Biashara zasimama Kariakoo

Biashara zasimama Kariakoo

Oooh my God this is ridiculous watu wanaongea utadhani hawako Tanzania!! Unafikiri uchaguzi ukifanyika now huyu aliyepo atapita??

Mtu anapeleka hela yote central government wakati hakuna production ya maana inayoendelea ili bidhaa zishuke bei, wakati huo huo kodi ya importation inapandishwa, then what do you expect?? And then you come out and praise him?! Dont be scum
We kalia ujoni kisomo wako, kiingereza kiiingi, kireeefu, lkn ukija uchaguzi, tufanze, hata magufuli aende ukawa ukafanyika uchaguzi wa raisi wa ukawa, ujue huyo mamvi na mwingine yeyote atakaejitokeza, atabakia na manundu kwenye uso wake wa kisiasa. ..
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.

Kwa kuzindua mradi huu ina maana kuwa umekamilika?Nauliza kwa sababu kwa mfano kituo cha Kimara Baruti bado hakijawekwa mashine za kukatia tiketi, ama barabara ya mwendokasi pale bucha bado pana hali ya kukera na hitilafu nyingine katika baadhi ya maeneo.
 
Kweli kabisa. Hata kule Mwanza sasa mji umependeza kweli, wamachinga wanauza bidhaa zao barabarani, safi sana. Big up JPM kwa kupamba miji yetu..
 
We kalia ujoni kisomo wako, kiingereza kiiingi, kireeefu, lkn ukija uchaguzi, tufanze, hata magufuli aende ukawa ukafanyika uchaguzi wa raisi wa ukawa, ujue huyo mamvi na mwingine yeyote atakaejitokeza, atabakia na manundu kwenye uso wake wa kisiasa. ..
Huyo Sizonje anayesimamia watu wenye njaa na ukame wafe au mwingine? Ngoja kule Nanjilinji ndugu zako watakapo pukutika kwa vile mvua hakuna tutakuona kama utaendelea kukata mauno huku ukiimba hizo pambio zako.
 
Back
Top Bottom