Biashara zasimama Kariakoo

Biashara zasimama Kariakoo

Dadavua! Sio matukio ni upendo wa dhati,
Sijakataa kama anapendwa!!

Nilichosema Watanzania tunapenda matukio. Nchi nyingine watu hawawezi kuacha kazi zao kwa ajili ya ufunguzi wa barabara tu. Sisi watu watarundikana huko hata kama wananyeshewa mvua wamo tu!! Zana ya HAPA KAZI TU haiendani kabisa na kinachoendelea!!
 
Kusimamisha shughuli za biashara kupisha shughuli ya mkuu sio kigezo cha mkuu kupendwa
 
masijala uchaguzi mdogo tu,tumewachapa na kuwagaragaza,uchaguzi mkuu si tutawachanachana na kisha tuwatupe kule...
 
Mnadanganyana.

Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.
 
Magufuli ni chaguo la Mungu.

Sema chaguo la CCM,na huo mradi unafunguliwa kila siku?AU kumekosa ajenda sasa anaenda kutafuta ajenda ya UDART au ndiyo ametafuta mahali pa kusemea maneno yake ya kuudhi??
 
Oooh my God this is ridiculous watu wanaongea utadhani hawako Tanzania!! Unafikiri uchaguzi ukifanyika now huyu aliyepo atapita??

Mtu anapeleka hela yote central government wakati hakuna production ya maana inayoendelea ili bidhaa zishuke bei, wakati huo huo kodi ya importation inapandishwa, then what do you expect?? And then you come out and praise him?! Dont be scum
Kwenye uchaguzi wa juzi hao wapinzani uchwara wameambulia kata moja
 
Tena atashinda kwa zaidi ya 80%.
Amini mkuu.
kwa sasa asilimia kubwa ya wapiga kura wanaangalia mtu na sio chama anacho toka.

WIth Polisi na wale Makada walioteuliwa nafasi za kusimamia uchaguzi ni sahihi kabisa kusema hivyo
 
Ndivyo politics ilivyo, Mkuu alitengeu amri ya Makonda, lazima ashangiliwe maana kawarudishia ugali wao.


KADA
 
Back
Top Bottom