilizokuwa za Shirika la Posta na Simu likaitwa Simu 2000.Hivyo kiwanja hicho kikawa mikononi mwa Simu 2000.Baada ya wadau mbali mbali kwenye kikao cha Mkuu wa Mkoa walipoamua kukihamisha kituo kidogo cha Ubungo kukipeleka pale na kukipa jina la Simu 2000.Manispaa walisimamia ujenzi na uendeshaji.Ni chanzo kizuri sana cha mapato pia kuna kituo cha polisi na vyoo/mabafu ya kulipia.
Tupieni photos kwa sisi tulio mbali tukione
Tyta fanya kutupia mapicha
sawa mkuu vipi kuhusu picha au tumsubiri Tyta
Do you think everyone ambae anakaa Dar lazima afike simu 2000? Kutopajua Hapo haijalishi Tuoie mkoa, Wengine hata nauli za daladala tushasahau n sh ngapi
Hicho kituo kililuwa kizuri sana ila kimehanza kuharibika kwasababu ya urasim Wa manispaa yetu huyo meneja Aliyekuwepo wamemtoa wameweka watu wao kwa maslai yao jamaa alikuwa kichwa na mchapa kazi hataki longo longo watu kama Hawa nchi hii hawatakiwi wanawatumikia wananchi badala ya viongozi jama ni kichwa yule sijui yupo wapi sasa nadhani wanamwita Semtanga kama sikosei
Hicho kituo kililuwa kizuri sana ila kimehanza kuharibika kwasababu ya urasim Wa manispaa yetu huyo meneja Aliyekuwepo wamemtoa wameweka watu wao kwa maslai yao jamaa alikuwa kichwa na mchapa kazi hataki longo longo watu kama Hawa nchi hii hawatakiwi wanawatumikia wananchi badala ya viongozi jama ni kichwa yule sijui yupo wapi sasa nadhani wanamwita Semtanga kama sikosei
Mwanzoni ilikuwa ukienda maliwatoni unapewa ticket, kulikuwa na machine za Max Malipo sasa hivi hakuna.
Mambo mazuri hatuna budi kuyaona na kuyasifia, Kituo kidogo cha daladala simu 2000 kimenithibitishia kwamba tunaweza tukiamua. Ni kituo kisafi chenye mpangilio na salama.Nawapongeza wasimamizi ambao nina uhakika ni Manispaa ya Kinondoni.Ila najiuliza huko kwingine wameshindwa nini?TUBADILIKE, Mambo mazuri yatatujengea tabia nzuri pia!
kituo ni kizuri sana na panavutia kiukweli...lakini jina hilo Simu 2000 ndo nini? jina la kituo hovyo kabisa....
Jina simu 2000 lilitokana na eneo hilo lilikuwa mali ya Posta na Simu Baada ya kugawanywa Simu kuwa TTCL na Posta kubakia peke yake , Ndipo iliundwa Kampuni ya kusimamia na kuuza mali zilizokuwa za Shirika la Posta na Simu likaitwa Simu 2000.Hivyo kiwanja hicho kikawa mikononi mwa Simu 2000.Baada ya wadau mbali mbali kwenye kikao cha Mkuu wa Mkoa walipoamua kukihamisha kituo kidogo cha Ubungo kukipeleka pale na kukipa jina la Simu 2000.Manispaa walisimamia ujenzi na uendeshaji.Ni chanzo kizuri sana cha mapato pia kuna kituo cha polisi na vyoo/mabafu ya kulipia.
PIa kuna huduma ya internet bure... (Wireless Free), Nadhani ndo kituo cha kwanza cha DALADALA Tanzania kuwa na huduma ya bure ya internet.
Mambo mazuri hatuna budi kuyaona na kuyasifia, Kituo kidogo cha daladala simu 2000 kimenithibitishia kwamba tunaweza tukiamua. Ni kituo kisafi chenye mpangilio na salama.Nawapongeza wasimamizi ambao nina uhakika ni Manispaa ya Kinondoni.Ila najiuliza huko kwingine wameshindwa nini?TUBADILIKE, Mambo mazuri yatatujengea tabia nzuri pia!