Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Duuu hatareee sanaaaa, miezi 3 sio mingii jamani mtu anashindwa kuvumiliaa unaliwa aibu sanaaa aiseee, acha waambukizanee
mmmmh nyege nazo mbaya jamani..halafu kama big brother huwa anataka wamegane maana wend huwa anawapa mipombe ile ya kuhamasisha ngono..fikilia umejidunga JD nzima halafu demu kanywa red wine ...anaenda kulala kwa mtoto mwenye njaa kama Nandos,,atamegwa tu..
Sema hili la kubongoana Afrika nzima wanaona mmmh inataka uwe umepinda aisee sio ujasiriiiii tu...yaani hakuna tofauti na wale wanaocheza za ubuyu tu
 
mmmmh nyege nazo mbaya jamani..halafu kama big brother huwa anataka wamegane maana wend huwa anawapa mipombe ile ya kuhamasisha ngono..fikilia umejidunga JD nzima halafu demu kanywa red wine ...anaenda kulala kwa mtoto mwenye njaa kama Nandos,,atamegwa tu..
Sema hili la kubongoana Afrika nzima wanaona mmmh inataka uwe umepinda aisee sio ujasiriiiii tu...yaani hakuna tofauti na wale wanaocheza za ubuyu tu

Ni shidaaaa kupanga ni kuchagua
 
Wa botswan ndiyo mzuri kwani bdo hajagegedwa
 
Ahsante sana Preta,

Mambo naona yameanza vizuri ila kumekuwa na dalili za kudorora fulani vile.

BBA wanatakiwa kumbadilisha IK ili kuleta vionjo vipya!

sawa kabisa......washiriki hawa wa sasa hawajachangamka kama kina Pokello walivyoingia........kulirindima hasa.........

ngoja tuone itakavyokuwa siku zinavyozidi kusogea..........
 
Mm langu moja tu,aliyemgegeda alitumia kinga,condom!

Aseee mabinti wa kitanzania mbona wanapenda sana kuchimbwa mkojo wakiwa hukooo...au kuna kitu wanalishwa nn aseee hzo papuchi zinaonekana zinakosa staha kabisa aseee
 
Mbona updates haziendelei?Wengine tuliangalizia kwa majirani siku ya ufunguzi tu so endeleeni kutuhabarisha yanayojiri huko.
Cc: Preta DivaBeyonce Maboso kanisambaze
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Preta,

Mambo naona yameanza vizuri ila kumekuwa na dalili za kudorora fulani vile.

BBA wanatakiwa kumbadilisha IK ili kuleta vionjo vipya!

Mwaka huu hovyo kabisa..washiriki wamezubaa utadhani wagonjwa wa ebola...diary room iko uchochoroni kama choo cha kona bar...mxxx
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom