PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Bibi katumwa na kanisa ,zile ramli za wachungaji wake kwamba Gwajima atakuwa Rais anaona zimeeenda hovyo...Kabaki anapiga domo na kuambiwa cha kusema
Mambo ya kanisa yanaingiaje hapa mkuu? Wewe unafahamu miiili ya ndugu zetu ilipo tuchukue tukazike?
 
Mambo ya kanisa yanaingiaje hapa mkuu? Wewe unafahamu miiili ya ndugu zetu ilipo tuchukue tukazike?
Kanisa wanahusika kwa asilimia 90 kama unabisha rudi shule kwanza .Nawachukia sana hao ,walitaka kufanya mapinduzi kwa kushawishi watu... wameshindwa wanaandika taarabu.
 
Script potofu, nonsense na za kizushi kama hizi hudhalilisha wazazi wa watu, familia na ukoo mzima.

maskini mzazi wa watu kabebwa ufala kifikra na pengine kapewa elfu5 tu ajidhalilishe hivyo na kudhalilisha wanawe.

umaskini ni kitu mbaya sana aise
Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa

Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..?

Badala yake, mbona unamshambulia mtu ambaye amezungumza kwa uwazi bila kificha sura yake kama wewe ulivyojificha..?
 
Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa

Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..?

Badala yake, mbona unamshambulia mtu ambaye amezungumza kwa uwazi bila kificha sura yake kama wewe ulivyojificha..?
Huyo mpuuzi amejificha kwenye keyboard wakati bibi anaweka ukweli hadharani. Namshangaa kwanini hatuambii maiti walizochujua hospitali walizipeleka wapi! Kwanini wasirudishe hata majivu ndugu wakazike?
 
Mkuu, je, wewe unajua miili ilipelekwa wapi?
Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao.

Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua.

Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa damu za watu

Hizi ndizo sifa wanazostahili kupewa!!
 
Script potofu, nonsense na za kizushi kama hizi hudhalilisha wazazi wa watu, familia na ukoo mzima.

maskini mzazi wa watu kabebwa ufala kifikra na pengine kapewa elfu5 tu ajidhalilishe hivyo na kudhalilisha wanawe.

umaskini ni kitu mbaya sana aise
Machawa kama wewe ni hasara kwa taifa mtaisha.
 
Hata makaburu hawakufikia ukatili na ushenzi huu uliofanywa na serikali dhalimu ya CCM kwa Watanganyika.
Hata Hitler hakuwa na ukatili wa kiasi hicho. Manusura mmoja alinusurika kuingizwa kwenye tanuru baada ya kupiga chafya akiwa hospitali ya Mwananyamala; wakampeleka wodini!
 
najaribu kufikiria watoto watu wazima wa huyo mbibi wanajiskiaje mzazi wao akitumika kueleza porojo za kizushi mitandaoni. dah!

Sina shaka, wewe umebeba roho ya shetani.

Hata kama una roho ya shetani, kama ungekuwa na akili, ungeeleza kuwa huyo mama anachokisema siyo kweli, miili ya watu tuliowaua tuliiweka mahali fulani, na tutaitoa tarehe fulani kuwapelekea wanafamilia.

Kama huwezi kusema miili ya watu mliowaua mliiweka wapa, shetani wewe nyamaza kaa kimya, waache wanaojua chochote kuhususiana na hiyo miili ya binadamu wenzetu waseme, kisha uchunguzi ufanyike kuthibitisha.

Kwa kuwa mna uwezo wa kuteka, kutesa na kuua watu bila ya kuwajibishwa na yeyote mpaka sasa, mnajiona ninyi ni binadamu zaidi kuliko wengine.

Mungu Baba yetu wa haki, tunaomba hata kama si leo au si kesho, kwa hekima yako, na kwa wakati ufaao uwaoneshe watu hawa wauji kuwa wewe ndiye pekee uliye juu ya wanadamu wote ambaye ndiye unayelipiza kisasi dhidi ya waovu wote.
 
unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu.
ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio kweli
Wajinga wengi wanaongea hovyo wakitumia simu kujirekodi.

Kuna yule dada Recho kila akifungua mdomo wake ni wendawazimu mtupu unamtoka kichwani mwake.
 
cha sementi Wazo Hill. Hii ni mbaya sana.
Wazo Hill wajitokeze kujibu hii tuhuma kabla wateja wao hawajachukua uamuzi dhidi ya bidhaa zao. Hii watatakiwa kumtaja Bibi wa Taifa adhibitishe kwa njia zilizopo.
 
Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao.

Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua.

Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa damu za watu

Hizi ndizo sifa wanazostahili kupewa!!
Hawa watu kazi yao kubwa ni kuhamisha mijadala ili jambo lisijadiliwe kiundani, nadhani jambo la msingi ni kuwapuuza na kuacha kuwajibu
 
Bibi huwa anaongea mambo mengi ya kulikanya na kuliponya taifa. Wewe ndio kwanza unamsikia leo?
Huyu ni mpumbavu sana. Wala usimjibu. Anafikiri bibi anaongea from no where? Chawa mpuuzi sana hajitambui kabisa!
 
Back
Top Bottom