Biashara zasimama Kariakoo

Biashara zasimama Kariakoo

Mimi nafikir huyu ni chaguo la shetani anaenibishia atokeze pua yake nimpasue mwamba
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.
Tumempenda wenyewe,chaguo letu wenyewe,wajanja wataendelea kuisoma namba,Mungu mbariki Rais wetu.Amen
 
Ushasema wamachinga,vp na wale wenye maduka ya hardware na electronic wamefunga pia??

Maduka ya simu jeh?vp na juice ya miwa leo hainywiki!!!??
 
Ungetumia umoja tu maana huo wingi unatujumuisha na tusiomuhitaji
 
Salaam Comrades,

Katika hali isiyo ya kawaida leo tarehe 25.1.2017 biashara zimesimama kwa muda wa saa kadhaa.

Leo ndo mradi wa mabasi ya haraka unazinduliwa na Mh.Rais, kinachotokea muda huu Wamachinga kwa moyo mmoja asilimia kubwa wameacha fanya biashara zao na kwenda kumlaki kipenzi cha wanyongwe Mh. Rais Dr Magufuli na hii haijawai tokea kwakweli.

Nawasikia wanazungumza kuwa Mh. Rais ni kipenzi cha wanyonge na anatekeleza ilani kwa vitendo... na anasimamia ile dhima ya chama Binadamu wote sawa na kila mtu lazima afurahie mafanikio ya nchi yake.

Nimekubali Mh. Rais anapendwa had wamachinga wote wameacha biashara kwenda tu kumshangilia. Tanzania mpya naiona kwa kweli.

Ahsante Mh. Rais... Tuna imani nawe na tunakupenda na kukuombea Mpendwa wetu. Live long.
Acha Uongo na Kupotosha watu wewe..
 
Oooh my God this is ridiculous watu wanaongea utadhani hawako Tanzania!! Unafikiri uchaguzi ukifanyika now huyu aliyepo atapita??

Mtu anapeleka hela yote central government wakati hakuna production ya maana inayoendelea ili bidhaa zishuke bei, wakati huo huo kodi ya importation inapandishwa, then what do you expect?? And then you come out and praise him?! Dont be scum

Waliojaza upepo sehemu ya akili kwenye vichwa vyao hawawezi kukuelewa!
wataelewa tu wape muda, hope unaweza kuona economic activities ilivo slow down, deplomasia imeshuka, democrasia hakuna tena, one man show ndo habari ya mjini, wanaangalia wenyewe, siku wakiamua mtakula ujinga wenu!
naamini viongozi wanazaliwa na wanaadaliwa, hapa kwettu?? mmmhhhhh! mtu hata simple economics hajui kabisa.
 
Hamia nchi jirani kama kenya au Gambia ambako bado nafasi ya kupiga dili ipo, kwa hapa tz hilo jambo halipo tena ndiyo maana inakuchanganya
Hujaelewa kwanini nimesema siielewi kwa mahaba uliyonayo umekuja mbio mbio kukoment.
Sasa nilichomaanisha ni hiki:
Hii nchi siieleweli kwa sababu wananchi hawa hawa wanaolalamika hali za maisha ni ngumu , Mara Magufuli amebana maisha
Wananchi hawahawa ndo leo wanasifia habari za Magufuli hili ndo linalonishangaza.
Usifikiri kila mtu ni mpiga dili, si kila mtu hapa jf ni mpinzani na sio kila mtu hapa jf ni Mwana-CCM
Wengine hatuna vyama wala hatujui siasa
 
Hii ni zamu yetu sisi wasukuma,imetuchukua muda mrefu kushika dola wakati sisi ndio wengi hapa nchini.mungu amlinde magufuli mungu ibariki tanzania.
 
Back
Top Bottom