Duhh,watanzania sasa tunaenda kuanikwa jinsi wadada wetu walivyo ......
At least Taifa litapata cha kujivunia. Sisi ni watu wa kumegwa. Kwa ajili hii nimeukana uraia wangu.
mkuu tafadhali sana badilisha kauli.......sisi?????At least Taifa litapata cha kujivunia. Sisi ni watu wa kumegwa. Kwa ajili hii nimeukana uraia wangu.
Yaani not even a week and her nipples are s********* and being f**** at the same tyme?She is an embarassment!
Anajua malavidavi ndiyo deal!
Kweli she is real degrading her morals!BB3 imekuwa club ya ngono!
if the world really goes as easy as that .. basi ni hatari .. mtu umemuona siku moja tu ya pili unamparamia .. kule ulikotoka umemwacha nani?? Richard alileta mtafaruku mkubwa ktk ndoa yake just cos of the same stupidity .. the other mwisho alionyesha utupu wake kauninginiza kama tai mbele ya camera ... hata akisimama mbele ya uma kila mtu anayajua maumbile yake ... all tht because of money??????? sasa cha ajabu mtu ambaye mwehu kama hivi ndiyo watu wanampenda wanampapatikia hasa mpaka wengine wanatoa ma milioni kumpata ... wewe unaejituliza na kujiheshimu hata salaam hupati
if the world really goes as easy as that .. basi ni hatari .. mtu umemuona siku moja tu ya pili unamparamia .. kule ulikotoka umemwacha nani?? Richard alileta mtafaruku mkubwa ktk ndoa yake just cos of the same stupidity .. the other mwisho alionyesha utupu wake kauninginiza kama tai mbele ya camera ... hata akisimama mbele ya uma kila mtu anayajua maumbile yake ... all tht because of money??????? sasa cha ajabu mtu ambaye mwehu kama hivi ndiyo watu wanampenda wanampapatikia hasa mpaka wengine wanatoa ma milioni kumpata ... wewe unaejituliza na kujiheshimu hata salaam hupati
Kweli bwana, hata rais alituambia kuwa tukitaka kula lazima tuliwe kwanza
itatuuma sana pale tutakapoanza kushuhudia binti yetu anazamishiwa msumari wa inchi sita live..si tulizoea kuona tukiwazamishia watoto wa wenzetu...sasa hapo ndipo watanzania uzalendo utawashinda na kuanza kumtumia message za kumtoa kama south africa walivyo vote kum evict yule binti yao aliyelambwa na gaetano........
Unajua Big Brother ina ufundi na trick kama soka, tenis, au mchezo mwingine wowote. Kwa hiyo Latoya anajua washabiki wa BBA wanataka kuona hatima ya kitu fulani, kwa mfano hapa wote tunadhani atamegwa siku moja, kutokana na hilo washabiki wngi watataka kumwacha ndani ya jumba ili siku moja waone live akiliwa, na yeye atakachofanya atamsogeza mshikaji karibu sana kiasi kwamba kila mtu anakuwa anajua kuwa itatokea kesho kumbe laaaa, mpaka anafika final. Hata Mwisho na Tapuwa (Zimbabwe) walitumia trick hiyo walidumu mpaka kushika nafasi ya 2 na tatu.
Pia akifanya hivyo atasababisha jelousnesness toka kwa mates wenzake hasa wasichana, na kwa hiyo watakuwa wanamnominate na kwa kupona eviction baada ya nomination itamwongezea umaarufu toka kwa washabiki.
Vipi uwezo wake wa kujieleza? maana hii inamata sana atakapo nominated atakuwa anaelza vipi hisia zake baada ya kusave eviction ili wiki inayofuata awe gumzo.
Nadhani it is just a trick of a game.