Mkuu nimeshakuelewa toka mwanzo kuwa Hizo Jasher cjui Enock ni ''DIARY'' tu hivyo hazifai.
Sasa mimi nachohoji ni kwanini Joshua aliquote hizo "DIARY" ilihali alijua sio kitabu Credible for public consumption?
Pia niliuliza original "DIARY" ya jasher iko wapi ili tulinganishe na ulichoita ni forgery zake.
Nasema hivi sababu kwenye theology lectures nilizohudhuria hivi vitabu vimetambulika kama pseudepigrapha yaani vitabu vya kiyahudi ila havikuwepo kwenye main canon sababu vina walakini fulani mfano kukinzana na main stream bible,Waandishi kutojulikana n.k
Sasa swali langu kama ni pseudepigrapha kwanini Bible ilivitumia kufanyia reference vitabu hivi visivyo na uhalali?
Kingine Book of Enoch kinatumika Na Tawahedo orthodox church ambalo limekuwa na biblia yake tokea enzi za Mfalme suleiman yaani OT nzima ya hebrew bible jumlisha na zile maccabees, bool of Enoch 1-4 n.k na ndio kanisa la kwanza Africa je unazungumziaje ili??
Pia la mwisho unapodai utata wa forgery za vitabu kma ndio sababu mbona mfano kitabu cha Mwanzo hakikuandikwa na Musa ila kimeandikwa miaka zaidi ya 600 baada ya yeye kufa ila kinatambulika kuwa credible ila Hizo Yasher ndio zikiandikwa baadae sana hazina credibility??
Tuondolee hii double standard imayojitokeza mkuu kwa faida ya wasomaji wote
Karibu
Bible haikufanya reffrence no Yoshua Kama yeye ndie alifanya reffrencee.Hakunq ubaya kufanya refference private for private consumption
Vitabu vyote vya Biblia agano la kale hakuna Cha kuwa kanisa lilikaa kuvikubali au kuvikataa kwa kuwa tayari vilikuwepo 39 vikiwa vimetunzwa vizuri tu na wayahudi wakivitumia kwa mafundisho Karne na Karne kabla hata Yesu kuzaliwa na Ukristo kuwepo duniani
Achana na wanatheolojia na porpjo zao na Mambo yao ya kuokoteza.Agano la kale wanaololijua ni wayahudi .Kwingine kote kulijaa upagani mtupu.
Hivyo vitabu wajua dini yao na wenye manabii wao walikataa kuviweka
Na Kama mtu ku kote misemo labda ya kitabu Cha Nyerere kwenye mahubiri huwezii sema kakosea au ukasema sasa kihalalishwe misemo ya Nyerere iwe sehemu ya Biblia na vitabu vyake mtakatifu Nyerere viwekwe kwenye Biblia.
Yaweza kuwa msemo huo tu mmoja ulio quotiwa ndio wa maana na wa kweli.
Ukinukuu mfano padre au papa akinukuu habari iliyoko gazeti la Nipashe kwa hiyo gazeti la Nipashe liwe sehemu ya mafundisho ya kanisa katoliki?
Joshua ka quote kipande kidogo tu Cha diary au kitabu Cha jasher ,au henoko,au Gadi sio leseni la Hilo tabu kuwa sehemu ya mafundisho iwe ya kiyahudi au kikristo.
Kurani kwa mfano ina quotation za Biblia lakini waislamu hawajawahi ifanya Biblia kuwa kitabu Chao Cha dini.
Kuhusu forgery ushahidi uko.kibao mfano kitabu Cha henoko kimejaa uongo mwingi mfano kinasema Malaika ndio.mungu aliwaambia wajenge safina!!!! Na ndio walijenga!!!!!! Eti
Joshua Ali quote kisehemu kidogo mno sio.leseni ya Hilo diary kuwa sehemu ya Biblia