Sawa mkuu ila sidhani kama huo ukweli utakujakupatikana kwa mazingira haya haya yaliyopo.Mungu alijua hili litatokea ndio maana alitoa hukumu kupitia kitabu cha ufunuo ambacho alisema adhabu ipo kwa atakayeongeza au kupunguza neno lolote la Mungu.... Hivyo naamini mchakato mzima watu walitumia akili zao kuamua kitabu kipi kikae kipi kitolewe ila leo hii ukihoji wanasema WALIONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU.... Sasa unabaki kujiuliza je kivp Roho MTAKATIFU aongoze Biblia kukinzana kila dhehebu.
Ila naamini ukweli utapatikana cku moja
Sorry mkuu i meant jonathan sio nathanDhambi Kama binadamu anaweza akawa ameifanya labda ya hasira au Aina nyingine ya Dhambi Ila sio dhambi ya Uzinzi au ya ulawiti kwani baada ya Daudi kufanya kosa Mungu akamtuma Nabii Nathani aende kumwambia Daudi dhambi alilolifanya kuwa lilikua chukizo mbele za BWANA na tunaona mshahara wa ile dhambi ulivyokua Soma 2Samweli 12:1-18 .
Swali iwezekaneje Daudi amlale Nabii Wa BWANA Nathan?? Yani unaona kabisa dots haziunganishiki! Maana Mungu ile dhambi aliijibu kwa mapigo makubwa kwa Daudi Soma izo haya nilizoweka utaona.
Ila pia Kama nikikubali alitenda iyo dhambi Basi tukubaliane pia Daudi ufalme wake ulifutwa na pia yupo jehanamu anaangamia kwenye Moto wa milele.
Kama qur,an imekamilika, zile hadith za nini tena?Ndio maana Mungu aliona Bible haijakamilika akaleta Qur'an, yote ya nini kuangaika na mavitabu lukuki wakati Quran ime summarize
Aiseeeee.Full rahaa
Daudi alifanya Uzinzi na adhabu alipewa ambayo ilikua kubwa.....ila Kama pia angerudia Tena kufanya uzinzi adhabu ya ya huoUzinzi ungewekwa wazi na adhabu ingekua kubwa zaidiSorry mkuu i meant jonathan sio nathan
All in all nachouliza je Daudi hakufanya uzinzi?? Kama alifanya ina maana alikuwa na uwezo wa kufanya uzinzi mwingine wowote si ndio maana yake??hapo ndio mzizi wa swali.
Yaani ni sawa na mvuta bangi je hawezi kuvuta na sigara pia?? Nsaidie hapa
Kuhusu kuwa jehanum kwanini?? Si anatubu yanaisha ama?? Mbona Alitubu baada ya kuiba mke wa mtu??
Daudi alifanya Uzinzi na adhabu alipewa ambayo ilikua kubwa.....ila Kama pia angerudia Tena kufanya uzinzi adhabu ya ya huoUzinzi ungewekwa wazi na adhabu ingekua kubwa zaidi
Daudi mwanzo aliukumiwa kwa ile dhambi ya uzinzi ndomana mtoto aliezaa na yule mwanamke wa uria alikufa wakati alimwomba BWANA asimwue yule mtoto pia tunaona laana ya familia yake Kama BWANA alivyosema ilitokea Soma 2 samweli sura ya 13 kwaio Daudi hakusamehewa.....alichosamehewa Mfalme Daudi ni kutopata adhabu ya Kifo kwakua alikua Masihi wa BWANA .
Kwaio hoja ya kwamba angetubu Tena haina mashiko kwani hata dhambi ya Kwanza Toba yake haikukubaliwa
Weka sawa hapa "sunan abu 3991". Kuna kitu kimemiss hapo.allah alishindwa nini kuwaambia ukweli kuwa jua halizami kwenye bwawa isipokuwa dunia ndio huzunguka?
na mohamed amesapoti hili la kuzama kwenye bwawa katika hadith;sunan abu 3991
kwa vile umejitolea kutupa dahwa naomba tuelezee kuhusu hizi aya;
quran 88:20 (earth is flat)
quran 65:12 (there are 7 earths)
quran 36:38-40 (the sun and moon chase one another)
quran 22:65 (the sky would fall if allah didn't hold it up)
quran 31:31 (ships sailing through the sea is a miracle by allah)
quran 9:29 (violently subjugate christians and jews)
nakuelewa ila kuhusu kudadavua hayo yote nilishaanzishaga nyuzi kuhusu yote uliyoeleza,zitafute humu na debate utaziona
njia yangu ya uwasilishaji ni sahihi ukizingatia sumu walizonazo watu weusi tokea wamezaliwa
my harsh approach inalenga kumtia mtu hasira ili akafanye research na hapo dipo atakapokutana na ukweli
sorry to say kuwa approach hii ndio sahihi kwa wakati huu,time is running out na watu wanatoa zaka kila siku huku taifa likiendelea kuwa masikini
Hapa ndipo huwa nawadharau watu kama nyinyi. Yaani mnaandika uongo wa dhahiri kabisa.sababu quran na biblia nazijua na nina uwezo wa kuchallenge maandiko yake
Angalia muktadha wa Dhambi huyu alikua Masihi wa BWANA akafanya kosa la kwanza akaadhibiwa je afanye kosa la pili linalofanana vile vile Tena la Ulawiti halafu tusione adhabu yake? Embu anzia hapo .Isaiah 1:18
18 βCome now, let us settle the matter,β
says the Lord.
βThough your sins are like scarlet,
they shall be as white as snow;
though they are red as crimson,
they shall be like wool
ISA. 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Angalia muktadha wa Dhambi huyu alikua Masihi wa BWANA akafanya kosa la kwanza akaadhibiwa je afanye kosa la pili linalofanana vile vile Tena la Ulawiti halafu tusione adhabu yake? Embu anzia hapo .
Mbona hoja yako dhaifu aiseeKumbe Mungu ni mbaguzi kiasi hiki????
Mbona hoja yako dhaifu aisee
Halafu umefatilia mada stoked mwanzo?
Sunan Abu Dawood Book Number 32 Hadith Number 3991Weka sawa hapa "sunan abu 3991". Kuna kitu kimemiss hapo.
Nasubiri jibu hapo niendelee nilipoishia.
mohamed ibn abdulah alipasua mwezi vipande viwili? nasubiri jibuHapa ndipo huwa nawadharau watu kama nyinyi. Yaani mnaandika uongo wa dhahiri kabisa.
Kaka Qur'an huijui wewe,hata kuisoma huijui,sasa huu ujasiri wa kuzungumzia jambo msilolijua sijui huwa mnapata wapi. Hili sishangai sababu wajinga wengi ndio mlivyo.
Uwezo wa kui challange Qur'an huna ndio maana unaishia kusema uongo na wasi wasi tele.
Narudi.........
mohamed ibn abdulah alipasua mwezi vipande viwili? nasubiri jibu
Hoja ni kwamba Daudi Ilo kosa hajafanya mi nilikua nimesimamia hapo Nikawa Nampa Vifungu Mkuu ZittoNimeuliza swali kutokana na hoja yako kuwa Daudi asingeweza kusamehewa kosa la pili kwa sababu alikuwa masihi wa Mungu (Maana mwanzani mkuu zitto alikuja na hoja kuwa Daudi alitubu akasamehewa ila wewe ukasema hakusamehewa pamoja na kuomba msamaha kwa bwana kuwa yule mtoto aliyezaa na mke wa askari wake bwana asimuuwe ila bwana akamuuwa)....Hapo ndo nikakuwekea andiko la Isaya 1:18....wewe ukaja na hoja kuwa Daudi alikuwa Masihi wa Mungu kwa hyo akustahili msamaha wa kosa la pili hata kama aliomba msamaha (kwa maelezo yako)...Ndo nikasema Mungu atakuwa mbaguzi maana kama wengine wanafanya makosa tena zaidi ya mara moja na kuomba msamaha na kusamehewa (Msingi wa Isaya 1:18) inakuweje inapokuja kwa masihi wake inakuwa tofauti????Rejea kisa cha Sauli
Najua mwishowe utakuja na zile hoja zenu kuwa biblia haisomwi kama gazeti....Waiting for that...
Nacheka sana. Hakuna nabii au mtume anaefanya muujiza kwa uwezo wake,bali muujiza ni kwa idhini ya Allah,ili kwa watakao amini waamini na kinyume chake.mohamed ibn abdulah alipasua mwezi vipande viwili? nasubiri jibu