Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,155
- 156,596
kanisa kama una waumini wengi!!Life is too short to be very serious is time wastage.
Ntabadilisha Avatar soon
kanisa kama una waumini wengi!!Life is too short to be very serious is time wastage.
Ntabadilisha Avatar soon
Sasa nina mtaji kama wa laki mbilii hiviiBoss hizo ni intro za biashara tu ila kuna biashara nyingi sana za kufanya
sehemu za kufanyia biashara si lazima pembezoni mwa barabara,Fungua akili Mkuu.
mkuu recpect sanaBoss hizo ni intro za biashara tu ila kuna biashara nyingi sana za kufanya
sehemu za kufanyia biashara si lazima pembezoni mwa barabara,Fungua akili Mkuu.
Na mimi ningependa kujua MkuuNjoo PM, nikupe mawasiliano nikupe abcd za kutosha
Mtu anakaa mwezi mzima ndio aje tena upate hiyo elfu mbili, hii haina mzunguko mkubwa,hizo nyingine sawa......Jumla
Mihan/Taifa = 16,000
Oryx = 16,500
Hii ni Bei ya Kubadilisha...
Kwani gas unamuuzia mteja mmoja tu? Elfu mbili mbona Kubwa sana MkuuMtu anakaa mwezi mzima ndio aje tena upate hiyo elfu mbili, hii haina mzunguko mkubwa,hizo nyingine sawa......
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Jaribu hizoMil 5 nifanye biashara gani ya chakula
Calculate ningekua napata hiyo elfu mbili uliyoandika ningekua nakusanya kiasi gani per day?upate hiyo elfu mbili
Watu wengi hii biashara ya gesi hawaielewi inafanyikajeKwani gas unamuuzia mteja mmoja tu? Elfu mbili mbona Kubwa sana Mkuu
Mimi Gas Point zangu mitungi midogo nachukua faida ya BUKU tu,na nalaza
Faida sio chini ya 100k kwa hizo buku buku unazozichukulia Poa, Usichukulie Poa Buku Arif...
Kuna mtu anaweka Faida ya Jero na Anakuzidi wewe faida unaepata Kitu kimoja 5000 (faida)
Kuna mwingine anakuzidi faida na biashara yake vitu vyake faida ni 100-500 wewe mwenye
vitu unauza kimoja faida unakunja 50,000 usikute Moto wa huyo jamaa,Biashara ni Mahesabu Boss.
Smart Gin na Double kick zinaenda sanaNimeielewa sana hiyo biashara ya vinywaji mkuu. Ukiwa na vinywaji pendwa vyote basi unapiga ela nzuri hasa ukiwa eneo lenye pilikapilika nyingi.
gesi ukitaka uwin weka free deliveryWatu wengi hii biashara ya gesi hawaielewi inafanyikaje