zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,066
- 28,712
- Thread starter
- #301
wakurochi
Si unaona sasa unavyojichanganya mbona nimequote kitabu cha Tito?? Au Tito ipo kwenye torati pia?? Efeso ipo kwa torati?? Mkuu kajifunze kwanza jinsi ya kudeal na midahalo kama kule Quora watu wanapambana kwa hoja za kiimani bila matusi na ssi wasomaji tunajifunza ila haya ya mtu kuleta hoja unamdhani ni shetani hayajengi hata cku moja sasa imagine unakutana na mpagani anahoji hili ili aokoke je ungeweza kweli kumhubiria?? Au ndio ungemtukana na kuondoka zako?? Je Yesu angewajibu hivi mafarisayo waliomchallenge leo hii kungekuwa na ukristo duniani??
JF tubadilike this is so low of us
Si unaona sasa unavyojichanganya mbona nimequote kitabu cha Tito?? Au Tito ipo kwenye torati pia?? Efeso ipo kwa torati?? Mkuu kajifunze kwanza jinsi ya kudeal na midahalo kama kule Quora watu wanapambana kwa hoja za kiimani bila matusi na ssi wasomaji tunajifunza ila haya ya mtu kuleta hoja unamdhani ni shetani hayajengi hata cku moja sasa imagine unakutana na mpagani anahoji hili ili aokoke je ungeweza kweli kumhubiria?? Au ndio ungemtukana na kuondoka zako?? Je Yesu angewajibu hivi mafarisayo waliomchallenge leo hii kungekuwa na ukristo duniani??
JF tubadilike this is so low of us