Bibi harusi atimua mbio katikati ya harusi

Bibi harusi atimua mbio katikati ya harusi

Huyo bwana harusi ni tozobe!
Angekuwa anamkata mashoka ya ukweli bi dada angekubali ndoa bila figisu!
Hawa mbona hawanaga ujanja ukikamatia chini mpaka kwenye gololi..... !
Zari yule pale anazaa tu sasa.....!
Mmh! Ngoja ninyamaze!
 
Huyo bwana harusi ni tozobe!
Angekuwa anamkata mashoka ya ukweli bi dada angekubali ndoa bila figisu!
Hawa mbona hawanaga ujanja ukikamatia chini mpaka kwenye gololi..... !
Zari yule pale anazaa tu sasa.....!
Mmh! Ngoja ninyamaze!
Wewe umeshatangaza kwa wenzako wote unalolewa na Dongote, leo uje ugundue ni msela tu wa mtaani
 
Kama huyo jamaa anafanya kazi kwenye hio kampuni kubwa hio harusi ingelifanyiwa uswahilini??
 
Huyu mwanamke alimpenda mwanaume sababu ya hiyo kampuni na hakumpenda yeye...
 
kama mtu huna kazi si useme tu ulishwe mjini hapa? mbwembwe za nini? oooh manji mjomba wangu sema kasafiri,ooh mengi shemeji wa jirani yetu yupo kwenye kikao
oooh atm imevunjika? ooooh account imefungiwa kumbe huna lolote
hata mimi ningekimbia maana kama umempendea mtu hela kumbe hana utasubiri nini? semeni kweli nyie wanaume
Bora nizeekee huku shamba aiseeee....
 
Watu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.

Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia ,ndugu na marafiki na maadui waanza vipi??

13939492_919033928207921_4159767238860158401_n.jpg


13935057_919034014874579_4641078331574013128_n.jpg

Tatizo siyo la binti. Mwenye makosa ni uwongo wa kijana. Kwa nini hakuwa mkweli? Kama kadanganya suala la ajira ambalo liko ni la kawaida na liko nje, ataaminika vipi kwa mengine? Kumbuka katika kujenga familia kuna masuala makubwa na ya muhimu kuliko ajira. Akiwa mwongo kwenye ajira, tena wakati wa uchumba, atakuwa mkweli vipi kwa mengine?

Huyu binti nimempenda sana. Anaona maisha ya jianaume liongo ni jehanum. Mshahara wa udanganyifu!. Mtu mwongo haaminiki kwa lolote!
 
Back
Top Bottom