johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Rais Biden amesema ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi kundi la Hamas litakapoangamizwa kabisa na kubakia raia Wema wa Palestine
Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas umefika
Source BBC news
Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas umefika
Source BBC news