essaugervas
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 580
- 281
aiise
Ili uwe na maisha ya amani lazima uwenami, nje na mimi utaishi kama mkimbizi, wiki moja inakutosha kurudi na kuomba msamaha, yaani kwangu ni chuo cha adabu.Weee haijalishi nina pete yako. Hata kama niko ndani nitatoka tu
Acha umbea wewe !Kwanini adanganye? Kwani anafanya kazi gani?
Hiyo ni Sinema za Nollywood kwani mleta uzi hata link hakuwekaHiyo sio sinema kweli?
Nitakukaba ujueAcha umbea wewe !
Time to sleep mtoto mzuri. Kesho shulesasa beibe unanifikiriaje mie mchota maji,
please niruhusu nikukune huo muwasho wa mapenzi,
hebu njoo uyape utamu maisha yangu jamaani,
oooh we mtoto ujue ninaku![]()
Utatolewa baru na babu yakoulale unono beibe, natamani nije tucheze mchezo wa "baba na mama",
Yani vijana wa sikuhizi nimewashindwa... Unataka ule vya bibi yakona akifa babu nitakurithi mimi,
buenas noches, mi amor![]()
![]()

Oh tatenanekwani wazee wamepigwa ganzi ya malovee?
na wenyewe si wanahisia?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mkuu papuchi ya wazee(bibiz) kitaalamu wanasema zinapungua ule utelezi(lubrication) inayosaidia katika tendo la ndoa,hivyo bhac ikikosekana hyo lubricant katika tendo la ndoa hakuna rahaa yoyote kwa me au ke.kwani wazee wamepigwa ganzi ya malovee?
na wenyewe si wanahisia?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe umeshatangaza kwa wenzako wote unalolewa na Dongote, leo uje ugundue ni msela tu wa mtaani