Mkuu, kwenye hizo reference ulizotoa, wapi umeona "VITABU VYA KIPAGANI!?" Katika kitabu cha Yohana (Injili) kuna sehemu imeandikwa hivi, "..yapo na mambo mengine ambayo YEsu aliyafanya na hayakuandikwa katika kitabu hiki, laity kama kila kitu kingeandikwa then vitabu visingetosha..." NAtaka kuonesha, yes yapo mambo mengi tu ya manabii, wafalme, makuhani nk ambayo yalifanywa, kutenda au hata kufundisha lakini hayana reference ndani ya Biblia, swali langu, hapo vitabu vya kipagani we umetoa wapi!?
Kwa mfano leo mtu akiwa anafundisha kanisani, aka fanya reference kwenye nyimbo za tenzi za rohoni, injli, mwimbieni Bwana, nyimbo za wokovu nk. Hizo reference sio za Kibiblia but again huwezi kusema hivyo vitabu ni vya kipagani! Hebu njoo tena na uthibitisho wako kwamba Biblia imeruhusu kufanya reference kwenye vitabu vya kipagani, otherwise mi umeniacha njiapanda, sijaelewa!