Biashara zasimama Kariakoo

Biashara zasimama Kariakoo

Watu wamezuiwa wasifungue maduka leo, usipende kupotosha
We ndo mpotoshaji na mwenzio aliesema Aggrey inafanyika kazi... nani mkweli kati yenu jitathminini,
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.
LONG MAY HE REIGN JPJM
 
hata kama jambo liko wazi!? Yanini kuongopa?
Uko wapi wewe sasa hivi na ubora wake baba jescar huwezi kuwa kwa machinga pekee wakati watu wanakufa njaa huko machinga wanashangilia kwa SBB aliruhusu kufanya biashara kila wanapotaka bila kufuata utaratibu sijui kama unajua
 
Uko wapi wewe sasa hivi na ubora wake baba jescar huwezi kuwa kwa machinga pekee wakati watu wanakufa njaa huko machinga wanashangilia kwa SBB aliruhusu kufanya biashara kila wanapotaka bila kufuata utaratibu sijui kama unajua
Fata ethics za uandishi.... SBB ndo nn!?..
 
Back
Top Bottom