Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,661
- 6,909
Huyu mwanamke kwa upande wangu hata ipite muda gani lazima afikwe na ulemavu wa kiongo awe tegemezi ktk familia yake kama malipo ya aibu na hasara aliyonisababishia.
Ni kumwachia Mungu tu, kheri nusu shari kuliko shari kamili.Huyu mwanamke kwa upande wangu hata ipite muda gani lazima afikwe na ulemavu wa kiongo awe tegemezi ktk familia yake kama malipo ya aibu na hasara aliyonisababishia.
Utafanyaje na pete unayo? Ukileta figisu kiduchu nakuzingua mbaya ila ukikaa tkt mstari sina noma.Nani atakubaliana na huo ubabe sasa?
Mungu anakazi nyingi zingine lazima tumsaidie, kwani Mungu ndio amemtuma?Ni kumwachia Mungu tu, kheri nusu shari kuliko shari kamili.
Hiyo kali mkuu.Mungu anakazi nyingi zingine lazima tumsaidie, kwani Mungu ndio amemtuma?
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuziWatu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.
Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia ,ndugu na marafiki na maadui waanza vipi??
![]()
![]()

Mpaka unanivisha pete mi nimo tu na ubabe wako!? Labda umeniteka akiliUtafanyaje na pete unayo? Ukileta figisu kiduchu nakuzingua mbaya ila ukikaa tkt mstari sina noma.
Sio wote wa kudanganywa sasa

Before pete nitakupetipeti kwa kiwango cha hali ya juu, ila nikikuweka ndani na wewe ukajifanya umegundua mimi sio mkurugenzi wa kampuni fulani kama ulivyotegemea ukaanzisha figisu ndio utanijua kazi yangu halisi. Wanawake bila undava hamuendi.Mpaka unanivisha pete mi nimo tu na ubabe wako!? Labda umeniteka akili
UMEOKOA jahazi hapaLet's be real tu kuwa Mimi nafanya kazi kampun flani na nimesomea kitu Fulani sina Gari wala Nyumba ila nna Kiwanja bunjuView attachment 382763
Weee haijalishi nina pete yako. Hata kama niko ndani nitatoka tuBefore pete nitakupetipeti kwa kiwango cha hali ya juu, ila nikikuweka ndani na wewe ukajifanya umegundua mimi sio mkurugenzi wa kampuni fulani kama ulivyotegemea ukaanzisha figisu ndio utanijua kazi yangu halisi. Wanawake bila undava hamuendi.
Mh! umesoma vizuri hiyo heading?Duh hiyo heading ilivyo hatari, "Bi Arusi atimua mbio katikati ya tendo la ndoa" mimi nilijua kwenye mambo yetu yale baada ya mziki kuwa mzito akaamua kutikua mbio na pichu mkononi