Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
sio kwa mbio hizo... hapo kulikuwa hamna upendo, yalikuwa maigizoTumefanya nini?
sio kwa mbio hizo... hapo kulikuwa hamna upendo, yalikuwa maigizoTumefanya nini?
wapii wewee, mnatukataaga si maskini nyieShega tu mbona
Afadhali wewe umeona kwa jicho lingine....Tatizo siyo la binti. Mwenye makosa ni uwongo wa kijana. Kwa nini hakuwa mkweli? Kama kadanganya suala la ajira ambalo liko ni la kawaida na liko nje, ataaminika vipi kwa mengine? Kumbuka katika kujenga familia kuna masuala makubwa na ya muhimu kuliko ajira. Akiwa mwongo kwenye ajira, tena wakati wa uchumba, atakuwa mkweli vipi kwa mengine?
Huyu binti nimempenda sana. Anaona maisha ya jianaume liongo ni jehanum. Mshahara wa udanganyifu!. Mtu mwongo haaminiki kwa lolote!
Wanawake kudanganywa suna.Kwanini adanganye? Kwani anafanya kazi gani?
Sio wote wa kudanganywa sasasio kweli,
huyo jamaa inaonyeaha alimpenda binti na alikuwa hataki kumkosa ndio maana imembidi adanganye
Inategemea na uongo wenyeweWanawake kudanganywa suna.
Jua hivi, ili umpate mwanamke ni lazima umdanganye vinginevyo utaishia kuwaita shemeji.Inategemea na uongo wenyewe
kwani huwa mnatufuata kwa sababu ya mengi,manji na ATM! kumbe huwa mnaolewa na pochi siyo wanaumekama mtu huna kazi si useme tu ulishwe mjini hapa? mbwembwe za nini? oooh manji mjomba wangu sema kasafiri,ooh mengi shemeji wa jirani yetu yupo kwenye kikao
oooh atm imevunjika? ooooh account imefungiwa kumbe huna lolote
hata mimi ningekimbia maana kama umempendea mtu hela kumbe hana utasubiri nini? semeni kweli nyie wanaume
Watu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.
Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia ,ndugu na marafiki na maadui waanza vipi??
![]()
![]()
Umetumia uongo ili umpate mkiingia ndoani na muendelezo wa uongo akivurunda utamlaumu?Jua hivi, ili umpate mwanamke ni lazima umdanganye vinginevyo utaishia kuwaita shemeji.
maana yake ni kiungo kimoja kimemvaa mwenzake kwa shughuli ya "tayari bado"Hivi ukisema katikati ya tendo la ndoa maana yake ni nn!?
mbona mi nakupa ukweli kutota moyoni mwangu halafu unababaisha mambo, na unajua wazi kabisa kwamba mi nakulavu,

hujanielewa naona.kwani huwa mnatufuata kwa sababu ya mengi,manji na ATM! kumbe huwa mnaolewa na pochi siyo wanaume
Valentina mambo vipi Dada yangu kipenziKwanini adanganye? Kwani anafanya kazi gani?
Akijipata ameshatekwa nyara hana ujanja, kinachofuata hapo ni ubabe sio ubaby tena, hakuwa anajua kama namiliki bastola sasa atajua hata na bunduki ninayo, yani yeye mwenyewe akijitizama anakubali yaishe.Umetumia uongo ili umpate mkiingia ndoani na muendelezo wa uongo akivurunda utamlaumu?
Poa kaka yanguValentina mambo vipi Dada yangu kipenzi
Nani atakubaliana na huo ubabe sasa?Akijipata ameshatekwa nyara hana ujanja, kinachofuata hapo ni ubabe sio ubaby tena, hakuwa anajua kama namiliki bastola sasa atajua hata na bunduki ninayo, yani yeye mwenyewe akijitizama anakubali yaishe.