Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Hahahaha,mkuu ulidhani ni katikati ya shughuli...Hivi ukisema katikati ya tendo la ndoa maana yake ni nn!?
Hahahaha,mkuu ulidhani ni katikati ya shughuli...Hivi ukisema katikati ya tendo la ndoa maana yake ni nn!?
Dah ulivyosema katikati ya tendo la ndoa nikajua tena amekutana na Mandingo anaokoa kizazi chake ,kumbe kanisani
hata mimi nikajua hivyo aiseeKwani kazi ndio inamuoa au mwanaume? Aache umalaya wake huko atulie.Kwanini adanganye? Kwani anafanya kazi gani?
Aisee acha tu kumbe tendo la ndoa ni kufunga ndoa ?? Jamaa kaniacha njia panda au wengi wetu tunatumia hili neno ndivyo sivyo ?![]()
![]()
hata mimi nikajua hivyo aisee


Ungekimbia katikati ya tendo la ndoa!!kama mtu huna kazi si useme tu ulishwe mjini hapa? mbwembwe za nini? oooh manji mjomba wangu sema kasafiri,ooh mengi shemeji wa jirani yetu yupo kwenye kikao
oooh atm imevunjika? ooooh account imefungiwa kumbe huna lolote
hata mimi ningekimbia maana kama umempendea mtu hela kumbe hana utasubiri nini? semeni kweli nyie wanaume
Tendo la ndoaAisee acha tu kumbe tendo la ndoa ni kufunga ndoa ?? Jamaa kaniacha njia panda au wengi wetu tunatumia hili neno ndivyo sivyo ?![]()
inawezekana tunachanganya matumizi ya hilo neno

Labda tungejua kwanza kazi ya jamaa. Kama ni kazi haramu je?Kwani kazi ndio inamuoa au mwanaume? Aache umalaya wake huko atulie.
fundi baskeriKwanini adanganye? Kwani anafanya kazi gani?
Kichwa cha habari kinasisimua sana ingawa hoja inasikitisha, huyo hakuwa muolewaji ni after moneyWatu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.
Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia ,ndugu na marafiki na maadui waanza vipi??
![]()
Naye amezidi, mi naofungua ili nipate kujua kakumbwa na nini kwenye tendo hafu nakuta habari za mbio madhabahuniuchochezi
kama mtu huna kazi si useme tu ulishwe mjini hapa? mbwembwe za nini? oooh manji mjomba wangu sema kasafiri,ooh mengi shemeji wa jirani yetu yupo kwenye kikao
oooh atm imevunjika? ooooh account imefungiwa kumbe huna lolote
hata mimi ningekimbia maana kama umempendea mtu hela kumbe hana utasubiri nini? semeni kweli nyie wanaume
Tendo ni kitu kingine hiyo unayoizungumzi ni harusitendp la kufungisha ndoa