Biblia na biashara ya utumwa wa mtu mweusi Marekani

We jamaa kazi ya ma rabbi ilikuwa nini sasa?

Maandiko yanatunzwa kwa kuandikwa upya kila baada ya we unataka copy yenye maandiko ya mussa mwenyewe kweli wewe chenga
Sijaoengelea karatasi naongelea lugha,geography,siasa zote zimebase kwenye 6 century BC na ndio maana niliweka link mkasome documentary hypothesis ambayo wanatheolojia wengi credible wanakubali kuwa kitabu cha mwanzo kiliandikwa na watu 4 tofauti kwa gap ya miaka zaidi ya 400 ila naona wafia dini bado mnabishana na wasomi wa Biblia kisa tu mmekaririshwa kanisani kuwa Musa aliandika pentateuch nzima

Pitia huu uzi wangu nimeongelea hilo swala
Je, Musa hakuandika kitabu cha Mwanzo?? - JamiiForums
 
Hakuna aliyekosea hapo sio Stephano wala sio mussa hio ni mistake ya translation ya king James ukisoma translinear Bible (,,yenye both original language Hebrew and Latin)hakuna shida yoyote so tafsiri ya lugha ndo ilikosewa kupeleka kwenye kiingereza sio waandishi wa asilia
Kwahiyo Biblia ina makosa?? Ina maana watafsiri wa Biblia hawakuwa na Roho mtakatifu hadi watafsiri kimakosa??

Anyway hyo discrepancy ipo hta kwenye translinear Bible ipo ila sijui kwanini umeamua kupotosha
Screenshot_2018-10-14-13-48-03.png
Screenshot_2018-10-14-13-46-32.png


Kwenye hayo maneno ya kiebrania na kilatin unaweza nionyesha kivp shechem imetumia neno moja na macpelah ama kabila la Hamor na Hitite imetumika interchangeably??

Embu rudi na majibu yanayoeleweka.... Maana sio king james peke ake bali Biblia zote kuanzia masoretic mpaka septuagint zimeandika hivo!!
 
Kwanini Mungu alimtoa yesu katika uzao wa kifalme wa daudi?
Asingechukua kizazi chengine chochote akachagua kile?
Mkuu jikite kwenye hoja maamuzi ya Mungu ndio utayajustify kwa uoga wa Ellen white!! Usiende mbali mie nimeuliza mbona kuna makanisa yali emancipate weusi katikati ya miaka ya ubaguzi wa rangi bila kuogopa kupoteza washirika weupe!! Kwanini hellen ameogopa?? Ungejibu hili hayo ya Daudi utadivert tu mada hapa
 
Huelewi uislamu wala ukristo katambime mizimu tuu


Unajua uhasama wa wayahudi na mtume ulianza wapi??
Wapi nimeongelea uhasama wa mtume na wayahudi? Nimeongelea uhasama kati ya nchi za kiislam za mashariki ya kati na taifa la ISRAEL la sasa ila licha ya kuwaona kama washenzi na wapotofu bado wanasoma torat na zaburi zilizoandikwa na mababu wa kiyahudi sasa kupitia mfano wako kipi kigumu kwa muisrael kuwa mchungaji wa wapalestina ilihali wapalestina bado wanasoma maandiko matakatifu ya mababu wa kiyahudi kama musa na daudi??

Hili ndio swali hayo ya mtume na wayahudi sijui umeyatoa wapi... So jikite kwenye hoja mkui
 
Hongera kwa kufikilia kwa kina japo majibu yanaweza yakawa wazi au yasiwe wazi kutokana na uelewa wa kila mmoja wetu kwa kadri alivyopata kuelewa ..

Kwanza kabsaa naomba nikuhakikishie kuwa utumwa unaozungumziwa kwenye biblia sio wa ngozi nyeusi tu,bali mtumwa anayezungumzwa mule ni mtu ambaye hajawa na concious awareness ya kusynchronise mental ambility yake na universe(The giver of everything) ambaye ndo controller wa yote..
Mtumwa anayezungumziwa kwenye biblia siyo mwafrica wala mzungu ,ni mtu yeyote asiyeelewa chochote kinaendelea katika mfumo unaoendelea kushikilia vitu katika ulimwengu huu..


View attachment 871700

Mwanzoni kabisa tangu mwanadamu kuingiliana na beings( viumbe toka dunia za mbali) mojawapo ya makubaliano yaliyofanywa ni kuuficha ukweli ni wapi power,knowlege,Intelligence pamoja na inspiration zinatoka..

Kwa hiyo Makubaliano yaliyofikiwa ni kutoruhusu mwanadamu atakayeendelea kuzaliana kutojua ile iliyo kweli inayoshikilia nguvu yote jinsi mambo yalivyo ,..

kwa hiyo ajenda ya kwanza ilikuwa ni kutafuta kundi kubwa la watu bila kuangalia ni jamii ipi ili kuficha ukweli na kuruhusu kundi kubwa litakalobaki liwe sample space kwa kazi maalumu ambaye imepangwa kufanyika katika dunia tunayoishi..

Basi mataifa mengi Ulaya,Asia ,South America yalielewa ule mpango mapema sana hivyo yakaanza kuelimishana juu ya mpango kabambe unaoenda kuipumbaza akili ya mwanadamu juu ya imani inayoenda kuelezewa juu ya nguvu iliyopo..
yanichampishwa majarida vikiwemo vitabu vitakatifu ili hali kumpoteza mwanadamu asigundue kuwa tayari ana uwezo wa kufree mind yake na kutoka kwenye utumwa wa akili potofu juu ya utengemezi wa kitu chochote toka kwenye nguvu isiyoonekana..

View attachment 871702

Mwanzoni kabsaa nchi chache kama Ugeruman zilielewa juu ya umuhimu wa free will ambayo ndo msingi pekee wa kuiunganisha mind ya mwanadamu na Nguvu kubwa basi ilipelekea kuwaelimishwa watu wake na kuanza kuwateka watu baki kama mataifa mengine mpaka pale elimu hiyo ilianza kutolewa kwa nchi nyingi za wenzetu ambapo kila mtu alipata kufahamu juu ya nguvu ambayo kapewa ndani yake na inaweza ikamfanya akasynchronize na higher beings na kumfanya aadvance katika kila civilization aliyokuwa anaitaka..

Ndo mana nchi nyingi za ulaya zilianza kuwa watumwa wao kwa wao (wenyewe) kabla ya kuja huku Africa make utamdanganya nani juu ya ukweli make kila mtu alikuwa tayari kashafree mind yake na kumfanya apate conciousness ya hali ya juu sana na wengi walijikuta wanaamsha pyschic powers za hali ya juu ,tena kama nchi za china huko ndo zimekuja kuidominate hiyo elimu mpaka sasa maendeleo yao ni makubwa sana na ikumbukwe kuwa unampomfundisha nguvu hii mtu mwingime akikuzidi ni shida kwani atakuwa na uwezo wa kusynchronize na universe ambayo kimsingi ndo mtoa wa kila kitu..

kwa hiyo ilipelekea nchi nyingi kupata elimu hiyo japo ilikuwa siyo kwa wote ila idadi kubwa iliapata kulewa ukweli wa kila kitu huku idadi ndogo ikiachwa iliniendelee kufanya physical work ..
View attachment 871708

kwa hiyo hayo machapisho na majarida yaliyokuwa yanaelezea au kusapoti slave ni mpango wa kuficha ukweli juu ya free will determination ambayo ndo msingi pekee wa mwanadamu katika kuraise na kushunt back negative awareness ambayo inakufanya uwe mbali wa nguvu inayoshikilia kila kitu..

Nguvu inayoshukilia kila kitu haina upendeleo kwa anayejua kuitumia,ni kitendo cha kuiamuru fanya hiki kwa kufuata sheria na taratibu ( Universal laws) ambazo ndo zinaruhusu flow pathway ya nguvu hizo..

Kwa hiyo mataifa mengi Ulaya yalipeana elimu hii na chimbuko lake ni wapi na ni kwa jinsi gani unaweza unganisha mind ya mwanadamu na universe energy field kuwa kitu kimoja kinachofanya kazi kupitia human mind power..kwa sababu kila mtu hapa duniani yuko connected na universal grid kias cha kuifanya iruhusu flow ya knowlege kwako na kuitumia utakavyo..

Tunaposema kuwa kila mind ya kiumbe yoyote yule ipo indirectly connected na universal energy field( super concious mind) ambayo haina upendeleo na mtu yoyote, just kuiset mind yako( free your mind to get complete access to universal power).
View attachment 871709

Kwa hiyo mwanadamu ulipaswa kufahamu hili jambo tangu zamani lakini wachache wamekuzika ndani ya shimo refu kisha kukutia moshi wenye ukungu mweusi kiasi kwamba ni nguvu kujifahamu mwenyewe..

View attachment 871710




Ndo mana unaambiwa ufalme wa Mbingu upo katika ufahamu wako Luke 17:21.( The kingdom of God is within you) hapa akimanisha uwezo wa kuicontrol dunia kw akuiamuru ifanye jambo lolotr upo ndani yako wewe,ndo mana tunaona nchi zilizoendelea zikiishi maisha yanayostahiki..
change your mind,be connected to the source ,forget about keeping playing and seeking help from others,you are the slave to the knower..


tuendeleeee sasa...........



Baada ya mataifa mengi ulaya kugundua kuwa uwezo wote upo katika akili ya mwanadamu ila kinachohitajika ni meditation na kufunuliwa ukweli wote juu ya wapi tumetoka na tupo hapa kwa lengo gani ,basi elimu ya kufree mind iliendelea kutolewa kwa usiri mkubwa sanaambapo tayari mwanadamu alikuwa na uwezo wa kuconnect mind yake na universal energy ( hapa tunaongelea nguvu au source ya kukuweka wewe hapa duniani..) hivyo nchi nyingi ziliamua kuachana na habari za kutesana kifikra na hatimaye kaunza kuelimishana katika viunga ( Shule maalumu) .
..
Katika kipindi cha kutoa elimu hiyo kwa siri iliwafanya waanze kutafuta mataifa mengine ambayo yangepelekwa nchini kwao kwa ajili ya kuendeleza kufanya kazi ngumu ambazo zilikosa mtu wa kuzifanya make kila mtu alikuwa bize anafundishwa elimu tambuzi ya siri juu ya jinsi akili( mind) ya mwanadamu inavyoweza kufanya mambo mazito kama itakuwa connected katika high concious field area..

Hivyo kukapelekea Bara la Africa kuchukuliwa kama sehemu ya kupata labour power( utumwa) kwani ndo sehemu pekee ambapo watu wake walichelewa kupata elimu tambuzi..

Hivyo watu wengi walipelekwa south America( Brazil), North America( U.S.A) na baadhi wakipelekwa Uarabuni ..

Kumbuka mtumwa wa kwanza ni yule aliyekuwa karibu na yule anayekuwa amefahamu mapema elimu tambuzi,na ukiangalia kweli Mwarabu alikuwa mtu wa kwanza kupata taabu sanaa, kwani ndo mtu pekee ambaye alichukuliwa akafanye kazi ngumu huko Ulaya huku wazungu wakiendelea kupewa elimu tamu yenye mambo mazito kwa siri sana.


,Ndo mana ilikuwa ni marufuku kwa mzungu kusogeleana na mwarabu na ukionekana umesogeleana ulikuwa unapewa sumu au kupigwa risasi kwani ilikuwa ni siri kubwa sana kumhuruhusu mwarabu ajue ..

Hali hiyo iliendelea mpaka pale mwarabu alipopata ufahamu zaidi juu ya kinachoendelea na kuanza mbinu za kuibia mafundisho yale mpka pale aliposamehewa kwa sharti moja tu la kutakiwa awe agent wa kutafuta ndezi wengine ili wakamliplace huko ulaya ,,.
Ndipo alipoanza kumkamata Mwafrica na kumpeleka huko kwenye soko za Watumwa..

Biashara hii iliendelea kunoga kwani nchi nyingi zilikuwa bize kupeana elimu tambuzi huku Mwafrica akigeuka kuwa mashine mbadala huku wazungu wakiendelea kupata elimu tosha mpaka mpale transition period ilipoisha ambapo sasa kila ngozi nyeupe ilikuwa tayari ishapata mwanga mwingi juu ya kutengenezea mashine ambazo zitaenda kumsaidia mwanadamu kazi( Replacement of human power) ..

Lakini kipindi hiki kilienda sambamba na Industrial revolution ( Mapinduzi ya viwanda) ,kwani baada ya mzungu kujifungia akila elimu tosha ndipo group dogo la wazungu lilikuwa linabadilisha elimu ile aiu linaifanyia kazi elimu ile kwa kuunda mashine kisa kuifanyia kazi kwa kumtumia yule yule mwafrica kama source ya Kuandaaa maligafin (raw materiol)..

Uhuru kamili wa mwafrica umekuja kupatikana baada ya super industrial revolution with machine to machine replacement ) uliokuja kumruhusu mwanadamu hasa ngozi nyeusi isiendelee kufanya kazi ngumu kwani tayari mashine zilikuwa na uwezo wa kuandaaa na kuprocess kila kitu bila msaada wa binadamu..

Conclusion........

Nahitimisha kwa kusema kuwa Bible,quran na majarida mengine yalichochea utumwa wa kifikra wa mwanadamu lakini utumwa uliokuwa unaelezewa ni free mind knowlege kwa wote lakini kutokana na upendo waliokuwa nao wenzetu walipeana elimu bila kufichana kuliko sisi ambao mpaka leo ukimwambia mtu kuwa Dini ni man made scriptures kwa lengo maalumu anakataa..

Free your mind ,you wana raise up conciousnes and ability to attain power to do anything..

Karibuni na wengine muendele..
kuna sehemu niliwahi kusoma kuwa watu wa vyama vya siri kama illuminati, freemason, skull and bones nk. huwa wana practice kwa siri knowledge/elimu uliyoifafanua hapo juu.

na ndio maana wamejiwekea madaraja, kwamba kadili unavyozidi kupanda daraja katika u-freemason ndivyo unavyozidi ku acquire knowledge na kujua siri zaidi za ulimwengu.
 
Kasome hadithi vizuri zinazo mhusu mtume kuanzia maisha yake yote anavopata utume hadi anafariki ndo uje uongee hapa
Nimesoma mkuu sana tu amepinga kuanzia waabudu masanamu mpaka utumwa.... Hadi alimchukua mtu mweusi kuwa muhazeen wake wa kwanza kabisa ambaye alikuwa mtumwa mweusi kutoka Ethiopia bila kujali enzi zake kulikuwa na ubaguzi wa rangi na mweusi alionekana kama mtubwa daraja la 3!! Je mbona hakuogopa kupoteza washirika wakiarabu
 
kuna sehemu niliwahi kusoma kuwa watu wa vyama vya siri kama illuminati, freemason, skull and bones nk. huwa wana practice knowledge kwa siri knowledge/elimu uliyoifafanua hapo juu.

na ndio maana wamejiwekea madaraja, kwamba kadili unavyozidi kupanda daraja katika u-freemason ndivyo unavyozidi ku acquire knowledge na kujua siri za ulimwengu.
nikweli mkuu
 
Habari za jioni wana JF leo nina mada sensitive kidogo ila ni muhimu sisi waafrika tujifunze mambo haya ili tuweze kufahamu historia yetu na wapi tunaelekea ila nahitaji utulivu unaposoma ili ujifunze kitu na ningeomba pia tusikashifiane kidini maana sio lengo la uzi huu, nashukuru kwa ushirikiano wenu.

View attachment 871542UTANGULIZI
Tukirudi nyuma marekani mwaka 1619, ambapo ulikuwa mwanzo wa karne mbili za wanadamu wa jamii ya Negroid yaani ngozi nyeusi kutoka bara la Afrika kutumikishwa kwenye mashamba na makazi ya wazungu lakini cha kushangaza zaidi na kinachoumiza zaidi ni kwamba uhuni huu ulipewa support kubwa na viongozi wa dini na makanisa ya huko marekani sio tu madhabahuni bali pia madarasani.

Kwa mfano kati ya miaka 1700 mchungaji William Graham alikuwa anakaribishwa kwenye vyuo mbalimbali huko Washington hasa siku za mahafali ili kuwaeleza umuhimu wa biashara ya utumwa na mbaya zaidi alitumia biblia kuhalalisha hilo.
View attachment 871540
BIBLIA INASEMAJE??
TITO 2

9 Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wenye kujibu,
10 wasiwe waibaji; bali wauonyeshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mwokozi wetu Mungu katika mambo yote.

EFESO 6:5
5 Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;

Walawi 25:44
44 Tena katika habari za watumwa wako na wajakazi wako, utakaokuwa nao; mataifa walio kando-kando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi.
45 Tena katika wana wa wageni wakaao kati yenu mtajinunulia, na katika jamaa zao walio pamoja nanyi, waliowazaa katika nchi yenu; wao watakuwa milki yenu.

Kutoka 21:20
20 Mtu akimpiga mtumwa wake, au kijakazi chake, kwa fimbo, naye akifa mkononi mwake, hana budi ataadhibiwa.
21 Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake

SABATO
Hata wakati ukoloni ukichachamaa huko America Nabii wa kisabato Hellen G White alionyesha wazi kusupport ukoloni wa watu weusi kwa kutumia Biblia hata kwenye mkusanyiko wa maandiko yake yaliyoitwa selected messages (Book 2) Hellen alisema "Kusiwepo na muingiliano wa ndoa kati ya weupe na watu weusi". Na akaenda mbali zaidi na kusema watu weusi wasijaribu kujiweka daraja moja na weupe sababu wao ni watumwa hivyo kibiblia hawawezi kuwa level moja na Bwana wao (wazungu) hapa nanukuu kutoka kitabu cha Testimonies volume ya 9

"The Colored People should not urge that they be placed on an equality with White People."

View attachment 871541
UKATOLIKI
Wakatoliki nao hawakuwa nyuma kwenye kutumia biblia kuhalalisha ukoloni, tokea mwaka 1517, hata Askofu mmoja aitwaye Las Casas wa uingereza aliagiza meli yenye watumwa kutoka Afrika na ombi lake likakubaliwa na mfalme Charles wa 5. Kibaya zaidi hata mapadre wa kikatoliki maarufu kama Capuchin missionaries walifungiwa na kanisa katoliki baada ya kudai watumwa wapandishwe hadhi huko marekani. Hata waasisi wa mwanzo wa kaniasa kina St.Augustine kwenye maandiko yake alisema utumwa ni taasisi iliyotokana na Mungu hivyo ni faida kwa mtumwa na Bwana wake. Na hata uongozi wa juu kabisa wa kanisa yaani ofisi ya Papa walisupport utumwa mfano Papa Martin 1 mwaka 650 AD alitoa waraka kuagiza kutimuliwa kanisani kwa viongozi wowote watakaofundisha watumwa kujikomboa ama kupinga ukoloni?? Na mafundisho haya walitumia vifungu hivi vya Biblia kuhalalisha.

HOJA
1.Sasa basi mie najiuliza swali moja kama Mungu alituumba wote kwa usawa kwanini basi kuna wanadamu wanahesabika ni daraja la pili hadi aruhusu wauzwe na kununuliwa kama bidhaa na kuwa mali ya mtu milele?

2. Kama utumwa ni halali kibiblia je ina maana wote waliopinga utumwa na ubaguzi wa rangi hapa duniani wote wamefanya dhambi hivyo wataishia kuzimu?

3. Je msimamo wa kanisa wa sasa kupinga utumwa haukinzani na mafundisho ya biblia juu ya kuhalalisha biashara hii ambayo wanaiita haramu kwa sasa??

View attachment 871543
HITIMISHO
Huenda Biblia ilitumia muktadha wa kipindi hicho kuelezea suala hili la utumwa ila viongozi wa kanisa wakayatafsiri vibaya maandiko haya kwa maslahi yao ila ningependa tufahamishane kuhusu suala hili kama lina baraka za biblia kweli au viongozi wa kanisa walidanganya wao kama wao kwa sababu zao binafsi??

Naomba kuwasilisha

Nayaafiki kabisa Maandiko uliyoyarejea kuhusu Utumwa kuhalalishwa na Biblia.
Ila sidhani kama mara zote neno mtumwa lilipotumika kwenye Biblia lilimaanisha Slaves na sio Servant/House girl/babysitter ama utumishi wowote ule wenye Ujira au makubaliano fulani kati ya bwana na mtumwa.

Mfumo wa Utumwa imekuwa ni kati ya Ustaarabu mkongwe ulimwenguni kote,dola zote za kale zilikuwa na mifumo ya utumwa.

Sitaki kudadavu sana asili ya utumwa ulitokeaje hapa! Ila Waarabu,Wayunani na Warumi wote wameishi mfumo huo wa wanyonge kufanywa watumwa na wenye nguvu.

Utumwa na Ubaguzi wa rangi ulikuja ili tu kuhalalisha Mtu mweusi kuwa mtumwa wa watu weupe!
Nadhani ni Barthromew De las casas ( The Monk of the Indians) alikomesha jadi ya waispaniola kuwatumikisha wahindi wekundu huko Amerika ya Kusini kwa Kutetea kuwa wahindi wekundu wakuumbwa kuwa watumwa isipokuwa kuwa wakristo.
Na kwa hoja hiyo mbele ya Mfalme Charles kama sio Queen Isabela(imekuwa siku nyingi sikumbuki hoja yake ilikubaliwa na nani kati ya hao).
Encomienda system( The right to enslave the Natives) ikawa imekoma kwa Wahindi wekundu.Na Msala ukwageukia watu weusi wa afrika magharibi.

Itaendelea...
 
Aisee... Hiyo elimu ya ufahamu inapatikana wapi na mm naweza kuipata?
Hongera kwa kufikilia kwa kina japo majibu yanaweza yakawa wazi au yasiwe wazi kutokana na uelewa wa kila mmoja wetu kwa kadri alivyopata kuelewa ..

Kwanza kabsaa naomba nikuhakikishie kuwa utumwa unaozungumziwa kwenye biblia sio wa ngozi nyeusi tu,bali mtumwa anayezungumzwa mule ni mtu ambaye hajawa na concious awareness ya kusynchronise mental ambility yake na universe(The giver of everything) ambaye ndo controller wa yote..
Mtumwa anayezungumziwa kwenye biblia siyo mwafrica wala mzungu ,ni mtu yeyote asiyeelewa chochote kinaendelea katika mfumo unaoendelea kushikilia vitu katika ulimwengu huu..


View attachment 871700

Mwanzoni kabisa tangu mwanadamu kuingiliana na beings( viumbe toka dunia za mbali) mojawapo ya makubaliano yaliyofanywa ni kuuficha ukweli ni wapi power,knowlege,Intelligence pamoja na inspiration zinatoka..

Kwa hiyo Makubaliano yaliyofikiwa ni kutoruhusu mwanadamu atakayeendelea kuzaliana kutojua ile iliyo kweli inayoshikilia nguvu yote jinsi mambo yalivyo ,..

kwa hiyo ajenda ya kwanza ilikuwa ni kutafuta kundi kubwa la watu bila kuangalia ni jamii ipi ili kuficha ukweli na kuruhusu kundi kubwa litakalobaki liwe sample space kwa kazi maalumu ambaye imepangwa kufanyika katika dunia tunayoishi..

Basi mataifa mengi Ulaya,Asia ,South America yalielewa ule mpango mapema sana hivyo yakaanza kuelimishana juu ya mpango kabambe unaoenda kuipumbaza akili ya mwanadamu juu ya imani inayoenda kuelezewa juu ya nguvu iliyopo..
yanichampishwa majarida vikiwemo vitabu vitakatifu ili hali kumpoteza mwanadamu asigundue kuwa tayari ana uwezo wa kufree mind yake na kutoka kwenye utumwa wa akili potofu juu ya utengemezi wa kitu chochote toka kwenye nguvu isiyoonekana..

View attachment 871702

Mwanzoni kabsaa nchi chache kama Ugeruman zilielewa juu ya umuhimu wa free will ambayo ndo msingi pekee wa kuiunganisha mind ya mwanadamu na Nguvu kubwa basi ilipelekea kuwaelimishwa watu wake na kuanza kuwateka watu baki kama mataifa mengine mpaka pale elimu hiyo ilianza kutolewa kwa nchi nyingi za wenzetu ambapo kila mtu alipata kufahamu juu ya nguvu ambayo kapewa ndani yake na inaweza ikamfanya akasynchronize na higher beings na kumfanya aadvance katika kila civilization aliyokuwa anaitaka..

Ndo mana nchi nyingi za ulaya zilianza kuwa watumwa wao kwa wao (wenyewe) kabla ya kuja huku Africa make utamdanganya nani juu ya ukweli make kila mtu alikuwa tayari kashafree mind yake na kumfanya apate conciousness ya hali ya juu sana na wengi walijikuta wanaamsha pyschic powers za hali ya juu ,tena kama nchi za china huko ndo zimekuja kuidominate hiyo elimu mpaka sasa maendeleo yao ni makubwa sana na ikumbukwe kuwa unampomfundisha nguvu hii mtu mwingime akikuzidi ni shida kwani atakuwa na uwezo wa kusynchronize na universe ambayo kimsingi ndo mtoa wa kila kitu..

kwa hiyo ilipelekea nchi nyingi kupata elimu hiyo japo ilikuwa siyo kwa wote ila idadi kubwa iliapata kulewa ukweli wa kila kitu huku idadi ndogo ikiachwa iliniendelee kufanya physical work ..
View attachment 871708

kwa hiyo hayo machapisho na majarida yaliyokuwa yanaelezea au kusapoti slave ni mpango wa kuficha ukweli juu ya free will determination ambayo ndo msingi pekee wa mwanadamu katika kuraise na kushunt back negative awareness ambayo inakufanya uwe mbali wa nguvu inayoshikilia kila kitu..

Nguvu inayoshukilia kila kitu haina upendeleo kwa anayejua kuitumia,ni kitendo cha kuiamuru fanya hiki kwa kufuata sheria na taratibu ( Universal laws) ambazo ndo zinaruhusu flow pathway ya nguvu hizo..

Kwa hiyo mataifa mengi Ulaya yalipeana elimu hii na chimbuko lake ni wapi na ni kwa jinsi gani unaweza unganisha mind ya mwanadamu na universe energy field kuwa kitu kimoja kinachofanya kazi kupitia human mind power..kwa sababu kila mtu hapa duniani yuko connected na universal grid kias cha kuifanya iruhusu flow ya knowlege kwako na kuitumia utakavyo..

Tunaposema kuwa kila mind ya kiumbe yoyote yule ipo indirectly connected na universal energy field( super concious mind) ambayo haina upendeleo na mtu yoyote, just kuiset mind yako( free your mind to get complete access to universal power).
View attachment 871709

Kwa hiyo mwanadamu ulipaswa kufahamu hili jambo tangu zamani lakini wachache wamekuzika ndani ya shimo refu kisha kukutia moshi wenye ukungu mweusi kiasi kwamba ni nguvu kujifahamu mwenyewe..

View attachment 871710




Ndo mana unaambiwa ufalme wa Mbingu upo katika ufahamu wako Luke 17:21.( The kingdom of God is within you) hapa akimanisha uwezo wa kuicontrol dunia kw akuiamuru ifanye jambo lolotr upo ndani yako wewe,ndo mana tunaona nchi zilizoendelea zikiishi maisha yanayostahiki..
change your mind,be connected to the source ,forget about keeping playing and seeking help from others,you are the slave to the knower..


tuendeleeee sasa...........



Baada ya mataifa mengi ulaya kugundua kuwa uwezo wote upo katika akili ya mwanadamu ila kinachohitajika ni meditation na kufunuliwa ukweli wote juu ya wapi tumetoka na tupo hapa kwa lengo gani ,basi elimu ya kufree mind iliendelea kutolewa kwa usiri mkubwa sanaambapo tayari mwanadamu alikuwa na uwezo wa kuconnect mind yake na universal energy ( hapa tunaongelea nguvu au source ya kukuweka wewe hapa duniani..) hivyo nchi nyingi ziliamua kuachana na habari za kutesana kifikra na hatimaye kaunza kuelimishana katika viunga ( Shule maalumu) .
..
Katika kipindi cha kutoa elimu hiyo kwa siri iliwafanya waanze kutafuta mataifa mengine ambayo yangepelekwa nchini kwao kwa ajili ya kuendeleza kufanya kazi ngumu ambazo zilikosa mtu wa kuzifanya make kila mtu alikuwa bize anafundishwa elimu tambuzi ya siri juu ya jinsi akili( mind) ya mwanadamu inavyoweza kufanya mambo mazito kama itakuwa connected katika high concious field area..

Hivyo kukapelekea Bara la Africa kuchukuliwa kama sehemu ya kupata labour power( utumwa) kwani ndo sehemu pekee ambapo watu wake walichelewa kupata elimu tambuzi..

Hivyo watu wengi walipelekwa south America( Brazil), North America( U.S.A) na baadhi wakipelekwa Uarabuni ..

Kumbuka mtumwa wa kwanza ni yule aliyekuwa karibu na yule anayekuwa amefahamu mapema elimu tambuzi,na ukiangalia kweli Mwarabu alikuwa mtu wa kwanza kupata taabu sanaa, kwani ndo mtu pekee ambaye alichukuliwa akafanye kazi ngumu huko Ulaya huku wazungu wakiendelea kupewa elimu tamu yenye mambo mazito kwa siri sana.


,Ndo mana ilikuwa ni marufuku kwa mzungu kusogeleana na mwarabu na ukionekana umesogeleana ulikuwa unapewa sumu au kupigwa risasi kwani ilikuwa ni siri kubwa sana kumhuruhusu mwarabu ajue ..

Hali hiyo iliendelea mpaka pale mwarabu alipopata ufahamu zaidi juu ya kinachoendelea na kuanza mbinu za kuibia mafundisho yale mpka pale aliposamehewa kwa sharti moja tu la kutakiwa awe agent wa kutafuta ndezi wengine ili wakamliplace huko ulaya ,,.
Ndipo alipoanza kumkamata Mwafrica na kumpeleka huko kwenye soko za Watumwa..

Biashara hii iliendelea kunoga kwani nchi nyingi zilikuwa bize kupeana elimu tambuzi huku Mwafrica akigeuka kuwa mashine mbadala huku wazungu wakiendelea kupata elimu tosha mpaka mpale transition period ilipoisha ambapo sasa kila ngozi nyeupe ilikuwa tayari ishapata mwanga mwingi juu ya kutengenezea mashine ambazo zitaenda kumsaidia mwanadamu kazi( Replacement of human power) ..

Lakini kipindi hiki kilienda sambamba na Industrial revolution ( Mapinduzi ya viwanda) ,kwani baada ya mzungu kujifungia akila elimu tosha ndipo group dogo la wazungu lilikuwa linabadilisha elimu ile aiu linaifanyia kazi elimu ile kwa kuunda mashine kisa kuifanyia kazi kwa kumtumia yule yule mwafrica kama source ya Kuandaaa maligafin (raw materiol)..

Uhuru kamili wa mwafrica umekuja kupatikana baada ya super industrial revolution with machine to machine replacement ) uliokuja kumruhusu mwanadamu hasa ngozi nyeusi isiendelee kufanya kazi ngumu kwani tayari mashine zilikuwa na uwezo wa kuandaaa na kuprocess kila kitu bila msaada wa binadamu..

Conclusion........

Nahitimisha kwa kusema kuwa Bible,quran na majarida mengine yalichochea utumwa wa kifikra wa mwanadamu lakini utumwa uliokuwa unaelezewa ni free mind knowlege kwa wote lakini kutokana na upendo waliokuwa nao wenzetu walipeana elimu bila kufichana kuliko sisi ambao mpaka leo ukimwambia mtu kuwa Dini ni man made scriptures kwa lengo maalumu anakataa..

Free your mind ,you wana raise up conciousnes and ability to attain power to do anything..

Karibuni na wengine muendele..
 
Aisee... Hiyo elimu ya ufahamu inapatikana wapi na mm naweza kuipata?
mkuu,ipo ni muda wako kuisaka na kuelewa ukweli wa mambo..uzuri haiuzwi kama kalanga za kuonjeshwa
..inabidi ujitoea kweli kuifuatilia na itakufanya uwe huru kwa kujua kwanini mambo yote yanaenda kama yanavyoenda
 
mkuu,ipo ni muda wkao kuisaka na kuelewa ukweli wa mambo..uzuri haiuzwi kama kalanga za kuonjeshwa
..inabidi ujitoea kweli kuifuatilia na itakufanya uwe huru kwa kujua kwanini mambo yote yanaenda kama yanavyoenda
Nipe mwanga jinsi ya kuanza, changamoto, faida na hasara zake nataka nibobee huko kwa maisha yaliyobakia
 
Nipe mwanga jinsi ya kuanza, changamoto, faida na hasara zake nataka nibobee huko kwa maisha yaliyobakia
you must sacrifice your life to find the truth that habours reality...

Sometimes ,its too time consuming and wastage of time but finally you gona place yourself in a right way..

Its too danger to find the hidden and restricted data that explain how reality is..

The sources of reality are not exposed in such kwamba kila mtu anapata kwa urahisi..

unapoona mtu kaleta kitu ambacho watu hawajawahi kukisikia au kukiona ujue karisk maisha somewhere either loosing much time finding the source au kusacrifice maisha yake kwa lengo la kuwajuza watu....

Remember kuna watu wanamonitor taarifa hizo zisivuje..

Hii dunia haiko kama unavyoiona though we differ in perceptions but does not mean wherever we differ in perception wote tupo sawa au mmoja yuko sahihi but somebody might know the reality through ways anazozijua yeye...

But kaa chini utafakari ,forget uliyoyasikia na kuyapata kwa wengine ila kaa mwenyewe pekee yako chumbani utafakari kama masaa yanavyokimbia ,sekunde zinavyoyoyoma kisha linganisha mwenendo wa dunia na watu unavyomove kwa kasi huku mambo yakiendelea kutokea katika reality ambayo inawaacha midomo wazi watu...

Je!! Ndo hali halisi au ni illusion under superimposed dillusion of reality...??

unahisi kila kinachowekwa hadharani ni cha kweli ili kila mtu afahamu jinsi ulimwengu ulivyo??

Unaweza ukajiuliza ,if they let every one of us to know how reality works unafikiri dunia itakuwaje...!!
something might corrupt...realy..??

Be in the massive of people but try to isolate to judge the moving massiveness of news that eplain how we live..

Have a gud day kiongozi..
 
Au umesoma "Mimi mussa nikafa eneo Fulani.........
Niambie labda namimi nikasome upya
huwezi kuthibitisha kuwa vitabu vya musa kaandika joshua
wanatheolojia wanatuambia vile vitabu viliandikwa na musa
 
Jibu sahihi la hii hoja yako mkuu lipo kwenye HITIMISHO bila shaka.
Ok ina maana viongozi wa kanisa ndio walipotosha neno?? Sasa nini hatma ya ukristo duniani kama viongozi wetu wanaweza kutupotosha juu ya maandiko.... Je ni mangapi tunapotoshwa kila siku?? Na kwanini Mungu anaacha Neno lake lipotoshwe na wahuni wachache kwa cost ya Roho za wakristo zaidi ya Billion 2 duniani kwenda kuzimu!!
 
Ok ina maana viongozi wa kanisa ndio walipotosha neno?? Sasa nini hatma ya ukristo duniani kama viongozi wetu wanaweza kutupotosha juu ya maandiko.... Je ni mangapi tunapotoshwa kila siku?? Na kwanini Mungu anaacha Neno lake lipotoshwe na wahuni wachache kwa cost ya Roho za wakristo zaidi ya Billion 2 duniani kwenda kuzimu!!
Unataka Mungu afanye nn?
Alishakupa akili na maarifa
Tumia akili yako na maarifa iliyokutofautisha wewe na Simba ama popo
 
Umesema ameni brainwash kuhusu Hellen? Hellen huyuhuyu au Hellen yupi? Hivi mkuu unajua habari za helleni zinapatikana ktk mitandao na vile vitabu vyenu mnavyogawa kila siku. Unafahamu historia yake ya kuumwa sana, kupata tatizo kichwani , kuolewa zaidi ya mara moja, kutabiri mwisho wa dunia, kukiri kukosea ktk utabiri, kuhusu utumwa yote haya ninaweza kuyapata bila shida yoyote ?
Hivi unaelewa hilo?
Ndomana nakwambia use logic,Mimi sio mfia dini ambaye nitamtetea MTU sehemu ambayo amekosea hata siku moja
.
Naweza pia nikakwambia mapungufu yake kibao ila katika suala LA kussuport utumwa no kumsingizia kabisa...

Kuna watu mnasoma vitu with the mentality of finding weaknesses katika hilo andishi lakini sio kuatafuta knowledge ya muandishi ndio maana mnakuja na fake conclusions ili kukidhi imani yako uliyozaliwa nayo that's obvious,


Hafu one more thing Mimi nimtu ambaye napenda critics lakini zenye maana sio za kishabiki ili mradi tu ukileta Uzi ukaonesha madhaifu ya Mrs white through her books kwanini nipinge .....


Ujue tu I never get brain washed kwenye mistake nitakubali.
 
@TIg
Hakuna mkristo annayemkubali Hellen White asiye msabato. Msabato anaabudu jumamosi na huwaona wa jumapili wanaabudu Sun hili kama hulijui kalaghabaho
Ndomana nakwambia wewe in bendera data upepo ..umekuwa convinced hivo sikulaumu wewe in malezi yako tu ulivofundishwa kutokuhoji doctrines zako ,

Unlike you Mimi nasoma any book ambayo nitapata knowledge regardless who is the author.. Kuhusu white nimesoma vitabu vyake vingi sana,her history pia so huna jipya LA kuniambia ...

Mrs white kaandika facts nyingi sana na kuna mistakes pia kadhaa amefanya siwezi kukukatalia Mimi sio mfia dini mjinga ambaye nakubali kila kitu
 
Back
Top Bottom