kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 94
Mambo mazuri hatuna budi kuyaona na kuyasifia, Kituo kidogo cha daladala simu 2000 kimenithibitishia kwamba tunaweza tukiamua. Ni kituo kisafi chenye mpangilio na salama.Nawapongeza wasimamizi ambao nina uhakika ni Manispaa ya Kinondoni.Ila najiuliza huko kwingine wameshindwa nini?TUBADILIKE, Mambo mazuri yatatujengea tabia nzuri pia!
Last edited by a moderator: