Biashara zasimama Kariakoo

Biashara zasimama Kariakoo

Duh..kama kweli Magu ni chaguo la Mungu, basi Mungu amedhamiria kutuhukumu watanzania hapa hapa duniani!
 
kauli yako unajua mpk sasa imesababishia taifa hasara kiasi gani.....watu wameahirisha kwenda kununua k koo ...
wakati biashara zinaendelea vzr. SIKU LOWASA APITE K KOO ndo u post KKOO BIASHARA ZASIMAMA
 
Hana kazi kabisa lost case anazindiwa mradi mmoja mara mia moja another lost decade tatizo la kuwa na maraisi mapedeshee
 
Oooh my God this is ridiculous watu wanaongea utadhani hawako Tanzania!! Unafikiri uchaguzi ukifanyika now huyu aliyepo atapita??

Mtu anapeleka hela yote central government wakati hakuna production ya maana inayoendelea ili bidhaa zishuke bei, wakati huo huo kodi ya importation inapandishwa, then what do you expect?? And then you come out and praise him?! Dont be scum
Kabla ya uchaguzi mdogo mlisema hivyo hivyo.
 
Mleta mada mpuu.zi kwelikweli, kwa hiyo hujui kwamba kuna wafanya biashara walikuja kutoka mikoani ili kuagiza mzigo lakini wamekumbana na hiyo kero? unafikiri wanafurahia hasara na huo usumbufu waliosababishiwa bila sababu?
 
Mimi nipo kariakoo lindi na Swahili kariakoo biashara ziilizosimama za wamachinga wanozunguka kituo cha mwendo kasi na jana waliambiwa leo wasifungue na ndio waluokuwepo pale ndani wakisubili magu aondoke wafungue biashara zao acha kupotosha mkuu
 
Miungu wapo wengi


Mungu aliye hai, Mungu wa Miungu,
the God of Abraham, and the God of Isaac, and the God ofJacob'? He is not God of the dead, but of the living.”


Yap, Mh. Magufuli ni chaguo la Mungu..100%
 
Unadhani celebrity mwenye followers milioni mbili, wote ni mashabiki wake? Wengine hufollow kuchunguza tu anachokifanya uyo celebrity ili wapate cha kumponda

Vivyo hivyo kwa hao machinga leo
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.

Wakati wa kumchukia tutakumbushana.
 
Bandiko LA kipumbavu kuliko nachelea kusema unakivuli cha laana mtia post
 
Mungu aliye hai, Mungu wa Miungu,
the God of Abraham, and the God of Isaac, and the God ofJacob'? He is not God of the dead, but of the living.”


Yap, Mh. Magufuli ni chaguo la Mungu..100%
Kama ndio huyo Mungu aliemuinua huyu unaemzungumzia, kuna uwezekano mkubwa watanzania tutakuwa tumepewa jaribu la kutest imani yetu.Naamini wamuaminio Mungu wa kweli ni wengi kuliko wasio amini, kwahiyo tutalishinda jaribu hili.
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.
Hata bomu likilipuka watu huwa wanaacha biashara kwenda kwenye tukio kuangalia ni kitu gani kimetokea bila ya kujali kuwa bomu linaua.
 
Dah,hapa buku 7 imeshaingia!
The World is not fair!
 
Back
Top Bottom